Ni wanasiasa 'uchwara' waliowachafulia majina 'waheshimiwa' hao. Wivu tu, na uvivu wa kufikiri. Mbona tunaendelea nao katika serikali? Hii 'Danganyika' inaongozwa na watu makini kama hawa, 'makanjanja' acheni wivu!Kama haya ni kweli basi hata OJ Simpson hakuua mke wake (Not guilt) na pia Lowasa, Karamagi na wezi wote wa EPA ni watu safi sana.
This' what will kill your beloved country, don't just sit there... Do something!I am trying to remain calm.
JK anasubiri Yesu aje amuhakikishie kuwa RA ni fisadi.
Nikitazama yote yanayofahamika hadi sasa kuhusu huyu RA na genge lake, napata mshangao mkubwa kuwa bado anadunda mtaani, hayuko rumande. JK alipohutubia bunge last time alituambia maneno ya kisanii kuwa ati tusione watu waliojulikana kuwa ni matajiri, ati sasa wanayo maisha magumu sana kwa kuwa wamenyang'anywa mali zao na blah blah blah! Sasa hizo ndizo hatua za kuwachukulia wanaotenda makosa ya jinai (wizi, kuhujumu uchumi)? Nikijumlisha yote napata maana ya ile katuni iliyomwonesha JK akiwa kabebwa kiganjani na mdudu rushwa, kwamba hana uwezo na wala hathubutu kuliangusha dude linalombeba hadi sasa! Kama ninamwonea JK kwa kufikia conclusion hii, let him prove me (or us) wrong kwa kuyashughulikia haya mafisadi, lakini kwa sasa among the plausible explanations for his (spoken and unspoken) actions ni kwamba he is one of them fisadis, unless he bails himself out.
Nadhani sasa ni wakati mwafaka kwa mawakili wa Profesa Costa Mahalu, kuwasilisha mahakamani ombi la kutaka mteja wao afutiwe kesi ili apewe muda wa kulipa hizo dola milioni mbili kwa awamu kama wenzake wa EPA.
Hakuna sababu ya kuendelea na hiyo kesi, eti kwa sababu tu Mahalu alikuwa akimdharau JK alipokuwa Waziri wake wa Mambo ya Nje, enzi hizo za Mr. Clean
JK anasubiri Yesu aje amuhakikishie kuwa RA ni fisadi.
,,,,,JK anajua FISADI ni CCM,,, na sio RA,ikumbukwe kwamba wakati hilo deal la EPA linafanyika RA ndo alikuwa MWEKA HAZINA wa CCM,na alikuwa na jukumu la kuhakikisha anakuwa na FUNDS za kutosha ili ushindi uwe wa KISHINDO,ss mchoro wenyewe kusudi ufanikiwe lazima ilikuwa kampuni hewa zianzishwe,,,,,Zikaanzishwa vizuri,,,tatizo limekuja hizo kampuni lazima ziwe na address etc,,ndo mzee RA akajitolea,matokeo yake kila mtu anamfikiria jamaa ni FISADI,lkn ukweli ni kwamba ule mchongo ni wa CCM,,ndo maana mambo ni kimyaaaaa!!!,,sema wale waliotumia loophole hio nao kujichotea ndo watasulubiwa hao,,,,ngoja tuone.
Kampuni inayotajwa hapa inaitwa Afritainer Limited ambayo wakurugenzi waliosaini Deed ni watumishi wa Caspian Limited inayomilikiwa na RA. Watumishi hao, ni Tabu Omari na Barati Godda. Tabu ni Katibu Muhtasi wa RA ambaye amekuwa akifanya kazi nyingi za siri za bosi wake ikiwa ni pamoja na kugawa fedha kwa waandishi wa habari na wanasiasa. Waandishi wengi wa habari na wanasiasa wanasema wanamfahamu sana huyo mama, akifanyia kazi zake Nyerere Road na Upanga.
Kwa mujibu wa Mwanahalisi fedha hizo kiasi cha Sh Bilioni 13, zilichukuliwa Agosti 2000, kabla ya uchaguzi wa pili wa vyama vingi, ambao Benjamin Mkapa, aligombea tena. Wakati huo RA alikuwa tayari amekwisha kumuingia Ben kupitia kwa Ruhinda.
