Ngamanya Kitangalala
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 501
- 1,214
Bilioni Kumi ukarabati pekee?Shughuli hiyo muhimu itafanyika kesho Jumatatu Januari 18, 2021na kuonyeshwa moja kwa moja na vyombo mbalimbali vya habari
Shule ya Sekondari ya Ihungo iliyopo mjini Bukoba Mkoani Kagera iliharibiwa kufuatia tetemeko la ardhi la Septemba 10, 2016
Tafuta picha zake, shule ina majengo na miundombinu ambayo baadhi ya vyuo vikuu vyetu havinaBilioni Kumi ukarabati pekee?
Sawa, asante Kwa Taarifa.
wahaya hawana shobo unaeza kuta anakuwa mwenyewe n katibu kata!!Shughuli hiyo muhimu itafanyika kesho Jumatatu Januari 18, 2021na kuonyeshwa moja kwa moja na vyombo mbalimbali vya habari
Shule ya Sekondari ya Ihungo iliyopo mjini Bukoba Mkoani Kagera iliharibiwa kufuatia tetemeko la ardhi la Septemba 10, 2016
Mbantu kazi yake kuachama domo tuuhMmmh bil 10?
Mikono yenye laana inaendelea kutenda laanaShughuli hiyo muhimu itafanyika kesho Jumatatu Januari 18, 2021na kuonyeshwa moja kwa moja na vyombo mbalimbali vya habari
Shule ya Sekondari ya Ihungo iliyopo mjini Bukoba Mkoani Kagera iliharibiwa kufuatia tetemeko la ardhi la Septemba 10, 2016