Kagame will never live in peace, ni mwoga mno!

Hapo kwenye Red yaani sijakuelewa unamaanisha nini, kwa wakati mmoja unakubali kwamba kulikuwa na intermarriages kati ya makibila lakini eti Watutsi hawakubadilika? This is scientifically wrong na haiwezekani, inabidi uwe makini na documents unazokumbana nazo kwenye internet manake nyingine zinakuwa zimeandikwa na watu kama wewe wasio na ujuzi wowote juu ya Rwanda:
Kuna Wa Hutu wengi tuu ambao ukiwaangalia phsically huwezi kuwatofautisha na wa Tutsi, at the same time kuna Watutsi wengi tu ukiwaangali huwezi kuwa tofautisha na WaHutu;
May i give you an example?just google some one called Tharcise Karugarama the former minister of Justice, the guy is pure Tutsi from Uganda angalia sura yake halafu niambie, ukishamaliza google image ya Bernard Makuza huyu kwa sasa ni senator na alikuwa waziri mkuu compare those two photos kwa kufuatisha vielelezo vyako:
Those are nonsense, true those are characteristic feutures za makabila hayo, uhusiano na kuingiliana kwa jamii hizi kumeleta kizazi kingine:
Another issue ni kwamba environment pia inasaidia in shaping some ones physical appearence ndio maana Mtutsi wa Tanzania,hafanani na yule wa Congo, au Burundi i hope you know that:

2:What is that operation you are talking about?Hahahh mbona serikali yako inasema ilikuwa ni operasheni dhidi ya wahamiaji haramu regardless ya walikotoka, na ndio maana wa Rundi,WaGanda,Kenyans etc ambao walikuwa wahamiaji haramu wote waliguswa na hiyo operation, am surprised kwamba wewe una insist kwamba ilikuwa inalenga wa Tutsi, really??hahah

3.Mataifa gani hayo yanaona Wa Tutsi kama nyoka!khaa just mention one of them with evidence;






Kwanza napenda kukufahamisha kuwa siandiki kwa mazoea wala kusikia tu bali nimeona mwenyewe na ninauzoefu na Rwanda maaa nimeishi Nyakarambi na Kibungo pia Mugiteranye na Muyinga nchini Burundi ingawa Bundi tuliishi kwa muda mchache na kuopt kuishi Rwanda iiyokuwa imeendelea kuliko Burundi maan baba yangu alikuwa ni daktari alienda huko kufungua Dispensaries zake binafsi huko miaka ya 1983-1989 nilikuwa mdogo nasoma shule za misingi lakini niliyajua sana haya mambo ya Utusi na Uhutu kwasababu yalikuwa waziwazi miaka ile watusi walitawala Burundi na wahutu walitawala Rwanda wakati sasa hivi ni vice versa



Si kweli kuwa watusi wa Rwanda wako tofuti na wa Brundi wala Tanzania au Congo au watusi wa Rwanda wanafanana zaidi ni big no watusi kuna features zinazowatofautisha na wabantu wengine na hata wao hutambuana na hawahitaji vitambulisho ukimuangalia Paul Kagame hafanani na Jenerali Fredy Rwigema Gwasa, wala Jenerali James Kabarege wala Jenerali Kayumba Nyamwaswa wala Col Patrick Karegeya lakini bado wana features zinaoonyesha wote ni watusi na ingawa hawafanani vile. Hata Burundi Michel Mchombero hafanani na Prince Louis Rwagasore, wala Col Babtiste Bagaza wala Major Pierre Buyoya lakini wana zile features za kuwafanya wote watambulike ni watusi. In matter of fact Major Buyoya resemble General Rwigema than Kagame who is more skinny and slake although they come from different countries to dispute your notion about Tusti from Rwanda are more identical than others




