Nampenda Rais wangu Kagame, uoga umewajaa watu mpaka povu lawatoka kwa maneno, kila post ni Kagame tuu.. Ukiuliza hivi hii yote yanini ooh!kamtukana Kikwete, upande mwingine Kikwete mwenyewe anasema tayari ameshamaliza tofauti zake na Kagame, na Tanzania imeonya vyombo vya habali vinavyokuza mgogoro usio kuwepo:
Hawa FDRL walishindwa wakiwa na nchi mkononi unadhani leo ndio wataweza?Wengi wa viongozi wa FDRL wanatafutwa jamii ya kimataifa kujibu kesi ya mauaji, hivi is this a credible organization to be considered a legal political party?
Comments za watu kama Jmali zilinifanya niingie into details na ukweli ni kwamba more than 50%of Rwanda cabinet ni Wa Hutu, ukianza na Prime Minister mwenyewe;
Sasa hoja hizi sijui oo Tutsi,Tutsi, sijui waHutu wanaonewa zinatoka wapi, hivi unadhani serikali inatofautisha vipi mTutsi na Mhutu wakati kwenye ID hakuna kabila, unadhani wakati wakuomba kazi unaweka kabila lako, au unadhani wa Tutsi wote wanafahamiana?
Uwezo wa Rwanda kujihami unajulikana, ndio maana to me i don`t care to who talks or try to organize the already disorganised FDRL kwani najua hakuna lolote wanaloweza kufanya:
Wishfull thinking which are coming out through forums like this wont cease:Ndio maana wale wote wanaoponda wataendelea kutumia future tense:
Rwanda ina miaka ishilini tu tangu ianze kujijenga kuilinganisha na nchi ambazo hazijakutana na matatizo inaonyesha ni wapi Rwanda imefika:
Wanya Rwanda hawana chuki dhidi ya wa Tanzania nadhani wa Tanzania walio Rwanda wanaweza ku confirm my statement.
Pia waTanzania najua hawana chuki yoyote dhidi ya wa NyaRwanda i mean what i am talking manake nikiwa Dar, sifichi kuwa mimi ni MNyaRwanda:
However kuna watu humu kwa faida zao binafsi hawapendi mentioning Rwandese as Rwandese wao wana attack Tutsi, so you can easily identify who are those attackers:
Talkandtalk tuhuma zako dhidi ya serikali ya kihutu ya Rwanda sio kweli hata wakati wa Habyarimana Rwanda ilikuwa imeendelea vyema tu iwapo maendeleo kwako mpaka mtusi awe rais basi uko sahihi lakini hata wakati wa Habyarimana, Rwanda ilikuwa vyema tu na watusi walionekana ni waasi na walijificha nchi jirani na wengine Uganda kwenye jeshi la Museveni kama ilivyo leo wahutu wako nchi za jirani na wengine ni waasi wa FDRL
At the beginning Kagame was perceived a hero who walked under the shadow of beloved General Freddy Rwigema before he turned to be a dictator who distorted the law to perpetuate atrocities by comitting high crimes against humanity under the so called fighting insurgents and remnants of INTERAHAMWE in Congo, also by dividing Rwandese people into two social class for permanent victimization of Tutsi and criminalization of Hutus, Today in Rwanda if your Tutsi, you are a victim (INKOTANYI WORRIOR) and f your Hutu, you are a criminal (INTERAHAMWE WORRIOR)
The accusation of Kagame against persecuting Hutus are too strong in the way Dictator Kagame cannot come forward and deny them, our very keen question to him and we would like him to come foward to answer something he won't do it is to tell us what happened to the prominent Hutu figures such as Pastore Bizimungu the immediate President of Rwanda after genocide, Faustine Twagiramungu the immediate Prime Minister, Seth Sendashonga the immediate Interior Minister and Dr Alex Kanyarwengwe the RPF chairman and Rwandan minister? These prominent Hutus fought alongside Kagame within RPF for the cause of Rwanda either in battle field or in diplomatic missions, and it was these prominent Hutus who showed the image of RPF in International communities as the Counter Revolutionary Party based on national unity not for a single tribe Tutsi as many critics and detractors pointed finger at RPF.
After the capture of Kigali many Hutus who fought for RPF were kept at the bay and others were given positions not very vital compared to their counterparts Tutsi, In military governments or dictatorship governments the following positions are very vital to run the regimes: Defense Minister, Chief of the Military, Chief of Intelligence, Chief of Intelligence in military, Commander of Army, Commander of Air force, Commander of operations within the military and all these positions none of them were given to a single Hutu, besides the Rwandan Army consisted 85% of soldiers belongs to Tusti tribe and 15% Hutu tribe while the Tusts only has 35% or less of population within the country the majority are Hutu with 5% percent or less Twa Tribe or known as Abayovu
Although Bizimungu became president of Rwanda in fact he was a hand out president mostly ceremonial the real power was vested to Paul Kagame a Vice President also a Defense Minister then but the de facto ruler of Rwanda. To prove his power the prominent hutus within the RPF government were accused and imprisoned for something they never did even thought of while others were forced to exile eventually ended in death after being assassinated at Kagame's order for instance Seth Sendashonga who was killed by a hit man in Nairobi. Talkandtalk the 50% position of cabinet you mentioned is useless if The Hutus are not given very vital positions which mostly are occupied by long neck and long nosed people The Tutsi
Some Tutsi such as Lt General Kayumba Nyamwasa and Col Patrick Karegeya knew very well about Kagame's atrocities distanced themselves from him fled the country and voiced out Kagame's crime to reach the International communities they survived many life attempts on them at the order of Kigali government eventually Col Karegeya was killed by coward ruthless and hertless agents acting on behalf of Dictator Kagame, rest in peace Comrade Karegeya you have shown your courage and for General Kayumba Nyamwaswa and his colleagues the will to depose Kagame goes on and the dream shall never die. Thus why we are here at Jamii Forum to let people know the truth