Kagame will never live in peace, ni mwoga mno!

Kagame will never live in peace, ni mwoga mno!

Hauko sahihi Azusa maana jamaa naye kamtukana jamaa kama alivyonitukana kule nyuma nawe hauko sahihi kuchochea jamaa afungiwe na isitoshe umeenda jukwaa la mahusiano, mapenzi na urafiki? Mbona kuna matusi makubwa zaidi? unachotakiwa ni kumushauri atumie lugha za kistaarabu sio kuinstigate afungiwe

tatizo la mtusi anataka haki bila wajibu, angeanza kumwonya aliyetukana kwanza!
 
Hivi wewe f.a.l.a unajua maana ya coma, full stop, excamation mark etc. Ndio maana nimekwambia wewe utakuwa ni product ya kayumba schools. Elimu hamna kabisa. Kajifunze kwanza jinsi ya kuandika halafu urudi hapa kwenye jukwaa la wasomi.

hayo yote nafikiri ungeanza kwanza kumshauri raisi wenu PAKA anayetawala bila hata cheti cha sekondari. NYANI HAONI KUNDULE
 
Hizi chuki towards watutsi is too much,i doubt kama wachangiaji wa hizi topics za Rwanda humu ni watanzania,ndugu zangu watanzania msidanganywe na hawa haters waliojaa humu JF wana ajenda zao na wengi wao ni fugitives wanted walio commit genocide,naona wamehamia JF kupata platform ya bure to advance agenda zao,msipokuwa makini watawaletea sumu iliyoleta genocide 1994...hawa mtu mwenye asili ya utusi sio binadamu kwao na hastahili kuishi,walichofanya 94 God knows!!
 
Too much hate bro,una shida gani??

ehehehe! kweli. mi nafikiri mnajijua. kwetu sisi wabongo, Kagame ndo tulikuwa tunamshangaa kukataa proposal ya rais wetu kwamba wakae pamoja na kumaliza tofauti zao. lakini huko rwanda naona kama there is something more....
 
The safest,cleanest and most non corrupt state in Africa..hi vyo vitu is through discipline and hardwork sio longolongo mlizozoea,soon mtaanza kwenda Kigali kutafuta kazi na maisha bora wapuuzi wakubwa nyie na ndoto zenu za mchana
Hivi koba yupo wapi haonekani jukwaani siku hizi
 
Kabarege aliyekua best wa PK katolewa kwenye wizara ya ulinzi je ndo mwanzo wa kutaka kumpoteza au wana mipango mingine mbeleni! Hawa jamaa ni kama chuo hawaeleweki kabisa
 
Kabarege aliyekua best wa PK katolewa kwenye wizara ya ulinzi je ndo mwanzo wa kutaka kumpoteza au wana mipango mingine mbeleni! Hawa jamaa ni kama chuo hawaeleweki kabisa
 
hofu kuu imemjaa,

1. FDLR wanaweza kutia timu wakati wowote tokea congo au maeneo mengine

2. Kayumba nyamwasa na kundi lake walioko ukimbizini wanaweza kumshambulia wakati wowote tokea eneo ambalo hadi sasa halijui. kayumba na wenzie walishafanya kazi naye post za juu hivyo anawajua walivyo imara na bora kuliko yeye katika vita na kila kitu, anawaogopa kuliko ukoma.

3. Kagame anatapatapa kiasi kwamba anaamini kuwa tz inawasaidia hao wapinzani wake, na anafikiri ati tz itawasaidia kuingilia Rwanda wapinzani wake. kitendo chake cha kuchimba mahandaki ni kubip tu ili pengine tz imwogope ikifikiri kuwa labda tz inamwogopa kwamba rwanda itaishambulia tz wakati wowote, ajabu yake ni kwamba, Tz inajua kuwa Rwanda haina uwezo wowote kuishambulia Tz milele, na kama Tz ikipata sababu za msigi inao uwezo kumshambulia kagame kufumba na kufumbua akasambaratika.

4. marafiki wa kagame kama vile MAREKANI na uingereza wamemtosa. hii imetokea baada ya OBAMA kuahirisha safari yake yeye alipokataa ushauri wa kuongea na FDLR. pia imesababishwa na kagame kumuua KAREGEYA africa kusini. jambo hili limepunguza sifa zake kimataifa na kila mtu anamlaani. marekani pia imelaani kitendo hicho. silaha hapati tena na ametoswa. marafiki zake waliobaki ni kenyatta ambaye hatabiriki na museven ambaye naye halali usingizi na hana raha ya maisha.

