Kadogosa wa TRC, Badala ya kutetea Kodi za Watanzania yeye amekuwa mpiga debe wa Mkandarasi Yepi Markez. Je, tuendelee kumuamini?

Majitu kama wewe ni wapumbavu Sana,hujasoma mada wala kutafuta gazeti unaropoka mbwa wewe..

Nimekwambia huyo mpumbavu mwenzio analazimisha Yapi wapewe Kazi bila kushindana tena kwa gharama kubwa .

Lot ya Mwanza alitaka hivyo hivyo wakashindanisha yeye alikuwa na bei kubwa kuliko mchina,hapo nani anataka kula cha juu?

Ni hivi hiyo kampuni mliyoiweka Ili mpate pesa za bure ikaliza hicho kipande habari yake imeisha maana mnalazimisha ipate tender bila ushindani kwa sababu mnaitumia kupitisha pesa kwa kuongeza bei ya tender..

Haiwezekani walitofautiana na mchina kwa zaidi ya Til.1 lakini bado mnashinikiza.

Mama fukuza hawa misukule ya mwendazake ni majizi yamejificha kwenye kichaka cha uzalendo
Wewe ni mpumbavu,hiyo tenda ya mwanza isaka imepitishwa kipindi cha Magu na Kadogosa,sasa kelele zako za nini
 
Majizi yameanza kuchoma utambi na huku. Mlimuua Mfugale, mmemwondoa aliyekuwa waziri wa ujenzi, haitoshi mkamwondoa Kalemani kwa tricks na sasa Kadogosa. Wenye kuproject mbali tunaona na tunajua objectives zenu ila yana mwisho. Mkiona haitoshi na PM mtoaeni, mtoeni VP pia na muwatoe Kabudi, Jafo, Ndalichako na CDF make wote ni mabaki ya jpm. Wekeni mafisadi wenu na riz1 mpeni uwaziri kamili ..
Huyu bibi mwenye matiti makubwa inatakiwa apatikane mtu kama Hamza ajitoe muhanga 😂😂😂
 
Wewe ni mpumbavu,hiyo tenda ya mwanza isaka imepitishwa kipindi cha Magu na Kadogosa,sasa kelele zako za nini
Kinachofanya saizi ashinikize ni nini? Kwa nn hakushinikiza kipindi kile apewe Mturuki? Anadhani saizi kuna loop hole? Atafukuzwa
 
Acha porojo huwezi badili plan ya client unless mradi ni design and build napo unawasilisha design yako itakayokubalika ndio hiyo..

Kwa hiyo kama ubungo wakibadili wa kulaumiwa ni wachina au serikali? Sioni tatizo la wachina kwanza kushindana nao uwe umejipanga kwa teknolojia na Vifaa wao vyote wanavyo sio sawa na hao wazungu..

Kama mchina ana bei ndogo huyo ndio wa kwenda nae,mbona wamejenga barabara nyingi Sana Tzn na hakuna shida yoyote?
Bei ndogo zina gharama zake tena kubwa zaidi kwa baadaye. Kinachotakiwa ni ubora si kuangalia gharama ndogo kama hizo za wachina. Reli wanayojenga waturuki hata bei ikiwa kubwa zaidi ya mchina lakini ubora wake unaonekana reli ya mturuki itadumu miaka mia moja lakini ya mchina miaka hamsini tu.
 
Bei ndogo zina gharama zake tena kubwa zaidi kwa baadaye. Kinachotakiwa ni ubora si kuangalia gharama ndogo kama hizo za wachina. Reli wanayojenga waturuki hata bei ikiwa kubwa zaidi ya mchina lakini ubora wake unaonekana reli ya mturuki itadumu miaka mia moja lakini ya mchina miaka hamsini tu.
Ubora uko kwenye Usimamizi sio bei
 
Bora waturuki wana 'transfer knowledge' kwa wazawa bila choyo yoyote kuliko hawa wachina wanaleta wachina wenzao hadi vibarua kutoka China.
 
