Kagame will never live in peace, ni mwoga mno!

Kagame will never live in peace, ni mwoga mno!

Hili lijamaa huwa linajifanya linajua facts but the FACT is...halina facts except ku copy and paste. Kama unavyosema Koba, hawa FDLR wana option mbili. 1. waweke silaha chini, wa renounce ideology yao ya ku wipe out tutsis ndio warudi hapa wawe intergrated kama mamilioni ya wengine walivyofanya. au 2. wabaki huko huko wafie huko huko. we cannot allow some 2,500 killers distabilise a country of 10+ million citizens who want to better themselves.

Nimecopy na kupaste official FDLR statements, wewe lete any official statement inayosema kuwa FDLR lengo lao ni kuua watutsi tumalize ubishi.
 
it is easier for a camel to go through the eye of a needle than for your to succeed. interahamwe wimp

Not that i'm advocating for genocide against tutsi, but let me ask you a simple question: what percentage of the entire tutsi population was wiped out in just 100 days in 1994?
 
Not that i'm advocating for genocide against tutsi, but let me ask you a simple question: what percentage of the entire tutsi population was wiped out in just 100 days in 1994?

One too many! Dimwit
 
Rwandan Genocide - Wikipedia, the free encyclopedia

Soma paragraph ya kwanza tu. Labda it will get through your thick head. BTW wikipedia sio gazeti la serikali ya Rwanda.

"....and 70% of the Tutsi then living in Rwanda" very good answer. Now if 70% of all tutsis were "wiped" in just 100 days, how is it "it is easier for a camel to go through the eye of a needle" to wipe out all of you today, given that now you are not only against interahamwe, but CONGO DRC, TZ, SA, France, US......
wewe hulioni hilo, lakini kikwete analiona ndio maana sisi tuna-advocate peace talks nyinyi mnaendelea kushambulia kila mtu, sikio la kufa halisikii dawa.
 
mkuu analysis yako ipo hewani inaelea mno.Hasa hiyo namba 6 inaonyesha ulivyo mweupe kwenye war strategia. Hivi unadhani military advancement vitani ni kama maji ya mto wenye mafuriko yanavyoporomoka!
@AZUSA STREET,

Nimeangalia haka ka analysis kako kamekaa kishamba sana,acha nikujibu:
1.Hao FDLR walibamizwa kutoka 20000 hadi 1500 ya wapiganaji sasa unafikirim hao ndio wataweza rwanda?
2.Kayumba hana jeshi,kinacho julikana anashirikiana na FDLR ambao hawana lolote la kumkosesha pk usingizi.
3.Kagame hatapitapi bali uhakika anao kuwa tanzania ina shirikiana na wapinzani wa serikali yake sio siri,instead tanzania ndio inatapatapa na kuomba maongezi kati ya kagame na kikwete kampala,juzi mkamtuma mwandosya kufanya nini? mbona sijasikia rwanda ikituma mtu wao tanzania?huoni nani anatapatapa?kikwete anajuta kushirikiana na FDLR.
4.Hebu acha uzushi,juzi maseneta wa marekani walienda rwanda na kusema kwamba hawana rafiki mzuri kama kagame katika dunia hii,nawewe unasema nini?
5.KAGAME haiogopi tanzania kwa sababu ya china,bali hapendi vita na majirani,lakini endapo tanzania itaishambulia rwanda kwa msaada wa china basi na rwanda itapata msaada kutoka marekani na nchi za magharibi kwani kilichopo ni vita ya kutawala afrika.
6.Rwanda ikipata msaada kutoka uganda na kenya nafikiri DAR itachukuliwa in 2 days kwani watateremka in a minute na kuingia tanzania tofauti ya hao SADIC ambao itawachukua muda kufika tanzania.lakini ninavyo elewa hakuna vita,kwani watanzania ni maneno tu tena na mnyarwanda haitaji vita ameichoka.

NB: KAGAME nafikiri ndiye rais anayesinzia bila wasiwasi kwani anajeshi imara,anawananchi wanaompenda na uchumi wa nchi yake unaendelea vizuri,huyo kikwete hawezi kumkosesha pk usingizi kamwe kwani si level yake.
 
