Kagame na Rwanda baada yake, "Kumbe vitini ni Maumivu"

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,865
35,874
Amesikika mwamba huyu wa Kigali:

1. Kwamba kwao wamewekeza kwa watu na kuwa taasisi imara.

2. Kwamba anaamini hata baada yake atapatikana mwingine labda hata bora zaidi:

42727.jpg


3. Kwamba kumbe tokea 1994 amekuwa akiendelea kitini kwa maumivu makali:

IMG_20240316_080117.jpg


4. Kwamba hata hivyo amekubali Tena, kwa maumivu makali mno kuwa July 2024 anakwenda mitano mingine.

5. Yawezekana kuna ka ukweli, kwa maana kuondoka madarakani kwa wakuu wengi haijawa rahisi sana; kuwa Kumbe ni kwa wingi wa huruma zao tu.

6. Ikumbukwe:

a) Bila Nyerere (RIP) kukomaa kivyake vyake, Mwinyi angekwenda mitano mingine 1995.

b) Bila Mkapa (RIP) kukomaa kivyake vyake, komando Salmin angekwenda mitano mingine.

c) Mkapa (RIP) naye akiwa ikulu aliwahi kusema: "msinione nanenepa, lakini cha moto nakiona."

d) Nyerere (RIP) naye akasema: "ikulu ni matatizo."

e) JPM (RIP) naye alishaandaa mazingira tukaambiwa atake asitake (tutake yusitake), 2025 mitano mingine!

7. Kwamba kina Putin, Xi, Kim, Museveni na wa namna hiyo wangali wanaendelea kukomaa, yawezekana ni kwenye kujitolea kuibeba misalaba hii kwa niaba ya watu wao.

Wasibezwe!

Source: NTV
_______

Habari zaidi Iko hapa:

Kagame speaks out on Rwanda after him
 
Ivan kagame yupo kwenye maandalizi ya ku take over!!

Sitoshangaa Ivan akateuliwa kuwa makam was Rais Ili Mzee aki resign katikati ya uongozi a takeover vizuri na kuwe na transition nzuri!!

Hata kule kwa Museven,Muhooz kainerugaba anaandaliwa kiakili kushika hatam!!

Sidhani kama kagame atamaliza term ijayo Hadi mwisho nadhani ata mwachia The apprentice wake!!!
 
Ivan kagame yupo kwenye maandalizi ya ku take over!!

Sitoshangaa Ivan akateuliwa kuwa makam was Rais Ili Mzee aki resign katikati ya uongozi a takeover vizuri na kuwe na transition nzuri!!

Hata kule kwa Museven,Muhooz kainerugaba anaandaliwa kiakili kushika hatam!!

Sidhani kama kagame atamaliza term ijayo Hadi mwisho nadhani ata mwachia The apprentice wake!!!
Kule mbona hawana hicho cheo cha makamu wa raisi?
 
Ivan kagame yupo kwenye maandalizi ya ku take over!!

Sitoshangaa Ivan akateuliwa kuwa makam was Rais Ili Mzee aki resign katikati ya uongozi a takeover vizuri na kuwe na transition nzuri!!

Hata kule kwa Museven,Muhooz kainerugaba anaandaliwa kiakili kushika hatam!!

Sidhani kama kagame atamaliza term ijayo Hadi mwisho nadhani ata mwachia The apprentice wake!!!

Kwa mujibu wa maelezo yake:

IMG_20240316_105505.jpg


Labda kama una maana kama kwetu ilivyo Kwa akina Hussein Mwinyi, Amani Karume, Ridhwani, January, Nape, Salma au wenye vinasaba na vigogo tunaoaminishana kuwa nao wananchi wengine wanayo haki ya kuula?
 
Kagame kaweza, ubabe ubabe huku kuna M23 anaowatumia kuua wakongo na kubeba madini ya kujenga uchumi wa damu wa Rwanda huku akidedisha wapinzani wa ndani mmoja mmoja hata ukimbilie nje atakuua tu ila siku Kagame akidondoka tu na kufa ninaona itakuwa mwisho wa amani nchini Rwanda na Burundi na kundi la kihutu la mauaji ya kimbari la Interahamwe litapigana vita kubwa na watutsi na kuchukua tena nchi hizo! Hapo watutsi lazima watafurushwa! Huzuni sana!

