johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Katibu Tawala mstaafu wa mkoa wa Songwe David Kafulila yuko mubashara Clouds TV akielezea mafanikio ya awamu ya 5 chini ya Rais Magufuli na makandokando ya upinzani hususani CHADEMA na ACT-Wazalendo.
Karibu.
Chanzo: Clouds TV.
Maendeleo hayana vyama!
Karibu.
Chanzo: Clouds TV.
Maendeleo hayana vyama!