"....and 70% of the Tutsi then living in Rwanda" very good answer. Now if 70% of all tutsis were "wiped" in just 100 days, how is it "it is easier for a camel to go through the eye of a needle" to wipe out all of you today, given that now you are not only against interahamwe, but CONGO DRC, TZ, SA, France, US......
wewe hulioni hilo, lakini kikwete analiona ndio maana sisi tuna-advocate peace talks nyinyi mnaendelea kushambulia kila mtu, sikio la kufa halisikii dawa.

This guy jmali ni very hateful,phrases like wipe out all or tutsi /hutu topics anazopost humu is a self explanatory of whats goin on katika mind yake,people should be scared of you
 
The safest,cleanest and most non corrupt state in Africa..hi vyo vitu is through discipline and hardwork sio longolongo mlizozoea,soon mtaanza kwenda Kigali kutafuta kazi na maisha bora wapuuzi wakubwa nyie na ndoto zenu za mchana

Najua unatamani kuja kuishi tanzania.
 
This guy jmali ni very hateful,phrases like wipe out all or tutsi /hutu topics anazopost humu is a self explanatory of whats goin on katika mind yake,people should be scared of you

Any great thinker anajua maana ya kuweka maneno kwenye quotation marks, it means ana nukuu! sasa sijui wewe vipi, hujui maana ya quotation marks au? Anyway, in case unajiuliza nilikuwa namnukuu nani, si mwengine ni your comrade murutongore, kwa hiyo kama kutumia maneno haya ni "hate" kwako, basi direct your blame kwa mtutsi mwenzio.
Sishangai sana kwani kwa unafiki nyinyi mko juu. Maneno alete mwenzio uniwakie mimi why? yale yale ya RPF, walijiita wenyewe inyenzi/cockroach, walipoanzwa kuitwa hivyo na wahutu neno likageuka hasi. Haya sasa, mshambulie murutongore tuone.



Hili lijamaa huwa linajifanya linajua facts but the FACT is...halina facts except ku copy and paste. Kama unavyosema Koba, hawa FDLR wana option mbili. 1. waweke silaha chini, wa renounce ideology yao ya ku wipe out tutsis ndio warudi hapa wawe intergrated kama mamilioni ya wengine walivyofanya. au 2. wabaki huko huko wafie huko huko. we cannot allow some 2,500 killers distabilise a country of 10+ million citizens who want to better themselves.

"....and 70% of the Tutsi then living in Rwanda" very good answer. Now if 70% of all tutsis were "wiped" in just 100 days, how is it "it is easier for a camel to go through the eye of a needle" to wipe out all of you today, given that now you are not only against interahamwe, but CONGO DRC, TZ, SA, France, US......
wewe hulioni hilo, lakini kikwete analiona ndio maana sisi tuna-advocate peace talks nyinyi mnaendelea kushambulia kila mtu, sikio la kufa halisikii dawa.
 
Hili lijamaa huwa linajifanya linajua facts but the FACT is...halina facts except ku copy and paste. Kama unavyosema Koba, hawa FDLR wana option mbili. 1. waweke silaha chini, wa renounce ideology yao ya ku wipe out tutsis ndio warudi hapa wawe intergrated kama mamilioni ya wengine walivyofanya. au 2. wabaki huko huko wafie huko huko. we cannot allow some 2,500 killers distabilise a country of 10+ million citizens who want to better themselves.

hata mkiwamaliza hao watusi ni sawa tu.

mkuu analysis yako ipo hewani inaelea mno.Hasa hiyo namba 6 inaonyesha ulivyo mweupe kwenye war strategia. Hivi unadhani military advancement vitani ni kama maji ya mto wenye mafuriko yanavyoporomoka!

Najua unatamani kuja kuishi tanzania.