5. KAGAME anaiheshimu na kuiogopa sana Tanzania kwasababu ya wachina, anaamini kauli ya balozi wa china mwaka jana siku ile manowari ya kivita ya kichina ilipotua bandari ya dsm balozi akasema "ATAKAYE ISHAMBULIA TANZANIA AMEISHAMBULIA CHINA" akiwa na maana kuwa China itaisaidia Tanzania kupigana na maadui zake. jambo hili linamfanya aamini kuwa zile siri za kijeshi na silaha alizokuwa anajua tz tunazo sio statistic sahihi, wachina wanaweza kuwa wameleta sihala mpya na bora na wanaweza kuzileta wakati wowote kwasababu tz ina access ya bahari hivyo inaweza kuingiza mzigo bila kupitia nchi nyingine kama alivyo yeye landlocked.

6. KAGAME anajua kuwa, hata kama siku moja atapata msaada wa museven na kenyatta, Tanzania itasaidiwa sana na SADC katika kila kitu wakati wowote, hivyo uwezo wa kuishambulia tz hataupata milele.

mambo haya pamoja na mengi, yanamfanya kagame asilale usingizi, anajua wakati wowote anaweza kupindulia na watu wake, pia anajilaumu sana kumess up with Tanzania kitendo kilichofanya awe kama anao adui pembeni mwake ambaye anaweza kumfanya asilale usingizi kama akiamua.

pia kagame inasemekana ali mu underestimate kikwete, na anajilaumu kwanini aliingia bifu lile kwasababu amepata hasara zaiku kuliko faida kama asingeingia kwenye bifu na tz na kikwete.
rwanda ni zaidi ya muidhaniavyo japo tanzania si haba lkn haitokuja kamwe tz kupigana na rwanda fdlr nao hawana nguvu siku hzi hawana sapoti ata ya wacongoman
 
Muuawaji mkubwa na jangili wa Mali Asili za kongo....namchukia Sana.
Hakuna rais anaopiga kazi afrika kama Kagame.
Nyie pigeni majungu mwisho wa siku mtalala. Kagame ni mtu wa kazi si majungu.

Mungu ibariki Rwanda, Marekani na Tanzania.

Kagame we piga kazi usiwasikilize waswahili wamezoea maneno
 
@AZUSA STREET,

Nimeangalia haka ka analysis kako kamekaa kishamba sana,acha nikujibu:
1.Hao FDLR walibamizwa kutoka 20000 hadi 1500 ya wapiganaji sasa unafikirim hao ndio wataweza rwanda?
2.Kayumba hana jeshi,kinacho julikana anashirikiana na FDLR ambao hawana lolote la kumkosesha pk usingizi.
3.Kagame hatapitapi bali uhakika anao kuwa tanzania ina shirikiana na wapinzani wa serikali yake sio siri,instead tanzania ndio inatapatapa na kuomba maongezi kati ya kagame na kikwete kampala,juzi mkamtuma mwandosya kufanya nini? mbona sijasikia rwanda ikituma mtu wao tanzania?huoni nani anatapatapa?kikwete anajuta kushirikiana na FDLR.
4.Hebu acha uzushi,juzi maseneta wa marekani walienda rwanda na kusema kwamba hawana rafiki mzuri kama kagame katika dunia hii,nawewe unasema nini?
5.KAGAME haiogopi tanzania kwa sababu ya china,bali hapendi vita na majirani,lakini endapo tanzania itaishambulia rwanda kwa msaada wa china basi na rwanda itapata msaada kutoka marekani na nchi za magharibi kwani kilichopo ni vita ya kutawala afrika.
6.Rwanda ikipata msaada kutoka uganda na kenya nafikiri DAR itachukuliwa in 2 days kwani watateremka in a minute na kuingia tanzania tofauti ya hao SADIC ambao itawachukua muda kufika tanzania.lakini ninavyo elewa hakuna vita,kwani watanzania ni maneno tu tena na mnyarwanda haitaji vita ameichoka.

NB: KAGAME nafikiri ndiye rais anayesinzia bila wasiwasi kwani anajeshi imara,anawananchi wanaompenda na uchumi wa nchi yake unaendelea vizuri,huyo kikwete hawezi kumkosesha pk usingizi kamwe kwani si level yake.
Unaota ndoto ya mchana endelea kuota na kichaa wenu huyo muuwaji mkubwa...
 
Vita inatumika kuharibu uchumi,wanasiasa kuiba pesa,kupoteza roho zisizo hatia.Mungu aiepushilie mbali usidharau Rwanda wanaweza kujiongezea kagera na kigoma.
Labda usingizini mkuu...
 
Back
Top Bottom