Muingiliano wa makabila kweli upo lakini kunabadhi ya asili za watu huacha tracks za features ndio maana wasomali leo bado wana features za kiarabu ingawa waliingiliana na wabantu lakini bado wana disintictive features likewise people from Horn of Africa the Ethiopians, the Eritreans and people from Djibout bado kuna tracks kuonyesha waliingiliana na watu wa mashariki ya kati ingawa makabila mengi afrika hutambulikana kwa lugha na utamadun wao yapo baadhi hutambulikana kwa features zao mfano watusi pia Riverlake Nilots unaweweza watambua pia ingawa wao ni rangi zaidi wakiingiliana inapotea mfano Luo, lango, Acholi na Nubians. Kwa watusi ni pua, masikio,shingo, ugoko wa mguu na unyayo wao ambao wengi wao hauko curved uko flat haya ya miguu niliyajua wakati nataka kujiunga jeshi miaka ile ulikuwa nichunguzi kwelikweli. Miei mshabki sana wa kwaya ya Kisabato kutoka Rwanda iitwayo Ambassodor to Christ wale waimbaji watusi ni wengi zaidi ingawa hawashabihiani lakni wana features za kuonyesha nani mtusi mle na nani sio mtusi I can Identify them so easily na haitachukua dakika moja kuisha
.



Kuhusu Operesheni ondoa Wanyarwanda haswa watutsi ilifunikwa kwa Tanzania kujifanya inatoa wahamiaji haramu pia toka Kenya, Malawi, na Burundi lakini lengo kubwa ilikuwa ni wayarwanda wenye asili ya kitusi it was just a cover up nawe ukawa faked and you bought it, hahahahahahahahahahahaha kweli Tanzania kiboko I was there in Biharamulo in matter of fact sikupenda maana kuna jamaa zangu nawajua sana rafiki zangu wamezaliwa Tanzania hata Rwanda hawaijui mie niliwasimulia mana nimeshi ilinisikiisha sana sababu ya mjinga Kagame anayekumbatia Kenya at the expenses of Tanzania wakati Tanzania, Rwanda na Burundi zimeingiliana na kuoleana kwa miaka mingi pia kufanya biashara kwa pamoja kuliko Kenya. Burundi wanalitambua sana ndio maana wako na Tanzania kasoro mjinga Kagame anayejifanya ni game changer


Ulitolea mfano wa mhutu kufanana kitusi na mtusi kufanana kihutu hiyo ni mfano michache sana one in a million unafikiri mauaji ya halaiki Rwanda Interahamwe waliangalia vitambulisho? Walichofanya waliangalia features hata watusi walionunua uhutu na vitambulisho kuandikwa wahutu maana wahutu walitawala ujiokoa upate madaraka ni kujifanya mhutu haikusaidia features zaidi ndio ilikuwa ni uthibiisho na si kitambulisho. Hata Burundi wakati watusi wanatawala wahutu walitoa fee maalumu kitambulisho kiandikwe mtusi bado haikusaidia ilipokuja mauaji ya halaiki Burundi ambapo Michel Mchombero aliua wahutu wengi miaka ya 70 ni features zilitumika kuofautisha nani mhutu nani mtusi vivyo hivyo wakati wa mauaji ya Melchor Ndadaye na wahutu wenzake mwaka 1993 yaliofanywa na Kanali Jean Bikomagu na kumrudisha Meja Buyoya madarakani
 
Talkandtalk tuhuma zako dhidi ya serikali ya kihutu ya Rwanda sio kweli hata wakati wa Habyarimana Rwanda ilikuwa imeendelea vyema tu iwapo maendeleo kwako mpaka mtusi awe rais basi uko sahihi lakini hata wakati wa Habyarimana, Rwanda ilikuwa vyema tu na watusi walionekana ni waasi na walijificha nchi jirani na wengine Uganda kwenye jeshi la Museveni kama ilivyo leo wahutu wako nchi za jirani na wengine ni waasi wa FDRL

At the beginning Kagame was perceived a hero who walked under the shadow of beloved General Freddy Rwigema before he turned to be a dictator who distorted the law to perpetuate atrocities by comitting high crimes against humanity under the so called fighting insurgents and remnants of INTERAHAMWE in Congo, also by dividing Rwandese people into two social class for permanent victimization of Tutsi and criminalization of Hutus, Today in Rwanda if your Tutsi, you are a victim (INKOTANYI WORRIOR) and f your Hutu, you are a criminal (INTERAHAMWE WORRIOR)

