Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 38,801
- 90,171
Hii nchi kuna tatizo watu wana hasira sana, dispute kama hii inaweza kuwa solved bila violence… Nyie tusijifanye hatuoni, kuna tatizo kubwa sana.
Ni kama nchi imetoboka.
Hii nchi ni kuchukiana kwa sasa ni Mila na desturi. Hasa ukifanikiwa hakuna atakayekuelewa