Kwa Kitendo cha EAC Kumgeuka na Kumchoka Tshisekedi na Congo DR yake Mliomlaumu Kagame na Rwanda yake muombeni Radhi upesi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,647
109,034
Ukiona Mtu yoyote anapendwa au anakubalika na GENTAMYCINE jua huyo Mtu ana Akili Kubwa halafu Kabarikiwa na Mwenyezi Mungu na ukiona namchukia Mtu jua ni Mpumbavu na Mwendawazimu mno.

Mapema mwishoni mwa mwaka 2022 na mwanzoni mwa mwaka 2023 Rais wa Rwanda Paul GENTAMYCINE Kagame na Rwanda yake alipokea Shutuma nyingi kuwa Anaishambulia Congo DR na kumtaka aondoe Majeshi yake na pia aache Kuwaunga mkono Waasi wa M23 wenye Asili ya Ututsi na Kuiba Madini ya Congo DR.

Baada ya Shutuma hizo kutoka kwa Wapumbavu ( hasa baadhi Mataifa ya Afrika likiwemo moja lenye Mazuzu wengi linaloomboleza Watu Wawili waliokufa kwa UVIKO-19 ) Rais wa Rwanda Paul GENTAMYCINE Kagame akaona awatolee Uvivu na kuwajibu ifuatayo.

"Nawashangaa sana Wapuuzi wanaosema Mimi na Rwanda tunaishambulia Congo DR. Hivi kuna Taifa lolote la Ukanda huu wa EAC ambalo haliibi Madini ya Congo DR? au Rwanda inaonewa kutokana na Udogo wake? Ukweli ni kwamba Rais wa Congo DR Tshisekedi ni Muongo, Mkorofi, Mnafiki na hataki Amani na ipo Siku nyote mnaonishutumu mtanikumbuka kwani Yeye ndiyo sehemu ya Matatizo kwa Kushirikiana Kwake na Mataifa Makubwa duniani yanayomlinda ili yaibe Mali za Congo DR".... Mwisho wa Kumnukuu.

Hatimaye jana EAC imeamua Kumtolea Uvivu Rais wa Congo DR Tshisekedi na Kumtaka aheshimu Makubaliano ya Mkataba wa Amani ya Congo DR la sivyo itamchukulia hatua.

"Huyu Mtu hatumuelewi na sasa tunaanza Kumchoka. Kwanza alianza Kumlaumu Kagame na tukachunguza na kuona ni Uongo kisha akatugeuka na Sisi EAC kwa kusema hatumsaidii na kututaka tuyaondoe Majeshi yetu. Sasa tumemtaka aheshimu Makubaliano yaliyowekwa vinginevyo kama EAC tutamchukulia hatua na tutamuacha aendelee Kuteseka Mwenyewe kwani ni Kigeugeu mno" amesema Afisa wa EAC huko Mkoani Arusha Wikiendi hii.

Haya GENTAMYCINE nawauliza sasa wale VISOKOLOKWINYO / VIHEREHERE / WA KUWASHWAWASHWA ambao mlikuwa na mnamchukia Rais wa Rwanda Paul GENTAMYCINE Kagame na Wanyarwanda ( hasa wa Kabila la Tutsi ) je, Kauli aliyoisema Rais wa Rwanda na hii iliyosemwa Juzi na Afisa wa EAC juu ya Congo DR, Mzozo wa huko na Rais wao Tshisekedi zina tofauti gani?
 
Ukiona Mtu yoyote anapendwa au anakubalika na GENTAMYCINE jua huyo Mtu ana Akili Kubwa halafu Kabarikiwa na Mwenyezi Mungu na ukiona namchukia Mtu jua ni Mpumbavu na Mwendawazimu mno.

Mapema mwishoni mwa mwaka 2022 na mwanzoni mwa mwaka 2023 Rais wa Rwanda Paul GENTAMYCINE Kagame na Rwanda yake alipokea Shutuma nyingi kuwa Anaishambulia Congo DR na kumtaka aondoe Majeshi yake na pia aache Kuwaunga mkono Waasi wa M23 wenye Asili ya Ututsi na Kuiba Madini ya Congo DR.