The accusation of Kagame against persecuting Hutus are too strong in the way Dictator Kagame cannot come forward and deny them, our very keen question to him and we would like him to come foward to answer something he won't do it is to tell us what happened to the prominent Hutu figures such as Pastore Bizimungu the immediate President of Rwanda after genocide, Faustine Twagiramungu the immediate Prime Minister, Seth Sendashonga the immediate Interior Minister and Dr Alex Kanyarwengwe the RPF chairman and Rwandan minister? These prominent Hutus fought alongside Kagame within RPF for the cause of Rwanda either in battle field or in diplomatic missions, and it was these prominent Hutus who showed the image of RPF in International communities as the Counter Revolutionary Party based on national unity not for a single tribe Tutsi as many critics and detractors pointed finger at RPF.

After the capture of Kigali many Hutus who fought for RPF were kept at the bay and others were given positions not very vital compared to their counterparts Tutsi, In military governments or dictatorship governments the following positions are very vital to run the regimes: Defense Minister, Chief of the Military, Chief of Intelligence, Chief of Intelligence in military, Commander of Army, Commander of Air force, Commander of operations within the military and all these positions none of them were given to a single Hutu, besides the Rwandan Army consisted 85% of soldiers belongs to Tusti tribe and 15% Hutu tribe while the Tusts only has 35% or less of population within the country the majority are Hutu with 5% percent or less Twa Tribe or known as Abayovu

Although Bizimungu became president of Rwanda in fact he was a hand out president mostly ceremonial the real power was vested to Paul Kagame a Vice President also a Defense Minister then but the de facto ruler of Rwanda. To prove his power the prominent hutus within the RPF government were accused and imprisoned for something they never did even thought of while others were forced to exile eventually ended in death after being assassinated at Kagame's order for instance Seth Sendashonga who was killed by a hit man in Nairobi. Talkandtalk the 50% position of cabinet you mentioned is useless if The Hutus are not given very vital positions which mostly are occupied by long neck and long nosed people The Tutsi

Some Tutsi such as Lt General Kayumba Nyamwasa and Col Patrick Karegeya knew very well about Kagame's atrocities distanced themselves from him fled the country and voiced out Kagame's crime to reach the International communities they survived many life attempts on them at the order of Kigali government eventually Col Karegeya was killed by coward ruthless and hertless agents acting on behalf of Dictator Kagame, rest in peace Comrade Karegeya you have shown your courage and for General Kayumba Nyamwaswa and his colleagues the will to depose Kagame goes on and the dream shall never die. Thus why we are here at Jamii Forum to let people know the truth




This is it, well said Mwanamutapa umemwaga kila kitu kwa ufasaha mkubwa hujapunguza wala kutia chumvi lo hivi Kikwete unasoma Jamii hapo mambo ya nje kuna vichwa kama huyu jamaa anavyochambua mambo ya mziwa makuu nimekufuatilia sana sio Rwanda tu bali hata Uganda, Burundi na Kenya uko fit, jamani Tanzania tuunde Tume ya uajili watu wasailiwe tupate wataalamu kama Mwanamutapa na wengine humu Jamii Forum, man you made my day. Thanks
 
Kwanza napenda kukufahamisha kuwa siandiki kwa mazoea wala kusikia tu bali nimeona mwenyewe na ninauzoefu na Rwanda maaa nimeishi Nyakarambi na Kibungo pia Mugiteranye na Muyinga nchini Burundi ingawa Bundi tuliishi kwa muda mchache na kuopt kuishi Rwanda iiyokuwa imeendelea kuliko Burundi maan baba yangu alikuwa ni daktari alienda huko kufungua Dispensaries zake binafsi huko miaka ya 1983-1989 nilikuwa mdogo nasoma shule za misingi lakini niliyajua sana haya mambo ya Utusi na Uhutu kwasababu yalikuwa waziwazi miaka ile watusi walitawala Burundi na wahutu walitawala Rwanda wakati sasa hivi ni vice versa



