Kagonga boda, kakimbia kisha kadakwa

Kagonga boda, kakimbia kisha kadakwa

dronedrake

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2013
Posts
24,807
Reaction score
61,670
Tukio lililozua taharuki jijini Dar-es-Salaam ambapo dereva wa gari kagonga boda, (inasemekana kafariki) kisha kukimbia kwa kasi

Boda wenzake wakaanza kumfukuza kwa kasi, baada ya kumpata hiki ndicho kilichotokea

 
Tukio lililozua taharuki jijini Dar-es-Salaam ambapo dereva wa gari kagonga boda, (inasemekana kafariki) kisha kukimbia kwa kasi

Boda wenzake wakaanza kumfukuza kwa kasi, baada ya kumpata hiki ndicho kilichotokea

Hao boda wavuta bangi ndiyo maana wanafumuliwa UBONGO ,sasa unakuja na jiwe unavunja gari ya watu maana yake ni nini?
 
Kuna V8 plate no. ya raia ilikanyaga boda akafa apo apo kibaha haikusimama boda wenzie wakaona mbele kam kuna kajam flan wakaiungia,gari ndani ina watu kam wanne wote wa mfumo na wanavyamoto..walisimama wakatoa vyuma wakabebwa watatu wakawekwa nyuma ila walienda kuwaachia morogoro,uzuri washkaji wana roho nzuri,walipiga simu ofisini kwao,kesho yake maziko walikuja wenzao kuzka na kuleta pole
 
Mjinga wewe hasara zaidi ya roho?
We kama siyo bodaboda basi unafikiria kwa kutumia makalio, na ilibidi ujiite Mr O, Unauhakika gani kama huyo mtu kaua. By the way ukivunja kioo inasaidia nini kama mtu kaua.
Boda hata ukimpush akianguka wenzake wanakuja kama nyuki. Waliwahi choma gari ya mtu wakasingizia ameua kumbe jamaa alimpush mtaroni tu
 
Was*nge sana,mwenyewe nimekutana na kisanga kama hiki ila mwenye pikipiki wala hakuumia na wala hakudondoka aliyumba tu.

Sikuona sababu ya kusimama palepale kutengeneza foleni, wakadhani nakimbia,wakablock barabara na miluzi kibao.

Mhusika hakuwa boda ni pikipiki binafsi hlf wa kishua siyo njaa njaa,tukaelewana bila hata mie kushuka.

Mabodaboda walikuwa tayari wanavuta milango nishuke,hawakuamini jamaa alipoamua kupotezea na kuondoka bila kuhitaji hata mia.

Ni mwezi huuhuu wa 8.
 
Back
Top Bottom