I can see in 100 years mbele Rwanda becoming a Hutu controled state again! Na ninaona vita kubwa itazuka btn Interahamwe na Uganda waliomsimika Rwanda Huyu Putin wa Afrika Mashariki!
Ni huzuni sana kwa watutsi when we recall 1994 massacre of cockroaches!

Kutumia sana mabavu mwisho wake huwa ni mauti! Mbegu anazopanda Kagame na chuki yake kwa wahutu na watutsi wenzake wanaompinga kuna siku atavuna kile kile!

Shida ya Rwanda-Burundi ni kabila la wahutu wanaoamini kuwa nchi hizo ni zao na watutsi ni wageni wanaopaswa kufurushwa kurudi north walikotoka! Hiyo iko kwenye damu ya wahutu na haitotoka milele! Wahutu bado wana hasira kali na kisasi na Kagame na Uganda cha kuuwawa Rais wao mhutu wa Rwanda Juvenal Habyarimana na Rais mhutu wa Burundi Cyprian Ntaryamira mwaka 1994 na jinsi nilivyosoma history ya Rwanda na Burundi Nina huzuni maana ninaona siku moja wahutu watalipa kisasi tu kwa kuua tena watutsi na Rais wao wa kitutsi na kuwafurusha Rwanda!!!

Genocide ya kuuwawa watutsi milioni moja na waasi wa kihutu wa Interahamwe in Rwanda in 1994 ni payback ya Holocaust ya mwaka 1972 ya Burundi baada ya watutsi kuua wahutu zaidi ya laki mbili tena wakichagua wasomi tu huko baada ya uasi wa wahutu kutaka kupindua nchi na kumsimika mwana mfalme wa kihutu a teenager Ntare V alierudi mjini Rumonge , Burundi kutawala nchi yao ya Burundi toka uhamishoni! Rais mtutsi sina uhakika kama ni Bagaza au Micombero hakukubali kupinduliwa machafuko yakianzia mji wa Rumonge na kusambaa na ikawa mauaji ya kimbari ya wahutu!! Miaka 22 baadae in 1994 wahutu wakalipa kisasi kwa kuua watutsi wa Rwanda five times ya walivyouwawa wao Burundi in 1972.

Hata Kagame ni mhamiaji Rwanda toka Uganda alikokimbilia na kuishi na familia yao akiwa mdogo!

Kagame anajua na dunia inajua kutoka kwake madarakani ni kwa kufa tu na si kuachia nchi kwa sababu ingine yoyote maana inaelezwa kuwa ameua watu wengi akiachia kiti hawatambakiza salama! Lazima nayeye wamtungue!

History ya Rwanda na Burundi ni za kutisha na kuogopa kama ukoma, those guys wana roho za chuma! Weka mbali na watoto!


These Hutu and Tutsi people are very dangerous! Wabongo tunawasoma! Na tuwe nao mbali!
 
Kwa mujibu wa maelezo yake:

View attachment 2935956

Labda kama una maana kama kwetu ilivyo Kwa akina Hussein Mwinyi, Amani Karume, Ridhwani, January, Nape, Salma au wenye vinasaba na vigogo tunaoaminishana kuwa nao wananchi wengine wanayo haki ya kuula?
Lugha za kisiasa hizo!

Kama amewaua karibia wote na kuwajeruhi kile kizazi au Rika aliloingia nalo Rwanda kipindi kile Cha genocide 1994 atakubalije kuchaguliwa mtu ambae yeye hajamhakiki na kumuafiki kama anamfaa akiwa out of strong hold!!?

RIP Patrick karegeya,fred rwigyema!Recover soon Kayumba nyamwasa!!!