Si kweli kuwa watusi wa Rwanda wako tofuti na wa Brundi wala Tanzania au Congo au watusi wa Rwanda wanafanana zaidi ni big no watusi kuna features zinazowatofautisha na wabantu wengine na hata wao hutambuana na hawahitaji vitambulisho ukimuangalia Paul Kagame hafanani na Jenerali Fredy Rwigema Gwasa, wala Jenerali James Kabarege wala Jenerali Kayumba Nyamwaswa wala Col Patrick Karegeya lakini bado wana features zinaoonyesha wote ni watusi na ingawa hawafanani vile. Hata Burundi Michel Mchombero hafanani na Prince Louis Rwagasore, wala Col Babtiste Bagaza wala Major Pierre Buyoya lakini wana zile features za kuwafanya wote watambulike ni watusi. In matter of fact Major Buyoya resemble General Rwigema than Kagame who is more skinny and slake although they come from different countries to dispute your notion about Tusti from Rwanda are more identical than others




Muingiliano wa makabila kweli upo lakini kunabadhi ya asili za watu huacha tracks za features ndio maana wasomali leo bado wana features za kiarabu ingawa waliingiliana na wabantu lakini bado wana disintictive features likewise people from Horn of Africa the Ethiopians, the Eritreans and people from Djibout bado kuna tracks kuonyesha waliingiliana na watu wa mashariki ya kati ingawa makabila mengi afrika hutambulikana kwa lugha na utamadun wao yapo baadhi hutambulikana kwa features zao mfano watusi pia Riverlake Nilots unaweweza watambua pia ingawa wao ni rangi zaidi wakiingiliana inapotea mfano Luo, lango, Acholi na Nubians. Kwa watusi ni pua, masikio,shingo, ugoko wa mguu na unyayo wao ambao wengi wao hauko curved uko flat haya ya miguu niliyajua wakati nataka kujiunga jeshi miaka ile ulikuwa nichunguzi kwelikweli. Miei mshabki sana wa kwaya ya Kisabato kutoka Rwanda iitwayo Ambassodor to Christ wale waimbaji watusi ni wengi zaidi ingawa hawashabihiani lakni wana features za kuonyesha nani mtusi mle na nani sio mtusi I can Identify them so easily na haitachukua dakika moja kuisha
.



Kuhusu Operesheni ondoa Wanyarwanda haswa watutsi ilifunikwa kwa Tanzania kujifanya inatoa wahamiaji haramu pia toka Kenya, Malawi, na Burundi lakini lengo kubwa ilikuwa ni wayarwanda wenye asili ya kitusi it was just a cover up nawe ukawa faked and you bought it, hahahahahahahahahahahaha kweli Tanzania kiboko I was there in Biharamulo in matter of fact sikupenda maana kuna jamaa zangu nawajua sana rafiki zangu wamezaliwa Tanzania hata Rwanda hawaijui mie niliwasimulia mana nimeshi ilinisikiisha sana sababu ya mjinga Kagame anayekumbatia Kenya at the expenses of Tanzania wakati Tanzania, Rwanda na Burundi zimeingiliana na kuoleana kwa miaka mingi pia kufanya biashara kwa pamoja kuliko Kenya. Burundi wanalitambua sana ndio maana wako na Tanzania kasoro mjinga Kagame anayejifanya ni game changer


Ulitolea mfano wa mhutu kufanana kitusi na mtusi kufanana kihutu hiyo ni mfano michache sana one in a million unafikiri mauaji ya halaiki Rwanda Interahamwe waliangalia vitambulisho? Walichofanya waliangalia features hata watusi walionunua uhutu na vitambulisho kuandikwa wahutu maana wahutu walitawala ujiokoa upate madaraka ni kujifanya mhutu haikusaidia features zaidi ndio ilikuwa ni uthibiisho na si kitambulisho. Hata Burundi wakati watusi wanatawala wahutu walitoa fee maalumu kitambulisho kiandikwe mtusi bado haikusaidia ilipokuja mauaji ya halaiki Burundi ambapo Michel Mchombero aliua wahutu wengi miaka ya 70 ni features zilitumika kuofautisha nani mhutu nani mtusi vivyo hivyo wakati wa mauaji ya Melchor Ndadaye na wahutu wenzake mwaka 1993 yaliofanywa na Kanali Jean Bikomagu na kumrudisha Meja Buyoya madarakani





