Kaburi la CCM linachimbwa na Polisi

Kaburi la CCM linachimbwa na Polisi

Quinine

Platinum Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
25,165
Reaction score
60,513
Kwa sasa hakuna chombo cha dola kinachochukiwa na wananchi kama jeshi la polisi, na kadri jeshi linavyochukiwa ndivyo wananchi wanavyozidi kuichukia serikali.

Jeshi la polisi linatuhumiwa kuhusika na matukio mbalimbali ya kihalifu ikiwemo utekaji (SATIVA).

Uhalifu unafanyika bila jeshi kuchukua hatua yeyote zikichukuliwa zinafanywa kwa upendeleo, watu wanauawa (Kibao) wanatekwa wanapotea (Polepole) polisi inasema inafanya uchunguzi, miezi miaka inapita jamii inaangalia.

Lawama za polisi kunyanyasa wananchi na upinzani (CHADEMA) ni kubwa kuliko miaka yote, kesi za kisiasa (Lissu) ni nyingi kuliko kipindi chochote, upendeleo kwa chama tawala umekuwa mkubwa na wazi bila kificho.

Jeshi haliheshimu haki za binadamu, ukifika kituoni haki yako lazima uinunue hata haki ya kudhaminiwa.

Chuki ikizidi sana hutokea uasi wa sheria.

Bila maboresho ya muundo wa Jeshi la Polisi kama ilivyoshauriwa na Tume ya Jaji Mstaafu Chande (2023), soon or later linakwenda kuizika CCM na serikali yake.

Save this thread.
 
Mbona lilishakamilika kitambo bado mazishi tuu
IMG-20260415-WA0001.jpg
 
Kwa sasa hakuna chombo cha dola kinachochukiwa na wananchi kama jeshi la polisi, na kadri jeshi linavyochukiwa ndivyo wananchi wanavyozidi kuichukia serikali.

Jeshi la polisi linatuhumiwa kuhusika na matukio mbalimbali ya kihalifu ikiwemo utekaji (SATIVA).

Uhalifu unafanyika bila jeshi kuchukua hatua yeyote zikichukuliwa zinafanywa kwa upendeleo, watu wanauawa (Kibao) wanatekwa wanapotea (Polepole) polisi inasema inafanya uchunguzi, miezi miaka inapita jamii inaangalia.

Lawama za polisi kunyanyasa wananchi na upinzani (CHADEMA) ni kubwa kuliko miaka yote, kesi za kisiasa (Lissu) ni nyingi kuliko kipindi chochote, upendeleo kwa chama tawala umekuwa mkubwa na wazi bila kificho.

Jeshi haliheshimu haki za binadamu, ukifika kituoni haki yako lazima uinunue hata haki ya kudhaminiwa.

Chuki ikizidi sana hutokea uasi wa sheria.

Bila maboresho ya muundo wa Jeshi la Polisi kama ilivyoshauriwa na Tume ya Jaji Mstaafu Chande (2023), soon or later linakwenda kuizika CCM na serikali yake.

Save this thread.
Tatizo hata mkiwachukia hamna cha kuwafanya ,ndio uzuri wenyewe na ndicho wanacho lingia hicho,bunduki wanazo wao,amri wanazo wao,mamlaka wanayo wao ,kesi wanafungua wao ,uchunguzi wanafanya wao, utawafanya nini kwa mafano hadi hapo.
 
Kwa sasa hakuna chombo cha dola kinachochukiwa na wananchi kama jeshi la polisi, na kadri jeshi linavyochukiwa ndivyo wananchi wanavyozidi kuichukia serikali.

Jeshi la polisi linatuhumiwa kuhusika na matukio mbalimbali ya kihalifu ikiwemo utekaji (SATIVA).

Uhalifu unafanyika bila jeshi kuchukua hatua yeyote zikichukuliwa zinafanywa kwa upendeleo, watu wanauawa (Kibao) wanatekwa wanapotea (Polepole) polisi inasema inafanya uchunguzi, miezi miaka inapita jamii inaangalia.

Lawama za polisi kunyanyasa wananchi na upinzani (CHADEMA) ni kubwa kuliko miaka yote, kesi za kisiasa (Lissu) ni nyingi kuliko kipindi chochote, upendeleo kwa chama tawala umekuwa mkubwa na wazi bila kificho.

Jeshi haliheshimu haki za binadamu, ukifika kituoni haki yako lazima uinunue hata haki ya kudhaminiwa.

Chuki ikizidi sana hutokea uasi wa sheria.

Bila maboresho ya muundo wa Jeshi la Polisi kama ilivyoshauriwa na Tume ya Jaji Mstaafu Chande (2023), soon or later linakwenda kuizika CCM na serikali yake.

Save this thread.
Nawataka waongeze bidii kuchimba kaburi litakalokizika chama kinacho watuma .
 
Walishalichimba sema wanaendelea kuongeza kina kiwe kirefu zaidi
 
Back
Top Bottom