Mwalo Chibya
JF-Expert Member
- Dec 18, 2019
- 1,350
- 1,005
Na wewe shida yako ni kuzani sasa ni kama zamaniWewe shida Yako ni kubishana tu.
Na wewe shida yako ni kuzani sasa ni kama zamaniWewe shida Yako ni kubishana tu.
Kwa sababu haina hadhi ya kuifananisha na Masumbwe, ulitaka niifananishe na wapi?Umefikia hatua unafananisha Ilembula na Kakubilo?
Masumbwe hakuna kitu mkuu,Na wewe shida yako ni kuzani sasa ni kama zamani
Wewe shida Yako ni kubishana tu.
Mbona utatoa povu 🤗 , unaumia ukiwa wapi?Masumbwe hakuna kitu mkuu,
Miji ya Geita fananisha na miji ya Geita ndio inaendana umasikin, ushirikina , ujinga na umalaya.
Kakubilo fananisha na Nyawilimilwa au Nzera na Nkome.
Masumbwe fananisha na Chato , Ushirombo fananisha na Runzewe.
Nyarugusu fananisha na Lwamgasa
Weka makazi ya Njombe na Makambako hapa tuone matajiri mnaishi wapi 🤗😂🔨🔧Masumbwe hakuna kitu mkuu,
Miji ya Geita fananisha na miji ya Geita ndio inaendana umasikin, ushirikina , ujinga na umalaya.
Kakubilo fananisha na Nyawilimilwa au Nzera na Nkome.
Masumbwe fananisha na Chato , Ushirombo fananisha na Runzewe.
Nyarugusu fananisha na Lwamgasa
Kesho nitaweka picha za Masumbwe humu ( andaa pa kuficha sura yako)Masumbwe hakuna kitu mkuu,
Miji ya Geita fananisha na miji ya Geita ndio inaendana umasikin, ushirikina , ujinga na umalaya.
Kakubilo fananisha na Nyawilimilwa au Nzera na Nkome.
Masumbwe fananisha na Chato , Ushirombo fananisha na Runzewe.
Nyarugusu fananisha na Lwamgasa
Yooo home sweet homeMbona utatoa povu 🤗 , unaumia ukiwa wapi?
Kula chuma hicho 👇💥kwanza, makazi ya maskini wa Katoro Geita
View attachment 3340303View attachment 3340304
Matongotongo hawa watu wa kusini 😂😂😂😂😂Yooo home sweet home
Sasa hili pori ndio ufananishe na Ilembula?Kuna mtu anataja taja kijiji cha Ilembula humu🤭😂😂👇
View attachment 3340378View attachment 3340377
Yaani mpaka wanaona aibu kupost 🤭🤭
Hapa 👇niwapi?Sasa hili pori ndio ufananishe na Ilembula?
Haha we jamaa huji somi hapo Kuna picha za sub town ya igwachanya na ilembula jaribu kutembea kidogo jamaa acha kubaki unafatilia picha fb ukifika kwenye mji husika ndo utajua uhalisia kwanini katoro NI Kijiji na makambako NI mji toka 2012Umekimbilia wapi 🤭? Njoo ule spana 🔧🔨⛏️ ndio maana hamtaki kupost hizzi👇👇 picha za miji yenu ya kale, 😂😂
Makambako yenyewe sasa👇, hiki kituko ulinganishe na Katoro the rapid growing modern town 👇
View attachment 3340171View attachment 3340170View attachment 3340172
Katoro 💥 👇
View attachment 3340176
Yaani dunia mbili tofauti 😅😅
Achana naye huyo kazi yake ni kupiga mapaa ya mabati ya katoro ndo anajua ndo maendeleo kumbe hizo NI kambi za wachimba madini haelewi kuwa vijiji vyake havina uchumi endelevu madini yakiisha wanaachiwa mashimo na kimji ndo kina kufa kutwa kupost mapaa ya vijiji vya katoro njombe NI mkoa AMBAO kwa rasilimali ujenzi geita haitakuja iuguse miaka yoteWewe shida Yako ni kubishana tu.
Hizo NI picha za muda mrefu ilembula ilishabadika zaidi ya hapo NI sawa na igwachanya watu wanashusha majengo fika eneo husika ndo utapata uhalisia Google map huwa hawa fanyi update mara kwa mara mzee
Huyo jamaa nilisha mwambia apost majengo yenye floor tano na kuendelea alishindwa alishia kupost mabati katoro ambazo nyumba za mfumo huo Tanzania kila Kona zinajengwa leta vitu Kama hivi ndo tutajua pesa ipoUmefikia hatua unafananisha Ilembula na Kakubilo?
Leta vitu Kama hivi ndo tutakuelewa acha na ushamba wa kupiga mapaa ila sio kosa lako si mlizoea kuishi kwenye nyumba za tembe na zilizoezekwa udongo NI Jambo geni kwenu njombe huko tulisha toka miaka mingi now ni mwendo wa humu makambakoMbona utatoa povu 🤗 , unaumia ukiwa wapi?
Kula chuma hicho 👇💥kwanza, makazi ya maskini wa Katoro Geita
View attachment 3340303View attachment 3340304
Hawa ni robo tuu ndio Wana ahueni maelfu wako hoi kiuchumiMbona utatoa povu 🤗 , unaumia ukiwa wapi?
Kula chuma hicho 👇💥kwanza, makazi ya maskini wa Katoro Geita
View attachment 3340303View attachment 3340304
Unakosea sana kulinganisha Halmashauri ya Mji wa Makambako na Kijiji kilichochangamka Cha manamba wa Madini Cha Katoro.Leta vitu Kama hivi ndo tutakuelewa acha na ushamba wa kupiga mapaa ila sio kosa lako si mlizoea kuishi kwenye nyumba za tembe na zilizoezekwa udongo NI Jambo geni kwenu njombe huko tulisha toka miaka mingi now ni mwendo wa humu makambakoView attachment 3340564View attachment 3340565View attachment 3340566View attachment 3340567View attachment 3340568
Zumaridi umeibuka tena? 😁😁Yooo home sweet home