Field Marshal Es,
Mkuu wangu shukran tena huwezi amini kuwa nafikiria kufungasha virago vyangu huku kwenda beba gobole langu kwa uchungu mkubwa kwani haikutakiwa kufikia haya, Siasa naziogopa sana!...hao kina Ghandi mfano bora.
lakini pamoja na yote haya nakuomba ukumbuke yale yaliyotukuta kule Bcstimes tukaanza kufikiriwa kuwa ni watu tunaounda chama Chama cha Mapinduzi. wapo jamaa zangu hawaingii tena hapa kutokana na mshikemshike walokutana nao wakati ulee!..
Pia kama bado unakumbuka, kati ya hoja nzito za mwaka huo 2002 ama 2003 ( duh, miaka inayoyoma kweli) kulikuwa na swala la Tanzanite... ambalo serikali yetu ilitupa figure tofauti kitu kama 10% tu ya total production kisha takwimu za kimataifa zilpotoka watu tukakiamsha...Ni wakati huo huo tulifungiwa kwa mara ya kwanza maanake ushahidi ulikuwepo wazi kuonyesha kuwa Tanzanite ilikuwa ikiibiwa vibaya sana.
Madai nyao yalikuwa wezi ni wananchi wachimbaji wenyewe, then why wasiweke mipango na sheria ambazo zitazuia wizi kama huo. Sii ndio kazi ya serikali kuweka policy zinazolinda maslahi ya taifa! - tena basi, walisema hivyo hivyo kuwa uchumi umekua hali figures wanazotupa ni tofauti kabisa na ukweli wenyewe. kwa hiyo mzee wangu, kwa kuelewa hivyo ndio maana niliendelea kushika kamba ya Mheshimiwa Zitto hadi alipofika yeye mwenyewe kuthibitisha kile alichokisema.
Hawa mafisadi wamezoea sana kutudanganya. Maghala yetu yamejaa mali lakini wanaweka tobo zao, mirija na kufyonza toka ktk main reserves kisha wanataka sisi tukubali kuwa hakuna kitu isipokuwa kile tunachokiona... na wamekuwa wajuzi sana wa kutumia neno hili sisi maskini hai wao wakijilipa mishahara mikubwa kuliko hata viongozi wa nchi za magharibi. majumba yao masafari yao yaani huu umaskini wetuinabidi kuutazama upya na kwa mwanga mkubwa zaidi.
Waibe lakini basi wajenge kitu kionekane lakini kuiba mtaji kisha kusingizia umaskini nasi tukakubali kuwa kweli uchumi wetu haukui ktk baadhi ya shemu ni kujifunga wenyewe kwani ni wendawazimu kudai kuwepo kwa Mafisadi. Ni muhimu kwa Zitto kusema alosema ili kuweza kuleta mantiki ktk yale alokuwa akiyasema.
Sasa basi kisera nadhani tofauti kubwa iliyopo kati ya CCM na Chadema ni pale tunapoweka vipaumbele vyetu. Mathlan Chadema wanaweza kuwa waamini kuwa maendeleo yetu yatatokana na kilimo na wakakipa nafasi zaidi ya CCM lakini tunapofikia kulinda maslahi ya viingizio hivi hakuna sera ila ni uzalendo wa kusema na kukubali kinachovunwa kuwa kipo isipokuwa... balaa blaa blaaa.
Mkuu wangu shukran tena huwezi amini kuwa nafikiria kufungasha virago vyangu huku kwenda beba gobole langu kwa uchungu mkubwa kwani haikutakiwa kufikia haya, Siasa naziogopa sana!...hao kina Ghandi mfano bora.
lakini pamoja na yote haya nakuomba ukumbuke yale yaliyotukuta kule Bcstimes tukaanza kufikiriwa kuwa ni watu tunaounda chama Chama cha Mapinduzi. wapo jamaa zangu hawaingii tena hapa kutokana na mshikemshike walokutana nao wakati ulee!..
Pia kama bado unakumbuka, kati ya hoja nzito za mwaka huo 2002 ama 2003 ( duh, miaka inayoyoma kweli) kulikuwa na swala la Tanzanite... ambalo serikali yetu ilitupa figure tofauti kitu kama 10% tu ya total production kisha takwimu za kimataifa zilpotoka watu tukakiamsha...Ni wakati huo huo tulifungiwa kwa mara ya kwanza maanake ushahidi ulikuwepo wazi kuonyesha kuwa Tanzanite ilikuwa ikiibiwa vibaya sana.
Madai nyao yalikuwa wezi ni wananchi wachimbaji wenyewe, then why wasiweke mipango na sheria ambazo zitazuia wizi kama huo. Sii ndio kazi ya serikali kuweka policy zinazolinda maslahi ya taifa! - tena basi, walisema hivyo hivyo kuwa uchumi umekua hali figures wanazotupa ni tofauti kabisa na ukweli wenyewe. kwa hiyo mzee wangu, kwa kuelewa hivyo ndio maana niliendelea kushika kamba ya Mheshimiwa Zitto hadi alipofika yeye mwenyewe kuthibitisha kile alichokisema.
Hawa mafisadi wamezoea sana kutudanganya. Maghala yetu yamejaa mali lakini wanaweka tobo zao, mirija na kufyonza toka ktk main reserves kisha wanataka sisi tukubali kuwa hakuna kitu isipokuwa kile tunachokiona... na wamekuwa wajuzi sana wa kutumia neno hili sisi maskini hai wao wakijilipa mishahara mikubwa kuliko hata viongozi wa nchi za magharibi. majumba yao masafari yao yaani huu umaskini wetuinabidi kuutazama upya na kwa mwanga mkubwa zaidi.
Waibe lakini basi wajenge kitu kionekane lakini kuiba mtaji kisha kusingizia umaskini nasi tukakubali kuwa kweli uchumi wetu haukui ktk baadhi ya shemu ni kujifunga wenyewe kwani ni wendawazimu kudai kuwepo kwa Mafisadi. Ni muhimu kwa Zitto kusema alosema ili kuweza kuleta mantiki ktk yale alokuwa akiyasema.
Sasa basi kisera nadhani tofauti kubwa iliyopo kati ya CCM na Chadema ni pale tunapoweka vipaumbele vyetu. Mathlan Chadema wanaweza kuwa waamini kuwa maendeleo yetu yatatokana na kilimo na wakakipa nafasi zaidi ya CCM lakini tunapofikia kulinda maslahi ya viingizio hivi hakuna sera ila ni uzalendo wa kusema na kukubali kinachovunwa kuwa kipo isipokuwa... balaa blaa blaaa.