Mwanamutapa uko deep mno utafikiri unandika dissertation lo! mie napenda uandishi huu mtu anaandika kwa narratives and people can see from point of view unatakiwa kuwa mambo ya nje, pale nimekutana na vilaza wengi ambao hawakukuti katika ufahamu wa hizi anga za kimataifa au uko usalama wa taifa mkuu? Maan hata hapo panakufaa sana tena sana too deep negro you left no stone unturned
 
Nani akatafute Rwanda kazi? Nchi yenyewe overpopulated nimebahatika kuishi Rwanda nikiwa mdogo wakti wa Habyarimana huko Nyakarambi a Kibungo Rwanda haina lolote nchi ile ndogo sana hata pa kulima shida kupatikana wanyarwanda walikimblia Tanzania angalau kupata ardhi waweze kulima na kufuga meneo ya Rusumo, Nyakahura, Kanazi, Ngara, Biharamulo, Rulenge nk

Rwanda ndio watapata hasara na si Tanzania na kisa cha mgogoro wa Congo ni ardhi kinchi kidogo kama Mkoa wa Mara ile nchi haina maendeleo ya viwanda wala teknolojia kama Singapore au Taiwan kiasi cha kwamba watanzania wakatafute kazi bali level yake ni sawa na nchi za maziwa makuu na ukiwa huna viwanda na teknolojia ardhi ndio inakuwa raslimali kubwa ndio maana Tanzania na Congo ni sleeping giants sio vikalagosi Rwanda, Uganda wala Kenya waliokalia kuti kavu
Nani atafute Kazi Rwanda?hivi si wewe umetuambia uliishi Rwanda kwa sababu baba yako alienda kutafuta life Rwanda? Huna lolote you're just bias towards Tutsi writings zako ni evidence tosha
 
Talkandtalk tuhuma zako dhidi ya serikali ya kihutu ya Rwanda sio kweli hata wakati wa Habyarimana Rwanda ilikuwa imeendelea vyema tu iwapo maendeleo kwako mpaka mtusi awe rais basi uko sahihi lakini hata wakati wa Habyarimana, Rwanda ilikuwa vyema tu na watusi walionekana ni waasi na walijificha nchi jirani na wengine Uganda kwenye jeshi la Museveni kama ilivyo leo wahutu wako nchi za jirani na wengine ni waasi wa FDRL

At the beginning Kagame was perceived a hero who walked under the shadow of beloved General Freddy Rwigema before he turned to be a dictator who distorted the law to perpetuate atrocities by comitting high crimes against humanity under the so called fighting insurgents and remnants of INTERAHAMWE in Congo, also by dividing Rwandese people into two social class for permanent victimization of Tutsi and criminalization of Hutus, Today in Rwanda if your Tutsi, you are a victim (INKOTANYI WORRIOR) and f your Hutu, you are a criminal (INTERAHAMWE WORRIOR)

The accusation of Kagame against persecuting Hutus are too strong in the way Dictator Kagame cannot come forward and deny them, our very keen question to him and we would like him to come foward to answer something he won't do it is to tell us what happened to the prominent Hutu figures such as Pastore Bizimungu the immediate President of Rwanda after genocide, Faustine Twagiramungu the immediate Prime Minister, Seth Sendashonga the immediate Interior Minister and Dr Alex Kanyarwengwe the RPF chairman and Rwandan minister? These prominent Hutus fought alongside Kagame within RPF for the cause of Rwanda either in battle field or in diplomatic missions, and it was these prominent Hutus who showed the image of RPF in International communities as the Counter Revolutionary Party based on national unity not for a single tribe Tutsi as many critics and detractors pointed finger at RPF.

