Kafara za ngono

Kafara za ngono

We jamaa huwa unakuwa MUONGO MUONGO SANA. nlihisi hili jambo halitakupita utalitafutia UONGO kama ulivyofanya kwa Dr Shika Ukaumbuka ukijidai yeye ni Shushushu kumbe hamna kitu.

Hakuja kafara ya kukutaka urecord video kama hiyo then eti ufanikiwe ni Uongo wa kitoto na mshana unaamini sisi wote humu watoto. UNATUKOSEA SANA WATU WAZIMA.

Mafanikio, ukwasi, utajiri, umaarufu, nguvu na ushawishi husakwa kwa njia nyingi sana, halali na haramu
Kwenye njia halali kuna Mungu mmoja tuu... Lakini kwenye njia haramu kuna miungu.... Sasa hapa inategemea mafanikio yako umeyapata kupitia mlango upi
Tukiachana na yote hebu tujikite kwenye kafara hizi mbili... Kafara ya damu na kafara ya manii... Hivi viwili vina nguvu sana kwakuwa vyote vina uhai ndani yake na vina miunganiko ya kiroho na maranyingi chemistry yake huenda pamoja..

Miungu ya kafara zote hizi mbili hufanya kazi pamoja lakini kukiwa na utofauti fulani.... mungu wa kafara ya damu huteketeza kilicho hai... I mean chenye uhai kamili, wakati mungu wa kafara ya manii huteketeza kinachotaka kutengeneza uhai (sperm catalyst)... Yani lengo lao huwa ni moja... Kuharibu... Lakini pia kuna wakati viwili hivi (damu na manii) huchukuliwa vikachanganywa pamoja na kuumbwa kitu kingine tofauti kabisa(kiumbe roho)
Hivi vitu vyote vya kuumbwa na binadamu huwa na kikomo cha matumizi (expiry date), yaani hupoteza nguvu na uwezo wake wa
Kukulinda
Kukupa nguvu
Kukupa utajiri
Kukupa umaarufu
Kukupa mvuto nknk
Ndio maana basi ukishaanza kwa mlango wa makafara utaenda hivyo mpaka utakaposhindwa masharti na kuumbuka... Vilevile kumbuka ya kwamba licha ya kikomo cha matumizi kuna viwango pia... Yaani kila kiwango champion utajiri, umaarufu nk kina kafara lake... Na kafara halina rivasi ana kupunguza kiwango bali huongezeka kila hatua

Baba mchungaji na mtumishi wa mungu, mtume na nabii amefanya kituko cha mwaka.. Maoni ni mengi malumbano ni mengi lakini uhalisia utabaki kuwa uhalisia
Kwenye video husika mtumishi anafanya ayafanyayo si kwa dhati ya moyo wake(freewill) bali kwa maelekezo maalum..
Ngono ni tamu sana na ina manjonjo na vionjo vyake kama ukiifanya kwa matamanio ya kawaida ya kimwili na hisia za mapenzi
Kanisa la mzee baba linayumba na si yeye pekee... Lakini miaka ya hivi karibuni amekuwa kwenye changamoto nyingi sana... Hasa kwenye ishu za mahusiano na vita na wanasiasa...
Ni katikati ya frustration na kutaka kusimana tena binadamu uwezo wa kufikiri na kuamua kwa weledi hupungua.... Mzee baba kaelekezwa kujirekodi akifanya kafara husika kisha aitume video kunakohusika ili kuwaaminisha kuwa ni kweli kafanya...
Bila kujua kuwa mawasiliano yake yanadukuliwa.... Amepigwa upper cut iliyoenda penyewe
 
Naona kama haja kubwa unejingonga kwenye feni inayo zunguka....tehteehhteeehhh
.
tapatalk_1557308892209.jpeg
 
MSHANA AMEDANGANYA. KAFARA HAZIHITAJ MTU AJI RECORD THEN IVUJE. HUU NI UONGO WA KITOTO NA MSHANA ANADHANI WOTE HUMU NI WATOTO. Watu wazima pia wamo. Hili suala halina kafara hata chembe kama ni gwajima kafanya makosa ya kiufundi ku record akila mzigo ili acheck baadaye alivyokuwa akisugua mashine. Hamna lolote jingine asitake kudanganya kama alivyodanganya kwa dr shika.

Mshana Jr katika hili bado kuna utata.

Sidhani kama kama kuna kafara ya ngono inayohusisha a mere girl, labda km huyo msichana alikuwa na u-special ambao hatuujui. Ingekuwa kafara tulitegemea kumuona akifanya mapenzi na either mnyama ama mwanamke ambaye si wa kawaida mfano kichaa.

Pili kafara huwa hazihitaji eti mtu ajirekodi na kuzituma mahali. Kafara ya ngono ww ukishafanya yako basi wao wanajua automatically. Hakuna digitalization kwenye mambo ya kafara.
 