Endelea na ndoto zako za mchana
its just a matter of time, yaani, kipindi RPF wapo msituni, walihesabika kama FDLR wa sasa, ungejisikiaje kama kagame angekuwa wiped off before reaching kigali?hata hao FDLR kuna siku watakuja kutia timu kigali na hautaamini kwasababu asilimia kubwa ya wanyarwanda sio watusi, ni wahutu ambao miyoni mwao ni FDLR ila machoni ni RPF. kipindi gadafi anatawala libya wakati akiwapa watu pesa za bure waoe na nyumba etc aliamini asilimia mia wapo naye, siku walipokuja kumgeuka hakuamini macho yake, kumbe walikuwa naye machoni mioyoni walikuwa wanamchukia kwa kuwanyima uhuru.

hakuna mhutu hata mmoja atakayekubali wahutu wenzie waendelee kuteseka msituni, amewaona maelfu wakiuawa na mtusi, akafurahi. hakuna mhutu kama huyo. its just a matter of time.

kitu pekee ambacho watz tunatakiwa kujiandaa ni kupokea wakimbizi wengine, however unfortunately time hii naamini hatutakuwa wakaribu kwa wanyarwanda kama kipindi cha nyuma kwasababu tu mesaidia wanyarwanda wengi. hawa wanaojua kiswahili humu ndani walisomea tz kwa kodi za tz wakila vyakula vya tz na kunya mav.i kwenye ardhi ya tz lakini leo hii kagame na watu wake wamesahau fadhila zote wakanyeea kambi. kuna siku mkirudi kwenye kambi hili mlalala kwenye mav.i. amini usiamini.

kabla ya rwanda kujiunga east africa, hakukua na matatizo, huyu mdudu rwanda/kagame alipotia mguu tu ni kama yule mdudu anayenuka, alichafua hali ya hewa hakuna maelewano, kizazi cha nyoka ni nyoka tu.
 
Hii ni hoja ya maana. I wish kila mtu angekuwa na mtazamo huu.

UOTE=Bongolander;8747621]Mkuu siku zote huwa napenda kuangalia uhusiano kati ya Rwanda na Tanzania beyond Paul Kagame na JK. Believe me hakuna ugomvi kati ya Rwanda na Tanzania, issue ya sasa ni ndogo sana.

Ni kweli PK ana wasiwasi, na sababu ni kuwa kuna mengi yanayomzunguka.

Lakini a point to add ni kuwa Kenya na Tanzania, hata kwa udi na uvumba na hata kwa uchochezi zitaendelea kuwa karibu, na kama ikijakutokea Kenya na Tanzania zimekorofosha kwa level kama ya Rwanda, basi ujue ni maajabu ya dunia. Kuna economic, cultural na people to people interactions za hali ya juu kiasi kwamba hata PK ajaribu kuvuruga hataweza.

Uganda is not a country anyway, it has three pieces in it and we have a stake in one. Rwanda yenyewe hata leo ukienda Kigali unaweza kukuta kuna product kubwa sana ya Tanzania.

That is why sikubaliani na hoja kuwa kuna wasiwasi wa vita kati ya TZ na Rwanda, PK know that pretty well.


PK amjeitahidi sana kuiongoza vizuri Rwanda, lakini anaudhi pale anapoanza ku-behave kama FDLR. FDLR walijifanya hwasikii la mtu na waliona mapanga is only way. Tabia ya kuua watu whether ni wahutu or watutsi, kwame haikubaliki.[/QUOTE]
 
Wishful thinking...mmebaki na foolish doomsday scenario kama kina sheikh ubwabwa na albadili zao ambao hata darasa la pili hawakumaliza mmeishiwa kabisa nyie,wenzenu wako busy building their country mmekalia majungu na hadithi za kutunga,wapuuzi wakubwa nyie
 
Hii ni hoja ya maana. I wish kila mtu angekuwa na mtazamo huu.

UOTE=Bongolander;8747621]Mkuu siku zote huwa napenda kuangalia uhusiano kati ya Rwanda na Tanzania beyond Paul Kagame na JK. Believe me hakuna ugomvi kati ya Rwanda na Tanzania, issue ya sasa ni ndogo sana.

Ni kweli PK ana wasiwasi, na sababu ni kuwa kuna mengi yanayomzunguka.