Mind games hizo
 
Amesikika mwamba huyu wa Kigali:

1. Kwamba kwao wamewekeza kwa watu na kuwa taasisi imara.

2. Kwamba anaamini hata baada yake atapatikana mwingine labda hata bora zaidi:

View attachment 2935849

3. Kwamba kumbe tokea 1994 amekuwa akiendelea kitini kwa maumivu makali:

View attachment 2935850

4. Kwamba hata hivyo amekubali Tena, kwa maumivu makali mno kuwa July 2024 anakwenda mitano mingine.

5. Yawezekana kuna ka ukweli, kwa maana kuondoka madarakani kwa wakuu wengi haijawa rahisi sana; kuwa Kumbe ni kwa wingi wa huruma zao tu.

6. Ikumbukwe:

a) Bila Nyerere (RIP) kukomaa kivyake vyake, Mwinyi angekwenda mitano mingine 1995.

b) Bila Mkapa (RIP) kukomaa kivyake vyake, komando Salmin angekwenda mitano mingine.

c) Mkapa (RIP) naye akiwa ikulu aliwahi kusema: "msinione nanenepa, lakini cha moto nakiona."

d) Nyerere (RIP) naye akasema: "ikulu ni matatizo."

7. Kwamba kina Putin, Xi, Kim, Museveni na wa namna hiyo wangali wanaendelea kukomaa, yawezekana ni kwenye kujitolea kuibeba misalaba hii kwa niaba ya watu wao.

Wasibezwe!

Source: NTV
_______

Habari zaidi Iko hapa:

Kagame speaks out on Rwanda after him
Huyo anakuzuga wewe tu, maumivu makali ya kufanyaje?

Kuua na kufunga wapinzani au?

Hivi kuna binadamu atakaa sehemu ya maumivu agome kuondoka, ili hali kuna wengine nao wanataka wakae?

Halafu watapigana kufa na kupona ili watoto wao wakae hapo kwenye maumivu makali!

Hivi kwanza umetuonaje kutuletea hoja za kidwanzi kama hizi?
 
Lugha za kisiasa hizo!

Kama amewaua karibia wote na kuwajeruhi kile kizazi au Rika aliloingia nalo Rwanda kipindi kile Cha genocide 1994 atakubalije kuchaguliwa mtu ambae yeye hajamhakiki na kumuafiki kama anamfaa akiwa out of strong hold!!?

RIP Patrick karegeya,fred rwigyema!Recover soon Kayumba nyamwasa!!!

Mind games hizo

Hizo zote si ni tuhuma tu zisizokuwa na ushahidi?

IMG_20240316_111427.jpg
 
Amesikika mwamba huyu wa Kigali:

1. Kwamba kwao wamewekeza kwa watu na kuwa taasisi imara.

2. Kwamba anaamini hata baada yake atapatikana mwingine labda hata bora zaidi:

View attachment 2935849

3. Kwamba kumbe tokea 1994 amekuwa akiendelea kitini kwa maumivu makali:

View attachment 2935850

4. Kwamba hata hivyo amekubali Tena, kwa maumivu makali mno kuwa July 2024 anakwenda mitano mingine.

5. Yawezekana kuna ka ukweli, kwa maana kuondoka madarakani kwa wakuu wengi haijawa rahisi sana; kuwa Kumbe ni kwa wingi wa huruma zao tu.

6. Ikumbukwe:

a) Bila Nyerere (RIP) kukomaa kivyake vyake, Mwinyi angekwenda mitano mingine 1995.

b) Bila Mkapa (RIP) kukomaa kivyake vyake, komando Salmin angekwenda mitano mingine.

c) Mkapa (RIP) naye akiwa ikulu aliwahi kusema: "msinione nanenepa, lakini cha moto nakiona."

d) Nyerere (RIP) naye akasema: "ikulu ni matatizo."

7. Kwamba kina Putin, Xi, Kim, Museveni na wa namna hiyo wangali wanaendelea kukomaa, yawezekana ni kwenye kujitolea kuibeba misalaba hii kwa niaba ya watu wao.

Wasibezwe!

Source: NTV
_______

Habari zaidi Iko hapa:

Kagame speaks out on Rwanda after him
Rwanda presidential term ni 7years
 
Naona mtusi umekuja kutupoteza maboya, umetumwa?
Siku zote anachokisema wazi Kagame kwenye siasa ni tofauti na anachoenda kukifanya.

