Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 40,492
- 69,369
Kuna shida Sana Nchi hii, watu Wana hasira na kisirani kwenye mambo yasiyo na Maana hizi Hasira wangewekeza na kwenye mambo mengine tungekuwa mbali sana kama TaifaHii nchi kuna tatizo watu wana hasira sana, dispute kama hii inaweza kuwa solved bila violence… Nyie tusijifanye hatuoni, kuna tatizo kubwa sana.
Ni kama nchi imetoboka.