Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Vipimo vyote unavyovijua wewe.👇👇View attachment 3338227
Geita ina mgodi unaodhalisha dhahabu ambayo thamani yake ni zaidi ya mara5 ya budget yenu ya serikali, lakini kwa ubinafisi wa viongozi kadhaa wakasaini mkataba wa hovyo, then unaniletea takwimu za hivi unataka nikuelewe 🤔!

Geita peke yake inaweza kuendesha Budget ya serikali kama viongozi watangulizi wangekuwa wazalendo wa nchi hii, lakini kwa vile walikua na akili kama zako ndio waliotufikisha hapa.

Hizo takwimu za GDP ya mkoa wa Geita, ukiona umeziamini, basi huna sifa ya kuwa kiongozi anayestahili kuiongoza nchi hii na tukatoka hapa tulipo kwenda mbele zaidi
 
Tupate wazamini kidogo 💥💥👇 hapa wanaishi maskini according to Choice variable Said
KATORO 💥
1730918026892.jpg

Nasubiri alete makazi wanapoishi matajiri wa kwenye makaratasi wa Njombe na Makambako 🤗
 
Geita ina mgodi unaodhalisha dhahabu ambayo thamani yake ni zaidi ya mara5 ya budget yenu ya serikali, lakini kwa ubinafisi wa viongozi kadhaa wakasaini mkataba wa hovyo, then unaniletea takwimu za hivi unataka nikuelewe 🤔!

Geita peke yake inaweza kuendesha Budget ya serikali kama viongozi watangulizi wangekuwa wazalendo wa nchi hii, lakini kwa vile walikua na akili kama zako ndio waliotufikisha hapa.

Hizo takwimu za GDP ya mkoa wa Geita, ukiona umeziamini, basi huna sifa ya kuwa kiongozi anayestahili kuiongoza nchi hii na tukatoka hapa tulipo kwenda mbele zaidi
🚮🚮
 
Kuna watu wakiona tu hilo jina hapo chini 👇🤗 roho zinawauma
1747581640358.jpg

Nitaendelea kupiga hapo hapo kwenye mshono 🤭🤭
 
Kaka acha kujidhalilisha, huwez kufananisha mikoa ya nyanda za juu kusini , yaani mkoa wowote ule wa nyanda za juu kusini ufananishe na Geita
Umekimbilia wapi 🤭? Njoo ule spana 🔧🔨⛏️ ndio maana hamtaki kupost hizzi👇👇 picha za miji yenu ya kale, 😂😂
Makambako yenyewe sasa👇, hiki kituko ulinganishe na Katoro the rapid growing modern town 👇
1747753113929.jpg
1747753194238.jpg
1747753170118.jpg

Katoro 💥 👇
1726865184735.jpg

Yaani dunia mbili tofauti 😅😅
 
Kaka acha kujidhalilisha, huwez kufananisha mikoa ya nyanda za juu kusini , yaani mkoa wowote ule wa nyanda za juu kusini ufananishe na Geita
Nakusubiri urudi nikuaibishe vizuri. Tumalizane kwanza na Njombe na Geita, tuanze kuangazia miji mikubwa iliyopo katika mikoa hii,
Njombe>1. Makambako
2. Njombe

Geita>. 1. Geita
2. Katoro
3. Ushirombo
4. Masumbwe
5. Runzewe

Yaani hapa tu Njombe inakaa kwenye kipengele hiki
 
Nakusubiri urudi nikuaibishe vizuri. Tumalizane kwanza na Njombe na Geita, tuanze kuangazia miji mikubwa iliyopo katika mikoa hii,
Njombe>1. Makambako
2. Njombe

Geita>. 1. Geita
2. Katoro
3. Ushirombo
4. Masumbwe
5. Runzewe

Yaani hapa tu Njombe inakaa kwenye kipengele hiki
Sasa Masumbwe nao ni mji?

Umefika Ilembula wewe?

Hiyo Runzewe Ina kipi?
 
Sasa Masumbwe nao ni mji?

Umefika Ilembula wewe?

Hiyo Runzewe Ina kipi?
Bado unaishi enzi za ujima inabidi ushituke, nikipata ground images za Masumbwe nitatupia humu kwa sasa kula chuma tu za Google earth japo ni za zaidi ya miaka mitatu iliyopita
Masumbwe
Screenshot_20250520-191941.png

Na hiki 👇kijiji chako cha Ilembula hakifikii hata miji midogo Nyarugusu, Lulembela,Chato, Kakubilo, Muganza , Nkome na Bwanga
Ilembula yenyewe sasa 👇
Screenshot_20250520-192134.png
 
Bado unaishi enzi za ujima inabidi ushituke, nikipata ground images za Masumbwe nitatupia humu kwa sasa kula chuma tu za Google earth japo ni za zaidi ya miaka mitatu iliyopita
Masumbwe
View attachment 3340239
Na hiki 👇kijiji chako cha Ilembula hakifikii hata miji midogo Nyarugusu, Lulembela,Chato, Kakubilo, Muganza na Bwanga
Ilembula yenyewe sasa 👇
View attachment 3340248
Wewe shida Yako ni kubishana tu.
 
Sasa Masumbwe nao ni mji?

Umefika Ilembula wewe?

Hiyo Runzewe Ina kipi?
Kwa sasa Runzewe na Masumbwe ni Miji inayokua kwa kasi sana, Masumbwe imesha ipita Ushirombo nearly in all aspects kuanzia ukubwa wa mji mpaka kibiashara sasa endelea kuishi Gizani huko
 
Bado unaishi enzi za ujima inabidi ushituke, nikipata ground images za Masumbwe nitatupia humu kwa sasa kula chuma tu za Google earth japo ni za zaidi ya miaka mitatu iliyopita
Masumbwe
View attachment 3340239
Na hiki 👇kijiji chako cha Ilembula hakifikii hata miji midogo Nyarugusu, Lulembela,Chato, Kakubilo, Muganza na Bwanga
Ilembula yenyewe sasa 👇
View attachment 3340248
Umefikia hatua unafananisha Ilembula na Kakubilo?
 
Back
Top Bottom