Ukweli ni kwamba mabavu huwa yana mwisho hayadumu hata siku moja, hata historia imetufunza hivyo.
 
Amesikika mwamba huyu wa Kigali:

1. Kwamba kwao wamewekeza kwa watu na kuwa taasisi imara.

2. Kwamba anaamini hata baada yake atapatikana mwingine labda hata bora zaidi:

View attachment 2935849

3. Kwamba kumbe tokea 1994 amekuwa akiendelea kitini kwa maumivu makali:

View attachment 2935850

4. Kwamba hata hivyo amekubali Tena, kwa maumivu makali mno kuwa July 2024 anakwenda mitano mingine.

5. Yawezekana kuna ka ukweli, kwa maana kuondoka madarakani kwa wakuu wengi haijawa rahisi sana; kuwa Kumbe ni kwa wingi wa huruma zao tu.

6. Ikumbukwe:

a) Bila Nyerere (RIP) kukomaa kivyake vyake, Mwinyi angekwenda mitano mingine 1995.

b) Bila Mkapa (RIP) kukomaa kivyake vyake, komando Salmin angekwenda mitano mingine.

c) Mkapa (RIP) naye akiwa ikulu aliwahi kusema: "msinione nanenepa, lakini cha moto nakiona."

d) Nyerere (RIP) naye akasema: "ikulu ni matatizo."

7. Kwamba kina Putin, Xi, Kim, Museveni na wa namna hiyo wangali wanaendelea kukomaa, yawezekana ni kwenye kujitolea kuibeba misalaba hii kwa niaba ya watu wao.

Wasibezwe!

Source: NTV
_______

Habari zaidi Iko hapa:

Kagame speaks out on Rwanda after him
Mwongo huyo. Mbona anaua sana wote wanaogombea urais kwa kuchuana naye kwenye kinganyiro. Anaogopa Nini. Hii inamaanisha uchaguzi ukiwa huru na akaruhusi mashindano atabwagwa mchana kweupe. Wanyarwand hawataki kama ambavyo warusi hawataki putini ndo mana anaua wapinzani wake. Nchi huru na strong ni marekani tu unaweza kushinda bila hata kuwa mwanasiasa. Everything is open and free in America. Other countries are nincompoop headed by china (total dictatorial regimes).

Jpm wanted to disastrous leader those mentioned above
 
Amesikika mwamba huyu wa Kigali:

1. Kwamba kwao wamewekeza kwa watu na kuwa taasisi imara.

2. Kwamba anaamini hata baada yake atapatikana mwingine labda hata bora zaidi:

View attachment 2935849

3. Kwamba kumbe tokea 1994 amekuwa akiendelea kitini kwa maumivu makali:

View attachment 2935850

4. Kwamba hata hivyo amekubali Tena, kwa maumivu makali mno kuwa July 2024 anakwenda mitano mingine.

5. Yawezekana kuna ka ukweli, kwa maana kuondoka madarakani kwa wakuu wengi haijawa rahisi sana; kuwa Kumbe ni kwa wingi wa huruma zao tu.

6. Ikumbukwe:

a) Bila Nyerere (RIP) kukomaa kivyake vyake, Mwinyi angekwenda mitano mingine 1995.

b) Bila Mkapa (RIP) kukomaa kivyake vyake, komando Salmin angekwenda mitano mingine.

c) Mkapa (RIP) naye akiwa ikulu aliwahi kusema: "msinione nanenepa, lakini cha moto nakiona."

d) Nyerere (RIP) naye akasema: "ikulu ni matatizo."

7. Kwamba kina Putin, Xi, Kim, Museveni na wa namna hiyo wangali wanaendelea kukomaa, yawezekana ni kwenye kujitolea kuibeba misalaba hii kwa niaba ya watu wao.

Wasibezwe!

Source: NTV
_______

Habari zaidi Iko hapa:

Kagame speaks out on Rwanda after him
Hata NETANYAHU asibezwe
 
Back
Top Bottom