Ukiwa mj8nga usilazimishe wengine wawe wajinga na marofa kama wewe.
Sasa sema wewe unataka kampuni gani na ina bei gani na ubora gani na itatoa nini kwa watanzania?
Ili tuione ni bora kuliko hao makenzi sema hapa tuijue kama sio nyie mafisadi.
Wanataka wapenyeze kampuni zao hewa ionekane kampuni hii imesimama kutoa tender kwa kampuni ile yani mwisho kwenye kulipana watu wapige hela kilaini
 
Majizi yameanza kuchoma utambi na huku. Mlimuua Mfugale, mmemwondoa aliyekuwa waziri wa ujenzi, haitoshi mkamwondoa Kalemani kwa tricks na sasa Kadogosa. Wenye kuproject mbali tunaona na tunajua objectives zenu ila yana mwisho. Mkiona haitoshi na PM mtoaeni, mtoeni VP pia na muwatoe Kabudi, Jafo, Ndalichako na CDF make wote ni mabaki ya jpm. Wekeni mafisadi wenu na riz1 mpeni uwaziri kamili ..
Kwa hiyo kadagosa aendelee kuiba kwa kuwa aliwekwa na Mwendazake ?
 
Mturuki anajenga taratibu lakini kwa ubora wa hali ya juu kwa kufuata 'European standard' mafuriko yaliyopita wakati wanaendelea na ujenzi haijaathiri reli hata kidogo. Waturuki wanajenga reli idumu miaka miamoja na kuendelea.
 
Kuna s


Kuna sheria ya Single sourcing, unaweza mpa kazi kandarasi mmoja na sheria i inakulinda.

Hao wachina wasipewe kitu ni wezi na wana mafisadi nyuma yao wanataka kupiga trillions hapo. So Chinese companies zisipewe kabisa kitu Yapi wako vizuri na gharama nafuu sana kwa viwango vya kimataifa.
Yes sheria ya single sourcing ipo lakini ina wigo wake, ni lazima kuwe na some circumstances zinazoforce hiyo single source mfano unahitaji huduma ya kuunganishiwa umeme na kampuni iliyopo kwa sasa ni TANESCO peke yake, hapa sheria inaruhusu kutumia single source ila nje ya hapo mfano hii ya waturuki na wachina wote wanaweza kubid for tendering process.
 
Majizi yameanza kuchoma utambi na huku. Mlimuua Mfugale, mmemwondoa aliyekuwa waziri wa ujenzi, haitoshi mkamwondoa Kalemani kwa tricks na sasa Kadogosa. Wenye kuproject mbali tunaona na tunajua objectives zenu ila yana mwisho. Mkiona haitoshi na PM mtoaeni, mtoeni VP pia na muwatoe Kabudi, Jafo, Ndalichako na CDF make wote ni mabaki ya jpm. Wekeni mafisadi wenu na riz1 mpeni uwaziri kamili ..
Riz 1 anaingiaje hapo mtoto wa watu hana neno
 
Habari wadau..

Nimesoma habari kwenye gazeti la the Citizen kwamba kuna mvutano Kati ya Mkurugenzi wa TRC ndugu Kadogosa na Mamlaka ya Usimamizi wa Manunuzi ya Umma yaani PPRA Kuhusu kutoa tenders za ujenzi wa reli vipande vya makutopola Tabora na Tabora Isaka yaani lot 3 na 4.

Kwamba bwana Kadogosa hataki ushindani ufanyike badala yake anataka tender apewe Mturuki yaani kampuni ya Yapi Merkez bila kishindanishwa.

Sababu anazozitoa ni za kipuuzi na zinalengo la kumbeba huyo mkandarasi wake.

Kwa upande wa PPRA wao wanataka sheria ifuate mkondowake kwa kuweka ushindani Ili kupata thamani halisi ya fedha.

Wakaenda mbali zaidi kwa kutoa mfano kwamba kipande cha Isaka Mwanza baada ya ushindani mkandarasi aliyepatokana kampuni ya Kichina ili tender bei ya chini kuliko Yapi Merkez na tofauti ya bei baina yao ilikuwa ni zaidi ya Tilioni 1 na hivyo Serikali kuokoa pesa endapo wangepewa Yapi Merkez bila ushindani.

