Kahama: CCM, yaanza kuvunja Vizimba vya CHADEMA

Kahama: CCM, yaanza kuvunja Vizimba vya CHADEMA

Na wewe upo huko Kahama?
----
Hakuna kilichonifurahisha huko Kahama, kama kurestishwa kwa MUGEJA kutokana na yale mambo ya 29'OCT. Alikuwa ana kiherehere baba yuleeeeeee... kama vile Nchi hii wasio CCM, hawana haki ya kuishi!
Kumbe Mgeja aliuawa?
 
Sasa hapo ndio ccm itapendwa au kuchukiwa zaidi na wana kahama?!.
Ndio tatizo la chama ambacho mwenyekt ni kilaza anaamini mikwaju ndio kila kitu!
 
Hapa ni Mhongolo iliyopo Manispaa ya Kahama. Wananchi walijenga kizimba cha CHADEMA kikavunjwa, wakajenga tena Katibu Mkuu akakizindua nacho kimevunjwa tena.

Ni Aibu kwa CCM ya huyo wennu Samia.

Kizimba kinaandamana? Kinapiga kura? Kuua wanachama wa Chadema mumeona haitoshi?
View attachment 3591848
Mwambieni Farao na Majeshi yake . Tunaelekea Kaanani. Hakika hatutarudi tena nyuma.
 
Vya ccm vyote pia vipo kwenye hifadhi ya barabara lakini wana Chadema hawavigusi kabisa!!!

Ccm wanakaribia kukata moto ndiyo maana wanaruka-ruka ovyo!!
Kwenye hiyo picha mbona cha ccm hakionekani?
 
Hapa ni Mhongolo iliyopo Manispaa ya Kahama. Wananchi walijenga kizimba cha CHADEMA kikavunjwa, wakajenga tena Katibu Mkuu akakizindua nacho kimevunjwa tena.

Ni Aibu kwa CCM ya huyo wennu Samia.

Kizimba kinaandamana? Kinapiga kura? Kuua wanachama wa Chadema mumeona haitoshi?
View attachment 3591848
Screenshot_20260514-220943~2.png
 
Hapa ni Mhongolo iliyopo Manispaa ya Kahama. Wananchi walijenga kizimba cha CHADEMA kikavunjwa, wakajenga tena Katibu Mkuu akakizindua nacho kimevunjwa tena.

Ni Aibu kwa CCM ya huyo wennu Samia.

Kizimba kinaandamana? Kinapiga kura? Kuua wanachama wa Chadema mumeona haitoshi?
View attachment 3591848
Huu ni uchokozi mkubwa wanataka turudi October 29?
 
Hapa ni Mhongolo iliyopo Manispaa ya Kahama. Wananchi walijenga kizimba cha CHADEMA kikavunjwa, wakajenga tena Katibu Mkuu akakizindua nacho kimevunjwa tena.

Ni Aibu kwa CCM ya huyo wennu Samia.

Kizimba kinaandamana? Kinapiga kura? Kuua wanachama wa Chadema mumeona haitoshi?
View attachment 3591848
Mbona kama kiko barabarani sana. Kweli ni Siasa apo???

Kwamba kivunjwe icho tu vingine vinaachwa kwaiyo CCM inakiona icho tu¿¿¿
 
Hapa ni Mhongolo iliyopo Manispaa ya Kahama. Wananchi walijenga kizimba cha CHADEMA kikavunjwa, wakajenga tena Katibu Mkuu akakizindua nacho kimevunjwa tena.

Ni Aibu kwa CCM ya huyo wennu Samia.

Kizimba kinaandamana? Kinapiga kura? Kuua wanachama wa Chadema mumeona haitoshi?
View attachment 3591848
Na nyie vunjeni vyao,acheni kulialia wakati option IPO.
 
Na nyie vunjeni vyao,acheni kulialia wakati option IPO.
Vipo vya CCM pia vimevunja na Manispaa!!!

lkn Chadema kila tukio kwako ni fursa kafanya propaganda ¿¿

wakajenge na jangwani maji yakija waje watudanganye ni maji ya CCM

mana wamekosa mwakilishi Bungeni sasa Siasa zao ndio izo tuwe wavumilivu tu tutasikia mengi ngoja Siku ziende,
 

Naomba jibu

CCM kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 Chadema pia walishiliki CCM ilipata % ngapi unachojua ww??

Mm najua ni %98

Sasa Uchaguzi mkuu kumbuka Chadema wamewasusia CCM !!!

sasa mlitaka CCM ipate chini ya %98¿¿¿

Ingekuwa chini yake!!!

ndio sasa mngeweza kutengeneza hoja za Msingi!!!!
 
Kuna siku nilieleza msingi wa Anguko la Upinzani ni kipindi cha Rip JPM

pale Wabunge Wapinzani walipoama Chadema kuamia CCM kitendo kile kiliwakatisha tamaa vijana wenye moyo na Upinzani!!!

yani wamekesha kulinda kura siku3-4
kwa moyo waowote kumbukeni vijana walikuwa na Wake zao unategemea nini kutoka nyumbani zaidi ya kuitwa rofa kila ukigeuka pale!!!🤣

Baada tukio ile Uchaguzi wa 2020 Upinzani ulilipia ile zambi pakubwa mno !!!

Chadema walipata M'bunge 1 tu kiasi Chadema wenyewe wakawa uyo Mbunge hawamtaki!!!!😜😜

japo yule Mama alipambana kweli kweli kule jimbo la Nkasi

Ndio mpaka sasa ni mwendelezo ule ule!!!

Njoo 2024
njoo 2025
na 2030 -2035 itakuwa ivi ivi

sababu Wapinzani wamerudi kwenye Siasa za kuBET maeneo yenye mwanga wa Upinzani ndio macho yote yanaelekezwa apo !!!!!

Vijana imani imepungua kwa Upinzani!!!
 
Naomba jibu

CCM kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 Chadema pia walishiliki CCM ilipata % ngapi unachojua ww??

Mm najua ni %98

Sasa Uchaguzi mkuu kumbuka Chadema wamewasusia CCM !!!

sasa mlitaka CCM ipate chini ya %98¿¿¿

Ingekuwa chini yake!!!

ndio sasa mngeweza kutengeneza hoja za Msingi!!!!
Screenshot_20250729-090555~2.png
 
Back
Top Bottom