We jamaa huwa unakuwa MUONGO MUONGO SANA. nlihisi hili jambo halitakupita utalitafutia UONGO kama ulivyofanya kwa Dr Shika Ukaumbuka ukijidai yeye ni Shushushu kumbe hamna kitu.

Hakuja kafara ya kukutaka urecord video kama hiyo then eti ufanikiwe ni Uongo wa kitoto na mshana unaamini sisi wote humu watoto. UNATUKOSEA SANA WATU WAZIMA.
Ni hili tu ama una la ziada? Bro wengi wamesoma na kupita kimya... Umeiona haukufai ungepita kimya... Sitakaa niache kuandika nionacho kinafaa kuandikwa nami
 
Amekubali kichwa ni chake ila amefanyiwa editing ili kumuondoa kwenye reli.

Dah nimeangalia press yake alipisema ni editing nilizima data.
 
Mafanikio, ukwasi, utajiri, umaarufu, nguvu na ushawishi husakwa kwa njia nyingi sana, halali na haramu
Kwenye njia halali kuna Mungu mmoja tuu... Lakini kwenye njia haramu kuna miungu.... Sasa hapa inategemea mafanikio yako umeyapata kupitia mlango upi
Tukiachana na yote hebu tujikite kwenye kafara hizi mbili... Kafara ya damu na kafara ya manii... Hivi viwili vina nguvu sana kwakuwa vyote vina uhai ndani yake na vina miunganiko ya kiroho na maranyingi chemistry yake huenda pamoja..

Miungu ya kafara zote hizi mbili hufanya kazi pamoja lakini kukiwa na utofauti fulani.... mungu wa kafara ya damu huteketeza kilicho hai... I mean chenye uhai kamili, wakati mungu wa kafara ya manii huteketeza kinachotaka kutengeneza uhai (sperm catalyst)... Yani lengo lao huwa ni moja... Kuharibu... Lakini pia kuna wakati viwili hivi (damu na manii) huchukuliwa vikachanganywa pamoja na kuumbwa kitu kingine tofauti kabisa(kiumbe roho)
Hivi vitu vyote vya kuumbwa na binadamu huwa na kikomo cha matumizi (expiry date), yaani hupoteza nguvu na uwezo wake wa
Kukulinda
Kukupa nguvu
Kukupa utajiri
Kukupa umaarufu
Kukupa mvuto nknk
Ndio maana basi ukishaanza kwa mlango wa makafara utaenda hivyo mpaka utakaposhindwa masharti na kuumbuka... Vilevile kumbuka ya kwamba licha ya kikomo cha matumizi kuna viwango pia... Yaani kila kiwango champion utajiri, umaarufu nk kina kafara lake... Na kafara halina rivasi ana kupunguza kiwango bali huongezeka kila hatua

Baba mchungaji na mtumishi wa mungu, mtume na nabii amefanya kituko cha mwaka.. Maoni ni mengi malumbano ni mengi lakini uhalisia utabaki kuwa uhalisia
Kwenye video husika mtumishi anafanya ayafanyayo si kwa dhati ya moyo wake(freewill) bali kwa maelekezo maalum..
Ngono ni tamu sana na ina manjonjo na vionjo vyake kama ukiifanya kwa matamanio ya kawaida ya kimwili na hisia za mapenzi
Kanisa la mzee baba linayumba na si yeye pekee... Lakini miaka ya hivi karibuni amekuwa kwenye changamoto nyingi sana... Hasa kwenye ishu za mahusiano na vita na wanasiasa...
Ni katikati ya frustration na kutaka kusimana tena binadamu uwezo wa kufikiri na kuamua kwa weledi hupungua.... Mzee baba kaelekezwa kujirekodi akifanya kafara husika kisha aitume video kunakohusika ili kuwaaminisha kuwa ni kweli kafanya...
Bila kujua kuwa mawasiliano yake yanadukuliwa.... Amepigwa upper cut iliyoenda penyewe
Uhalisia video ni fake na walioiandaa wana target zao. Wakati mwingine ni vema ukafanya utafiti yakinifu ili kubaini uhalisia Wa jambo.
 
MSHANA AMEDANGANYA. KAFARA HAZIHITAJ MTU AJI RECORD THEN IVUJE. HUU NI UONGO WA KITOTO NA MSHANA ANADHANI WOTE HUMU NI WATOTO. Watu wazima pia wamo. Hili suala halina kafara hata chembe kama ni gwajima kafanya makosa ya kiufundi ku record akila mzigo ili acheck baadaye alivyokuwa akisugua mashine. Hamna lolote jingine asitake kudanganya kama alivyodanganya kwa dr shika.
Umesoma reply yangu kwa huyo jamaa ama unataka tu kulazimisha kuwa nimeandika uongo?
Kwani hakuna hizo kafara?
Kwani Gwajima hana maadui?
Kwani mawasiliano yake hayawezi kudukuliwa?
Na una ithibati gani kuwa nimeandika uongo?
 