Baada ya Shutuma hizo kutoka kwa Wapumbavu ( hasa baadhi Mataifa ya Afrika likiwemo moja lenye Mazuzu wengi linaloomboleza Watu Wawili waliokufa kwa UVIKO-19 ) Rais wa Rwanda Paul GENTAMYCINE Kagame akaona awatolee Uvivu na kuwajibu ifuatayo.....

"Nawashangaa sana Wapuuzi wanaosema Mimi na Rwanda tunaishambulia Congo DR. Hivi kuna Taifa lolote la Ukanda huu wa EAC ambalo haliibi Madini ya Congo DR? au Rwanda inaonewa kutokana na Udogo wake? Ukweli ni kwamba Rais wa Congo DR Tshisekedi ni Muongo, Mkorofi, Mnafiki na hataki Amani na ipo Siku nyote mnaonishutumu mtanikumbuka kwani Yeye ndiyo sehemu ya Matatizo kwa Kushirikiana Kwake na Mataifa Makubwa duniani yanayomlinda ili yaibe Mali za Congo DR".... Mwisho wa Kumnukuu.

Hatimaye jana EAC imeamua Kumtolea Uvivu Rais wa Congo DR Tshisekedi na Kumtaka aheshimu Makubaliano ya Mkataba wa Amani ya Congo DR la sivyo itamchukulia hatua.

"Huyu Mtu hatumuelewi na sasa tunaanza Kumchoka. Kwanza alianza Kumlaumu Kagame na tukachunguza na kuona ni Uongo kisha akatugeuka na Sisi EAC kwa kusema hatumsaidii na kututaka tuyaondoe Majeshi yetu. Sasa tumemtaka aheshimu Makubaliano yaliyowekwa vinginevyo kama EAC tutamchukulia hatua na tutamuacha aendelee Kuteseka Mwenyewe kwani ni Kigeugeu mno" amesema Afisa wa EAC huko Mkoani Arusha Wikiendi hii.

Haya GENTAMYCINE nawauliza sasa wale VISOKOLOKWINYO / VIHEREHERE / WA KUWASHWAWASHWA ambao mlikuwa na mnamchukia Rais wa Rwanda Paul GENTAMYCINE Kagame na Wanyarwanda ( hasa wa Kabila la Tutsi ) je, Kauli aliyoisema Rais wa Rwanda na hii iliyosemwa Juzi na Afisa wa EAC juu ya Congo DR, Mzozo wa huko na Rais wao Tshisekedi zina tofauti gani?
Wacongo wapuuzi sana wanafikiria m23 wakindoka watakuwa na amani wakati liinchi limejaa makundi ya waasi

USSR
Screenshot_20230510-232841.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna namna unaweza uka mtenganisha kagame na machafuko yanayo endelea congo, yeye ni mmoja wa wafadhili wa makundi kadhaa ya waasi walioko misitu ya congo na ndio sababu watusi hawapendwi kule maeneo ya mashariki na wana chinjwa huko karibu Kila siku hata kama amezaliwa congo lakini ukiwa mtusi we ni adui yao
 
Nashukuru kwa kuwa wa Kwanza kama Mke wangu na Kujitokeza hivi kuwataarifu Watu kuwa nipo Ofisini Sasa kwani Wewe ( Kama Mke wangu ) unajua Ratiba zangu zote na umeamua nje ya kuwa Mke wangu pia umeamua kujipa Majukumu ya kuwa Msemaji wangu Mwandamizi hapa JamiiForums.
Ukiona mtoto wa kiume kila kitu akili yako inakutuma kwenye kubomolewa ngema, bas mda sio mrefu wanakufumua kitoa kinyesi
 
Inakuwa aje hayo mataifa yako Congo? Huyo wa Rwanda kama kweli kasema hivyo, basi hakuna ujirani mwema kama kila jirani anaenda Congo kuiba.
 