Sasa inashangaza bwana Kadogosa haoni hili ila anataka bei zake walizokubaliana na Yapi Merkez wapewe bila ushindani Ili apate chake.

Serikali fukizeni huyu mtu hawezi tena kuaminika na huenda anatupiga hata kwenye bei za Lots zilizotangulia.Hawa ndio Mwendazake alikuwa anawaita wazalendo wake,ni hatari sana hii.

Karibuni kwa mjadala. 👇

View attachment 1951944

View attachment 1951945

View attachment 1951946

View attachment 1951947
Acheni upoyoyo nyinyi,Lini mchina akajenga vitu vya kudumu na imara wakati hata Barabara anazopewa tenda zinaanzia kuaribika Kabla ya ufunguzi.

Kadogosa ni engineer na anaelewa haya mambo,nyinyi mmekalia hizo 10% za wachina tu mambo ya shirika litabaki vp hamna habari nayo.

Nani asiyejua PPRA ilivyokua mpaka kupitisha tu mambo bora license tena mnajidai kuangalia hela tu huku mkitupilia mbali ubora wa vitu.Muacheni mturuki amalize hyo KAZI
 
Umesoma au umekurupuka kama mkojo?

Unapewa au unashindana? Kwa hiyo wasipewe tender hata kama wanajenga kwa gharama ndogo Kisa Wana mafisadi nyuma?

Nchi inataka value for money au mambo ya ufisadi? Nani anataka kupiga anaeweka bei kubwa au mwenye bei ndogo? Akili kisoda.
Ww mtoto, shenzi kabisa, nitakupiga, mbwa koko ww, shithole unawatetea wachina unawajua jinsi wezi hawa? Tena hawafai kabisa majambazi hayo. Pumbaf ww
 
Umesoma au umekurupuka kama mkojo?

Unapewa au unashindana? Kwa hiyo wasipewe tender hata kama wanajenga kwa gharama ndogo Kisa Wana mafisadi nyuma?

Nchi inataka value for money au mambo ya ufisadi? Nani anataka kupiga anaeweka bei kubwa au mwenye bei ndogo? Akili kisoda.
Ww mtoto, shenzi kabisa, nitakupiga, mbwa koko ww, shithole unawatetea wachina unawajua jinsi wezi hawa? Tena hawafai kabisa majambazi hayo. Pumbaf ww
 
Ww mtoto, shenzi kabisa, nitakupiga, mbwa koko ww, shithole unawatetea wachina unawajua jinsi wezi hawa? Tena hawafai kabisa majambazi hayo. Pumbaf ww
Hao wengine unaowatetea wewe unawajua? Acha upumbavu,Wachina wameshafanya kazi Tzn miaka mingi..

Natetea value for money sio upigaji mnapotaka kufanya kwa kushinikiza Kazi wapewe kampuni ambayo mliitafuta bila kishindanisha tenda Ili mpige pesa mbwa nyie.
 
Acheni upoyoyo nyinyi,Lini mchina akajenga vitu vya kudumu na imara wakati hata Barabara anazopewa tenda zinaanzia kuaribika Kabla ya ufunguzi.

Kadogosa ni engineer na anaelewa haya mambo,nyinyi mmekalia hizo 10% za wachina tu mambo ya shirika litabaki vp hamna habari nayo.

Nani asiyejua PPRA ilivyokua mpaka kupitisha tu mambo bora license tena mnajidai kuangalia hela tu huku mkitupilia mbali ubora wa vitu.Muacheni mturuki amalize hyo KAZI
PPRA ndio anasimamia tenda au Kazi yake ni kuhakikisha sheria ya manunuzi Inafuata? Uliwahi sikia PPRA ndio wanachagua contractor? Acha ushamba.

Kazi za wachina ziko mbaya wapi? Tzn hii barabara na majengo 3/4 wanafanya wachina sasa sijui wewe huo ubovu unauonaga wewe tuu au? Kama kuna ubovu hao mnaowalipa salary kusimamia ubora wa kazi wanakua wanafanya nini?

Tuache bei reasonable kwa ajili ya ujinga wa mtu au tukubali bei ya kupikwa kwa sababu za kipumbavu?

Upigaji ulizikwa Chato.
 
Back
Top Bottom