Uhalisia video ni fake na walioiandaa wana target zao. Wakati mwingine ni vema ukafanya utafiti yakinifu ili kubaini uhalisia Wa jambo.
Wewe umefanya utafiti gani kujua kuwa ni feki? Hebu weka genuine details hapa
 
Mafanikio, ukwasi, utajiri, umaarufu, nguvu na ushawishi husakwa kwa njia nyingi sana, halali na haramu
Kwenye njia halali kuna Mungu mmoja tuu... Lakini kwenye njia haramu kuna miungu.... Sasa hapa inategemea mafanikio yako umeyapata kupitia mlango upi
Tukiachana na yote hebu tujikite kwenye kafara hizi mbili... Kafara ya damu na kafara ya manii... Hivi viwili vina nguvu sana kwakuwa vyote vina uhai ndani yake na vina miunganiko ya kiroho na maranyingi chemistry yake huenda pamoja..

Miungu ya kafara zote hizi mbili hufanya kazi pamoja lakini kukiwa na utofauti fulani.... mungu wa kafara ya damu huteketeza kilicho hai... I mean chenye uhai kamili, wakati mungu wa kafara ya manii huteketeza kinachotaka kutengeneza uhai (sperm catalyst)... Yani lengo lao huwa ni moja... Kuharibu... Lakini pia kuna wakati viwili hivi (damu na manii) huchukuliwa vikachanganywa pamoja na kuumbwa kitu kingine tofauti kabisa(kiumbe roho)
Hivi vitu vyote vya kuumbwa na binadamu huwa na kikomo cha matumizi (expiry date), yaani hupoteza nguvu na uwezo wake wa
Kukulinda
Kukupa nguvu
Kukupa utajiri
Kukupa umaarufu
Kukupa mvuto nknk
Ndio maana basi ukishaanza kwa mlango wa makafara utaenda hivyo mpaka utakaposhindwa masharti na kuumbuka... Vilevile kumbuka ya kwamba licha ya kikomo cha matumizi kuna viwango pia... Yaani kila kiwango champion utajiri, umaarufu nk kina kafara lake... Na kafara halina rivasi ana kupunguza kiwango bali huongezeka kila hatua

Baba mchungaji na mtumishi wa mungu, mtume na nabii amefanya kituko cha mwaka.. Maoni ni mengi malumbano ni mengi lakini uhalisia utabaki kuwa uhalisia
Kwenye video husika mtumishi anafanya ayafanyayo si kwa dhati ya moyo wake(freewill) bali kwa maelekezo maalum..
Ngono ni tamu sana na ina manjonjo na vionjo vyake kama ukiifanya kwa matamanio ya kawaida ya kimwili na hisia za mapenzi
Kanisa la mzee baba linayumba na si yeye pekee... Lakini miaka ya hivi karibuni amekuwa kwenye changamoto nyingi sana... Hasa kwenye ishu za mahusiano na vita na wanasiasa...
Ni katikati ya frustration na kutaka kusimana tena binadamu uwezo wa kufikiri na kuamua kwa weledi hupungua.... Mzee baba kaelekezwa kujirekodi akifanya kafara husika kisha aitume video kunakohusika ili kuwaaminisha kuwa ni kweli kafanya...
Bila kujua kuwa mawasiliano yake yanadukuliwa.... Amepigwa upper cut iliyoenda penyewe
Ah ah ah ah ah
 
Habar gan wanaTHREADS!!Mim ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 30 nina taaruma ya upish japo c ya kusomea ila ni mpish mzur wa vyakula vya kiswahil kama wali,pilau,birian na rost aina zote pamoja na bites zote kama maandaz,chapat,sambusa na vingine ving..Napatikana kwa namba 0620 896481,natanguliza shukran...nipo iringa ...


Hebu tuwasiliane nikusaidie kwenye hili la kwako la kutafuta kazi kwanza... Nina kijiwe poa sana natafuta mpishi ingia hapa unaweza kusaidika

Poapoa boss
 
UONGO UONGO MWINGI.
Mshana kila Tukio unalitengenezea Thread
We jamaa hupitwi
Jamani hebu kuweni ma GT haitoshi kusema nasema uongo... Ainisha uongo wangu hatua kwa hatua.... Usisome nyuzi zangu kama unasoma gazeti la udaku utatoka kapa
 
Hapo hatudanganyiki,hiyo video ni ya kitambo sana na wala sio yeye, MSHANA kwa uzi huu umezingua
Kitambo...!? Kipi? Weka ushahidi.... Hizi blah blah hizi haziwezi kujibu hoja yangu kamwe
 
Back
Top Bottom