Lakini a point to add ni kuwa Kenya na Tanzania, hata kwa udi na uvumba na hata kwa uchochezi zitaendelea kuwa karibu, na kama ikijakutokea Kenya na Tanzania zimekorofosha kwa level kama ya Rwanda, basi ujue ni maajabu ya dunia. Kuna economic, cultural na people to people interactions za hali ya juu kiasi kwamba hata PK ajaribu kuvuruga hataweza.

Uganda is not a country anyway, it has three pieces in it and we have a stake in one. Rwanda yenyewe hata leo ukienda Kigali unaweza kukuta kuna product kubwa sana ya Tanzania.

That is why sikubaliani na hoja kuwa kuna wasiwasi wa vita kati ya TZ na Rwanda, PK know that pretty well.


PK amjeitahidi sana kuiongoza vizuri Rwanda, lakini anaudhi pale anapoanza ku-behave kama FDLR. FDLR walijifanya hwasikii la mtu na waliona mapanga is only way. Tabia ya kuua watu whether ni wahutu or watutsi, kwame haikubaliki.
[/QUOTE]

kweli kabisa. Tulipompiga Iddi Amin hatukua na uadui na waganda, vile vile kinachotokea sasa si uadui kati ya watanzania na wanyarwanda, tutaendelea kuwa ndugu post PK
 
Wishful thinking...mmebaki na foolish doomsday scenario kama kina sheikh ubwabwa na albadili zao ambao hata darasa la pili hawakumaliza mmeishiwa kabisa nyie,wenzenu wako busy building their country mmekalia majungu na hadithi za kutunga,wapuuzi wakubwa nyie

Kwa hyo sisi tumelala au siyo.Nyie mnapiga mzgo ndo maana bajeti yenu sio tegemezi.
 
kweli kabisa. Tulipompiga Iddi Amin hatukua na uadui na waganda, vile vile kinachotokea sasa si uadui kati ya watanzania na wanyarwanda, tutaendelea kuwa ndugu post PK[/QUOTE]

You wish you had a leader like Kagame. I know a lot of Tanzanians wanamkubali Kagame. They will not come out and say it lakini wanamkubali. Leadership style yake is rare in africa. Kama angekua kiongozi wenu nakuhakikishia mfano hao majangili wanaokaribia kuwamaliza tembo na faru wangekuwa wananyea debe. yeye habembelezi wala hamung'unyi maneno. Anyway he is ours and its for to keep on wishing you had him.
 
Wishful thinking...mmebaki na foolish doomsday scenario kama kina sheikh ubwabwa na albadili zao ambao hata darasa la pili hawakumaliza mmeishiwa kabisa nyie,wenzenu wako busy building their country mmekalia majungu na hadithi za kutunga,wapuuzi wakubwa nyie
mr koba, nchi gani yenyewe unayoongelea? unalinganisha rwanda na tz ukisema nyie mko busy building your country?hahaha, wewe umeishi hapa tz, unaijua tz vizuri kwasababu tulikupokea kama mkimbizi hapa umekimbia kufa kuja tz kwenye watu wenye roho nzuri....haujui kama Rwanda ni sawa na mkoa wa Dodoma pekee? how many Rwandas do we have within Tanzania, just look at the tz map halafu ujisemee mwenyewe, ndani ya tz kuna rwanda ngapi, linganisha resources kati ya rwanda na tz, linganisha watu, linganisha hata achievements zilizofikiwa, unafikiri mnayo nchi ninyi ya kujenga au mnao mkoa tu....sometimes you need to keep quiet instead of throwing rubbish.
 
Azusa street nani kakuambia I'm Rwandese?or nani kakuambia naisema Tanzania,FYI hao wanaomponda Kagame wengi wao sio watanzania usidanganyike na Kiswahili wanachoandika...
 
Azusa street nani kakuambia I'm Rwandese?or nani kakuambia naisema Tanzania,FYI hao wanaomponda Kagame wengi wao sio watanzania usidanganyike na Kiswahili wanachoandika...

Kwa hyo ni wa nchi gani ambao wanaomshambulia Rais PaKa
 
Back
Top Bottom