After the capture of Kigali many Hutus who fought for RPF were kept at the bay and others were given positions not very vital compared to their counterparts Tutsi, In military governments or dictatorship governments the following positions are very vital to run the regimes: Defense Minister, Chief of the Military, Chief of Intelligence, Chief of Intelligence in military, Commander of Army, Commander of Air force, Commander of operations within the military and all these positions none of them were given to a single Hutu, besides the Rwandan Army consisted 85% of soldiers belongs to Tusti tribe and 15% Hutu tribe while the Tusts only has 35% or less of population within the country the majority are Hutu with 5% percent or less Twa Tribe or known as Abayovu

Although Bizimungu became president of Rwanda in fact he was a hand out president mostly ceremonial the real power was vested to Paul Kagame a Vice President also a Defense Minister then but the de facto ruler of Rwanda. To prove his power the prominent hutus within the RPF government were accused and imprisoned for something they never did even thought of while others were forced to exile eventually ended in death after being assassinated at Kagame's order for instance Seth Sendashonga who was killed by a hit man in Nairobi. Talkandtalk the 50% position of cabinet you mentioned is useless if The Hutus are not given very vital positions which mostly are occupied by long neck and long nosed people The Tutsi

Some Tutsi such as Lt General Kayumba Nyamwasa and Col Patrick Karegeya knew very well about Kagame's atrocities distanced themselves from him fled the country and voiced out Kagame's crime to reach the International communities they survived many life attempts on them at the order of Kigali government eventually Col Karegeya was killed by coward ruthless and hertless agents acting on behalf of Dictator Kagame, rest in peace Comrade Karegeya you have shown your courage and for General Kayumba Nyamwaswa and his colleagues the will to depose Kagame goes on and the dream shall never die. Thus why we are here at Jamii Forum to let people know the truth

Ukiambiwa una copyc and paste unabisha,punguza kuchapia Google itakuumbua
 
Nani atafute Kazi Rwanda?hivi si wewe umetuambia uliishi Rwanda kwa sababu baba yako alienda kutafuta life Rwanda? Huna lolote you're just bias towards Tutsi writings zako ni evidence tosha



Mwanamutapa yuko deep anachosema kinaonekana, angalia alichoandika kasema toka mwanzo Rwanda ya zamani ilikuwa imeendelea na kasema nchi hizi zilifanya biashara baba yake alienda kama muwekezaji anachokataa ni wewe kusema Rwanda ya Kagame haina rushwa inapiga maendeleo kwa haraka kiasi kwamba watanzania wataenda kutafuta kazi akamwambia jamaa yako talk kuwa iwapo maendeleo ni mtusi kuwa madarakani sawa maana hata Rwanda ya Habyarima ilikuwa imeendelea vizuri nami nakubaliana naye maana iliitwa The Switzerland of Africa


Hayuko biase dhidi ya watusi anaelezea ubaya wa Kagame na jinsi watusi walivyojimbanua kwa maumbile Fulani kutofautisha na wengine na hili ni kweli lipi geni hapo? Mwanamutapa usipoteze muda hapa maana hata writtings zao kujibu hoja zako hazina mashiko wanababia tu kwasababu wanajua ukweli
 
Ukiambiwa una copyc and paste unabisha,punguza kuchapia Google itakuumbua





Hajachapia wala kucopy na kupaste tumeitumbukiza kama alivyosema hakuna sehemu yeyotewaa gazeti limeandika kama yeye kwa sentensi wala misamihati kilichokuogopesha ni uelewa wa jamaa ukadhania kapaste koba watanzania wamesoma usidhanie hawajui mambo, wewe ndo huna lolote nimefuatilia hoja zenu nikiwa kwa mbali nione nani ana hoja halisi Mwanamutapa ni mshindi kawabwaga kama pakacha. Nimefuatilia hata majina ya viongozi wa kihutu waliokuwa RPF exactly kama alivyosema Mwanamutapa nimeyagoogle moja bada ya jingine kasha nikatumbukiza dibaji yake haijaandikwa sehemu yeyote na yeye sasa ndiye mwandishi orginal kwa sentensi mpaka sentensi ingawa swali la kwamba wahutu wa RPF walionewa na Kagame wapo pia walioandika tena majina megine pia yametajwa ambapo Mwanamutapa wala hajaandika. Nyie ni mbaazi akikosa maua husingizia jua Mwanamutapa nakutaka urafiki faragha email yangu ni lumbugumasanyiwa@yahoo.com. ahsante kwa kuwa mwanajamii najifunza mengi juu yako na wengine mlio na maarifa kama ninyi
 
