Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Naona maoni ya wengi yanafanana kabisa lakini ukweli ni kuwa kama Kafulil kavuliwa uanachama automatically na ubunge hana. Sababu zieshaelezwa na wengi waliochangia.
Hii itabaki kuwa changamoto kwa siku za usoni.
Hii itabaki kuwa changamoto kwa siku za usoni.