Katika gazeti hilo jambo la kushitusha ni kwamba Dk. Ringo Tenga wa kampuni ya uwakili ya Law Associates ndiye aliyebariki nyaraka za Afritainer. Tenga ndiye aliyekabidhiwa kazi ya uanasheria wa Benki Kuu badala ya Mkono. Lakini ifahamike pia kwamba Tenga yuko karibu na wanamtandao na hivyo kila eneo wanaweka watu wao bila kujali uadilifu.
Jambo lingine ni kwamba Dk. Idris RAshid alikwenda Akiba Bank baada ya kutoka BoT na fedha za Afritainer zilipitia Akiba Bank. Lakini jambo la muhimu zaidi ni kwamba namba za simu na fax zilizotumiwa na kampuni ya Afritainer 2861372 zimetumika pia na Kagoda Agrocultural ambayo Mwanahalisi waliwahi kuandika kwamba Kagoda ni ya RA na yeye akakanusha na kufungua mashitaka. RA kwa sasa yuko busy na uzinduzi wa kampuni yaka ya New Habari, na hivyo habari hizi zimemrudisha nyuma baada ya "kujisafisha" kwa staili ya aina yake pale Kilimanjari Kempisk, hoteli iliyokuwa na heshima wakati wa uhai wa Baba wa Taifa, Mwalimu J.K. Nyerere, lakini sasa ni sehemu muhimu ya kufanyia mikakati ya kifisadi.
I am trying to remain calm.
This' what will kill your beloved country, don't just sit there... Do something!
kuna mtu aliandika kuwa ccm na mafisadi, kama akina rostam ni kama mbwa na chatu. si kikwete au yeyote anaweza kupumua mbele ya hawa mafisadi
Uko sahihi ndio maana hata hapa JF watu wamechoka, hawaoni hata sababu ya kuchangia kama ushahidi wa wazi upo na hakuna hatua
kampuni inayotajwa hapa inaitwa afritainer limited ambayo wakurugenzi waliosaini deed ni watumishi wa caspian limited inayomilikiwa na ra. Watumishi hao, ni tabu omari na barati godda. Tabu ni katibu muhtasi wa ra ambaye amekuwa akifanya kazi nyingi za siri za bosi wake ikiwa ni pamoja na kugawa fedha kwa waandishi wa habari na wanasiasa. Waandishi wengi wa habari na wanasiasa wanasema wanamfahamu sana huyo mama, akifanyia kazi zake nyerere road na upanga.
Kwa mujibu wa mwanahalisi fedha hizo kiasi cha sh bilioni 13, zilichukuliwa agosti 2000, kabla ya uchaguzi wa pili wa vyama vingi, ambao benjamin mkapa, aligombea tena. Wakati huo ra alikuwa tayari amekwisha kumuingia ben kupitia kwa ruhinda.
Katika gazeti hilo jambo la kushitusha ni kwamba dk. Ringo tenga wa kampuni ya uwakili ya law associates ndiye aliyebariki nyaraka za afritainer. Tenga ndiye aliyekabidhiwa kazi ya uanasheria wa benki kuu badala ya mkono. Lakini ifahamike pia kwamba tenga yuko karibu na wanamtandao na hivyo kila eneo wanaweka watu wao bila kujali uadilifu.
Jambo lingine ni kwamba dk. Idris rashid alikwenda akiba bank baada ya kutoka bot na fedha za afritainer zilipitia akiba bank. Lakini jambo la muhimu zaidi ni kwamba namba za simu na fax zilizotumiwa na kampuni ya afritainer 2861372 zimetumika pia na kagoda agrocultural ambayo mwanahalisi waliwahi kuandika kwamba kagoda ni ya ra na yeye akakanusha na kufungua mashitaka. Ra kwa sasa yuko busy na uzinduzi wa kampuni yaka ya new habari, na hivyo habari hizi zimemrudisha nyuma baada ya "kujisafisha" kwa staili ya aina yake pale kilimanjari kempisk, hoteli iliyokuwa na heshima wakati wa uhai wa baba wa taifa, mwalimu j.k. Nyerere, lakini sasa ni sehemu muhimu ya kufanyia mikakati ya kifisadi.