Nani atafute Kazi Rwanda?hivi si wewe umetuambia uliishi Rwanda kwa sababu baba yako alienda kutafuta life Rwanda? Huna lolote you're just bias towards Tutsi writings zako ni evidence tosha



Mbona unaongea kama huna bandama? Kwani baba yake Mwanamutapa kwenda Rwanda tayari Rwanda ni superior kwa Tanzania hao si watu mmoja mmoja? unataka kusema hakuna watanzania walioko Kenya, Rwanda, Uganda au Burundi wanafanya biashara, kazi au wanaishi? wapo lakini ni wachache kulinganisha na raia wa nchi hizo walioko Tanzania wanafanya kazi, biashara au wanaishi. Hata wamarekani wapo afrika wanafanya kazi na biashara lakini idadi yao ni chache kuliko waafrika walioko Marekani. Point ni kwamba wanyarwanda wamejaa Tanzania mkoa wa Kagera na Kigoma kuja kutafuta ardhi za kulima na kufuga kama alivyosema Mwanamutapa kuliko watanzania kujaa Rwanda. Mbona mambo yako wazi wewe ndio useless kumbe huna hata points, bogus na Mwanamutapa umeibuka kidedea haya marumbano case close utajibishana na wajinga. Na kipimo cha maisha bora ni raia wa nchi B kujaa nchi A maana yake nchi A ni bora kuliko B kwahiyo Tanzania ni bora kuliko Rwanda
 
Mbona unaongea kama huna bandama? Kwani baba yake Mwanamutapa kwenda Rwanda tayari Rwanda ni superior kwa Tanzania hao si watu mmoja mmoja? unataka kusema hakuna watanzania walioko Kenya, Rwanda, Uganda au Burundi wanafanya biashara, kazi au wanaishi? wapo lakini ni wachache kulinganisha na raia wa nchi hizo walioko Tanzania wanafanya kazi, biashara au wanaishi. Hata wamarekani wapo afrika wanafanya kazi na biashara lakini idadi yao ni chache kuliko waafrika walioko Marekani. Point ni kwamba wanyarwanda wamejaa Tanzania mkoa wa Kagera na Kigoma kuja kutafuta ardhi za kulima na kufuga kama alivyosema Mwanamutapa kuliko watanzania kujaa Rwanda. Mbona mambo yako wazi wewe ndio useless kumbe huna hata points, bogus na Mwanamutapa umeibuka kidedea haya marumbano case close utajibishana na wajinga. Na kipimo cha maisha bora ni raia wa nchi B kujaa nchi A maana yake nchi A ni bora kuliko B kwahiyo Tanzania ni bora kuliko Rwanda

Mara ya mwisho nasoma taarifa ya habari, mlikuwa mnawafukuza ijapokuwa ni raia wa tanzania wenye uraia wa kujiandikisha. Subiri nikutafutie picha uone hao mliowafukuza wanavyoishi ndani ya rwanda. You did them a favor.
 
kagame when was young..Right




Hahahahahahaha hapa jamvia limefungwa Mwanamutapa hongera picha ya Kagame na Rwigema ingawa sio identical, similarities alizosema Mwanamutapa ni sawa huitaji kitambulisho, pua ndefu, shingo ndefu, uso mrefu, paji la uso refu na hata masikio marefu kitambulisho cha nini? Mtusi anaonekana tu hawezi jificha kwahiyo Rwanda waandike kabila wasiandike kwenye kitambulisho bado wanajulikana kwa mtizamo
 
Mara ya mwisho nasoma taarifa ya habari, mlikuwa mnawafukuza ijapokuwa ni raia wa tanzania wenye uraia wa kujiandikisha. Subiri nikutafutie picha uone hao mliowafukuza wanavyoishi ndani ya rwanda. You did them a favor.






