Kafulila ammwagia sifa Rais Magufuli kwa uongozi bora

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,968
141,975
Katibu Tawala mstaafu wa mkoa wa Songwe David Kafulila yuko mubashara Clouds TV akielezea mafanikio ya awamu ya 5 chini ya Rais Magufuli na makandokando ya upinzani hususani CHADEMA na ACT-Wazalendo.

Karibu.

Chanzo: Clouds TV.

Maendeleo hayana vyama!
 
Kafulila yupo vizuri sana katika kujenga hoja za kitaalam. Wale wapenda kutazama mtu badala ya hoja zake siku zote hawapungukiwi ujinga wa kuandika mitandaoni.
 
Back
Top Bottom