Kabwe Vs. Wangwe - kisa cha mafahali wawili?

Field Marshal Es,

Mkuu wangu shukran tena huwezi amini kuwa nafikiria kufungasha virago vyangu huku kwenda beba gobole langu kwa uchungu mkubwa kwani haikutakiwa kufikia haya, Siasa naziogopa sana!...hao kina Ghandi mfano bora.
lakini pamoja na yote haya nakuomba ukumbuke yale yaliyotukuta kule Bcstimes tukaanza kufikiriwa kuwa ni watu tunaounda chama Chama cha Mapinduzi. wapo jamaa zangu hawaingii tena hapa kutokana na mshikemshike walokutana nao wakati ulee!..

Pia kama bado unakumbuka, kati ya hoja nzito za mwaka huo 2002 ama 2003 ( duh, miaka inayoyoma kweli) kulikuwa na swala la Tanzanite... ambalo serikali yetu ilitupa figure tofauti kitu kama 10% tu ya total production kisha takwimu za kimataifa zilpotoka watu tukakiamsha...Ni wakati huo huo tulifungiwa kwa mara ya kwanza maanake ushahidi ulikuwepo wazi kuonyesha kuwa Tanzanite ilikuwa ikiibiwa vibaya sana.

Madai nyao yalikuwa wezi ni wananchi wachimbaji wenyewe, then why wasiweke mipango na sheria ambazo zitazuia wizi kama huo. Sii ndio kazi ya serikali kuweka policy zinazolinda maslahi ya taifa! - tena basi, walisema hivyo hivyo kuwa uchumi umekua hali figures wanazotupa ni tofauti kabisa na ukweli wenyewe. kwa hiyo mzee wangu, kwa kuelewa hivyo ndio maana niliendelea kushika kamba ya Mheshimiwa Zitto hadi alipofika yeye mwenyewe kuthibitisha kile alichokisema.

Hawa mafisadi wamezoea sana kutudanganya. Maghala yetu yamejaa mali lakini wanaweka tobo zao, mirija na kufyonza toka ktk main reserves kisha wanataka sisi tukubali kuwa hakuna kitu isipokuwa kile tunachokiona... na wamekuwa wajuzi sana wa kutumia neno hili sisi maskini hai wao wakijilipa mishahara mikubwa kuliko hata viongozi wa nchi za magharibi. majumba yao masafari yao yaani huu umaskini wetuinabidi kuutazama upya na kwa mwanga mkubwa zaidi.

Waibe lakini basi wajenge kitu kionekane lakini kuiba mtaji kisha kusingizia umaskini nasi tukakubali kuwa kweli uchumi wetu haukui ktk baadhi ya shemu ni kujifunga wenyewe kwani ni wendawazimu kudai kuwepo kwa Mafisadi. Ni muhimu kwa Zitto kusema alosema ili kuweza kuleta mantiki ktk yale alokuwa akiyasema.

Sasa basi kisera nadhani tofauti kubwa iliyopo kati ya CCM na Chadema ni pale tunapoweka vipaumbele vyetu. Mathlan Chadema wanaweza kuwa waamini kuwa maendeleo yetu yatatokana na kilimo na wakakipa nafasi zaidi ya CCM lakini tunapofikia kulinda maslahi ya viingizio hivi hakuna sera ila ni uzalendo wa kusema na kukubali kinachovunwa kuwa kipo isipokuwa... balaa blaa blaaa.
 
Mwanakijiji, kwa watu walio werevu watajiuliza: nyinyi mlikuwa wapi miaka yote hii na sasa ndio mnaamua kubadili mifumo ya utawala wenu? Ina maana mlikuwa hamjui kuwa mna mfumo mbovu?

Na nini kitakachotufanya tuwaamini sasa hivi kuwa haya mabadiliko yenu ni ya kweli na ya nia njema na si kujichotea kura tu ili muendelee kutawala?

For me, I would tell them, you people have had umpteen chances to do what is right for the country but each time you were given one you blew it. Therefore, I don't believe you.

You need to sit out for a minute and do some soul-searching and hopefully next time around you'll come back better, with a purpose and a clear direction of where you want to take the country.
 

Whistling.........
 

RIP wangwe, Zitto ungeusikia ushauri huu wa Mzee Mwanakijiji usingetufikisha hapa tulipo leo.
 
Last edited by a moderator:
mara nyingi umaarufu unaotokana na mambo mema huwa hauvumi. Umaarufu unaotokana na uovu ndio unaovuma sana na kwa muda mrefu.
1. Nadhani tuna wanasiasa ambao they are still immature both politically and socially. In principle they are using political parties as a platform for their social development (fame)and personal interest.
2. The politics of personalities are difficult to manage and always results into creating irresponsible society.
3. Zitto is famous, lakini hili sio lililomleta kwenye siasa. Anadai anataka kuwatumikia wananchi. sawa, wananchi wapi hao zitto, uliowazaa ndio unataka kuwaua!

Mimi nadhani kuwe na msemaji mmoja tu wa chama kama ilivyo shauriwa na wengine kabla. Na mtu ambae hawezi kufuata taratibu za usemaji katika chama, basi, sio lazima awe kiongozi wa chama. Akapige kelele huko porini kama wengine! Maana wanaoathirika ni wananchi na sio wao au wake zao!
 
Tunaposema maandishi ya JF hayafi nafikiri watu wataanza kuelewa! ifike mahali tumsifie Mzee Mwanakijiji akiwa hai!

Kila mara anayosema yanatokea!
 
Last edited by a moderator:
Kuwa chama kimoja si sababu ya kufanya watu wasitofautiane. tatizo liko kwetu wenye uelewa mdogo ktk mambo ya siasa. Tutatika 2
 
Na Zitto kwa wakati huo aliungwa mkono sana na Kafulila
Akaendelea kulewa sifa mpaka akaanza kutumika,na kuwatumia masalia& co.

hongera Mzee Mwanakijiji kwa kumshtukia Zitto akiwa kinda kabisa
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…