Huna lolote nawe nchi imesongamana kama alivyosema Mwanamutapa hakuna viwanda Rwanda wala hamna teknolojia kusema kuwa uchumi wa Rwanda umebase kwenye service mpoa sawa na Tanzania ila Tanzania inawazidi kwa ardhi, uchache wa watu tokana na eneo, maziwa, mito, madini, mali asili kibao ambapo ni no comparison nchi pekee ya kuitishia Tanzania ukanda huu katika raslimali ni Congo sio Rwanda wala nani


Hebu angalieni jamani wanyarwanda waliondoka kwao miaka ya 60 kwa kukosa ardhi maana watusi wengi walilazimishwa kukimbilia uhamishoni kisiasa na wengine kutoka kwa hiari, na hata walipotaka kurudi Juvenary Habyarimana alisema nchi ni ndogo hakuna pa kuwaweka leo hii Rwanda imepanuka toka lini? na wakati wa Habyarimana population ilikuwa million 7 leo ni milioni kumi na moja maana yake pressure kubwa. Sikiliza ndugu wadanganye wengine wanyarwanda waliofukuzwa wanaomba kurudi Tanzania na wengine wamerudi kinyamela na hii operesheni haikutoa wote wengi walibaki Tanzania, walioolewa na kuoa walikuwa wa kwanza kurudi mbio maana yake Rwanda hapamake sense kama Tanzania. Rwanda sio ulaya Magharibi wala Amerika ya kaskazini bali ni katone ka nchi kasiko na lolote ni sawa na kutaja Belarus huko Ulaya au Laos huko Asia halafu wanajifanya superpower kwa lipi?
 
Huna lolote nawe nchi imesongamana kama alivyosema Mwanamutapa hakuna viwanda Rwanda wala hamna teknolojia kusema kuwa uchumi wa Rwanda umebase kwenye service mpoa sawa na Tanzania ila Tanzania inawazidi kwa ardhi, uchache wa watu tokana na eneo, maziwa, mito, madini, mali asili kibao ambapo ni no comparison nchi pekee ya kuitishia Tanzania ukanda huu katika raslimali ni Congo sio Rwanda wala nani


Hebu angalieni jamani wanyarwanda waliondoka kwao miaka ya 60 kwa kukosa ardhi maana watusi wengi walilazimishwa kukimbilia uhamishoni kisiasa na wengine kutoka kwa hiari, na hata walipotaka kurudi Juvenary Habyarimana alisema nchi ni ndogo hakuna pa kuwaweka leo hii Rwanda imepanuka toka lini? na wakati wa Habyarimana population ilikuwa million 7 leo ni milioni kumi na moja maana yake pressure kubwa. Sikiliza ndugu wadanganye wengine wanyarwanda waliofukuzwa wanaomba kurudi Tanzania na wengine wamerudi kinyamela na hii operesheni haikutoa wote wengi walibaki Tanzania, walioolewa na kuoa walikuwa wa kwanza kurudi mbio maana yake Rwanda hapamake sense kama Tanzania. Rwanda sio ulaya Magharibi wala Amerika ya kaskazini bali ni katone ka nchi kasiko na lolote ni sawa na kutaja Belarus huko Ulaya au Laos huko Asia halafu wanajifanya superpower kwa lipi?

na kwa kuongeza tu right now Rwanda is the most densely populated country in Africa!
 
sasa uyo unayemwonyesha hapo kwenye picha, kagame alikuja kumuua, ni afande mmoja hivi walikuwa wote msituni wakitokea uganda.
Hater wa Kagame imefikia point mnaonekana wehu tuu.
 
At genome level hutu and tutsi of Rwanda share almost 99% as compared to tutsi of Rwanda and tutsi of Rulenge which genome comparability is less than 93% heard it when I was in Ngara, someone from NPA did a research, so hutu and tutsi of Rwanda are more blood relatives as compared btn tutsi of rwanda and tutsi from anywhere else.
Rwandans should not discriminate hutu/tutsi they should love each other as they are blood relatives, and we should not be discussing discrimination it is not worth it!
 
Back
Top Bottom