Acha kudanganya watu. Hakuna kauli ya EAC inatolewa na afisa. Kauli ya EAC inatolewa na Katibu Mkuu wa EAC au Mwenyekiti wa Baraza la Marais Basi. Mengine unatudanganya.
 
Ukiona Mtu yoyote anapendwa au anakubalika na GENTAMYCINE jua huyo Mtu ana Akili Kubwa halafu Kabarikiwa na Mwenyezi Mungu na ukiona namchukia Mtu jua ni Mpumbavu na Mwendawazimu mno.

Mapema mwishoni mwa mwaka 2022 na mwanzoni mwa mwaka 2023 Rais wa Rwanda Paul GENTAMYCINE Kagame na Rwanda yake alipokea Shutuma nyingi kuwa Anaishambulia Congo DR na kumtaka aondoe Majeshi yake na pia aache Kuwaunga mkono Waasi wa M23 wenye Asili ya Ututsi na Kuiba Madini ya Congo DR.

Baada ya Shutuma hizo kutoka kwa Wapumbavu ( hasa baadhi Mataifa ya Afrika likiwemo moja lenye Mazuzu wengi linaloomboleza Watu Wawili waliokufa kwa UVIKO-19 ) Rais wa Rwanda Paul GENTAMYCINE Kagame akaona awatolee Uvivu na kuwajibu ifuatayo.

"Nawashangaa sana Wapuuzi wanaosema Mimi na Rwanda tunaishambulia Congo DR. Hivi kuna Taifa lolote la Ukanda huu wa EAC ambalo haliibi Madini ya Congo DR? au Rwanda inaonewa kutokana na Udogo wake? Ukweli ni kwamba Rais wa Congo DR Tshisekedi ni Muongo, Mkorofi, Mnafiki na hataki Amani na ipo Siku nyote mnaonishutumu mtanikumbuka kwani Yeye ndiyo sehemu ya Matatizo kwa Kushirikiana Kwake na Mataifa Makubwa duniani yanayomlinda ili yaibe Mali za Congo DR".... Mwisho wa Kumnukuu.

Hatimaye jana EAC imeamua Kumtolea Uvivu Rais wa Congo DR Tshisekedi na Kumtaka aheshimu Makubaliano ya Mkataba wa Amani ya Congo DR la sivyo itamchukulia hatua.

"Huyu Mtu hatumuelewi na sasa tunaanza Kumchoka. Kwanza alianza Kumlaumu Kagame na tukachunguza na kuona ni Uongo kisha akatugeuka na Sisi EAC kwa kusema hatumsaidii na kututaka tuyaondoe Majeshi yetu. Sasa tumemtaka aheshimu Makubaliano yaliyowekwa vinginevyo kama EAC tutamchukulia hatua na tutamuacha aendelee Kuteseka Mwenyewe kwani ni Kigeugeu mno" amesema Afisa wa EAC huko Mkoani Arusha Wikiendi hii.

Haya GENTAMYCINE nawauliza sasa wale VISOKOLOKWINYO / VIHEREHERE / WA KUWASHWAWASHWA ambao mlikuwa na mnamchukia Rais wa Rwanda Paul GENTAMYCINE Kagame na Wanyarwanda ( hasa wa Kabila la Tutsi ) je, Kauli aliyoisema Rais wa Rwanda na hii iliyosemwa Juzi na Afisa wa EAC juu ya Congo DR, Mzozo wa huko na Rais wao Tshisekedi zina tofauti gani?
Wewe na huyo boss wako mwenye sura kama vunja changu wote ni wapuuzi wa kupuuzwa.. ukweli utabaki kuwa palepale mlijinufaisha sana kupitia unyang'anyi wa madini pale Congo.. udhaifu wa wanasiasa wa Congo hauumpi mtu yoyote haki ya Kuwaibia mali zao.. tena mbaya zaidi unyang'anyi wa kutumia mtutu..
 
Back
Top Bottom