Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Kwanza kabisa Mkuu Mwanakijiji na timu nzima ya Cheche hongereni sana kwa hii kazi kubwa,
Nimekisoma chote na hali inatisha,sasa kuna ishu moja ambayo haileweki.huyu aliyekua waziri wa fedha Basil Mramba anasahaulika sana. Jaribio lolote la kuwakwepesha hawa majambazi na mkono wa sheria litakua ni jaribio la ku-test hasira za watanzania na wapenda haki.
Kama serikali inataka kuwe na amani basi iache sheria ichukue mkondo wake,Tanzania ni yetu sote na hakuna mtu mwenye haki ya kutunyonya halafu serikali ikae kimya.Message ishakua very clear ndiyo maana tukawakataa wakoloni.Leo hii wanakuja raia wa kigeni kutuibia halafu serikali inakaa kimya au inajaribu kuwalinda huku waalimu wetu wanaoteseka kuanzia alfajiri hadi usiku kwa chaki wakielekezewa mitutu ya bunduki ktk kudai haki,watoto maskini wa kitanzania wanapigwa mabomu ya machozi wanapodai haki yao,serikali inakua na haraka ya kuwanyanyasa watanzania wanaodai haki yao kuliko kuwachukulia hatua wanyonyaji na wahujumu uchumi wa taifa letu tena raia wa kigeni ambao hata inawezekana hela zenyewe wamewekeza mchi za nje
Mimi natoa wito kwa watanzania kupandisha hasira kuliko ilivyokua enzi za uvamizi wa Dikteta Idd Amini katika Ardhi ya Tanzania,wananchi msiwe na subira kwani sasa subira yavuta shari kwanini serikali isiwe na subira wakati waalimu walipotangaza mgomo wa kudaia haki zao na badala yake wakakimbilia mahakamani usiku kuzuia au kuidhulumu haki ya walimu?
Nimejua ni kwanini watu wengine hata wasomi wanaamua kutumia njia ya mkato kuleta mapinduzi ya haraka,no we cant wait for that!
Nimekisoma chote na hali inatisha,sasa kuna ishu moja ambayo haileweki.huyu aliyekua waziri wa fedha Basil Mramba anasahaulika sana. Jaribio lolote la kuwakwepesha hawa majambazi na mkono wa sheria litakua ni jaribio la ku-test hasira za watanzania na wapenda haki.
Kama serikali inataka kuwe na amani basi iache sheria ichukue mkondo wake,Tanzania ni yetu sote na hakuna mtu mwenye haki ya kutunyonya halafu serikali ikae kimya.Message ishakua very clear ndiyo maana tukawakataa wakoloni.Leo hii wanakuja raia wa kigeni kutuibia halafu serikali inakaa kimya au inajaribu kuwalinda huku waalimu wetu wanaoteseka kuanzia alfajiri hadi usiku kwa chaki wakielekezewa mitutu ya bunduki ktk kudai haki,watoto maskini wa kitanzania wanapigwa mabomu ya machozi wanapodai haki yao,serikali inakua na haraka ya kuwanyanyasa watanzania wanaodai haki yao kuliko kuwachukulia hatua wanyonyaji na wahujumu uchumi wa taifa letu tena raia wa kigeni ambao hata inawezekana hela zenyewe wamewekeza mchi za nje
Mimi natoa wito kwa watanzania kupandisha hasira kuliko ilivyokua enzi za uvamizi wa Dikteta Idd Amini katika Ardhi ya Tanzania,wananchi msiwe na subira kwani sasa subira yavuta shari kwanini serikali isiwe na subira wakati waalimu walipotangaza mgomo wa kudaia haki zao na badala yake wakakimbilia mahakamani usiku kuzuia au kuidhulumu haki ya walimu?
Nimejua ni kwanini watu wengine hata wasomi wanaamua kutumia njia ya mkato kuleta mapinduzi ya haraka,no we cant wait for that!