Kabudi ndiyo Goebbels wa leo

Kabudi ndiyo Goebbels wa leo

Mkuu hata mimi sielewi anabebwa na nini wengine wanasema msambwanda, wengine wanadai ndiye mkuu wa wasiojulikana na kuna wanaosema ndiye mkuu wa idara ya kamati ya ufundi.
Hamna mwenye sifa zote tatu. Ndiyo maana ni ngumu kumtema.

Halafu kijana Manula anatafuta ugomvi na Stone.
 
Anyway Chama kilichojengwa na waasisi na wapigania uhuru kimekuja kusambaratishwa na Wala miwa wawili hii ni rekodi nyingine
 
Mtu hawezi kuja nyumbani kwako akasema ili nikusaidie hii shida yako ngoja nmgonge mkeo kwanza! Alafu eti unakubali.

Niko pamoja na Kabudi na selikali yangu, kama wanataka kutusaidia walete hiyo misaada bila masharti ya lazima mfanye hivi mara vile, hapo uhuru wako uko wapi?

Lazima tuwadishie hata kama tutapata shida lkn tutapata akili ya kutafuta vyetu.
Midhali hatujaweza kujitegemea miaka yote hii tangu Uhuru, bado tunategemea misaada, basi hatuna jeuri bali tutatii matakwa ya Beberu tu, hata tujifarague vipi
 
Ukifuatilia matamshi na matendo yake, ni dhahiri Kabudi ndiyo Goebbels wa leo.
Wakati Adolf Hitler akiwa kwenye kilele chake, alikuwa na mpiga propaganda huyo- Goebbels.
Kabudi anataka kumpiku Goebbels.
Nachukua nafasi hii kutangaza hadharani kumdharau moja kwa moja Palamagamba Kabudi katika kipindi chake chote kifupi kilichosalia hapa duniani .

Eee Mwenyezi Mungu nisaidie .
 
Atapiga tu anafikiri hizi ni enzi za Cold war zile enzi za kuringa na kujifanya kususia nchi za Magharibi wakati huohuo unawapigia simu umoja wa Sovieti zimeshapita.
Kumbe mnaoenda tuwapigie magoti
Siamini jamani siamini kama kuna watanzania wenye mawazo kama yako
 
Nachukua nafasi hii kutangaza hadharani kumdharau moja kwa moja Palamagamba Kabudi katika kipindi chake chote kifupi kilichosalia hapa duniani .

Eee Mwenyezi Mungu nisaidie .
Nachukua nafasi hii kutangaza hadharani kumkubali moja kwa moja Prof.Kabudi..
Nilikuwa najiuliza wa kumrithi JPM.. sasa namuona Kabudi akitosha kabisa
Nimeangalia hotuba zake kweli ni kiongozi shupavu
 
Mtu hawezi kuja nyumbani kwako akasema ili nikusaidie hii shida yako ngoja nmgonge mkeo kwanza! Alafu eti unakubali.

Niko pamoja na Kabudi na selikali yangu, kama wanataka kutusaidia walete hiyo misaada bila masharti ya lazima mfanye hivi mara vile, hapo uhuru wako uko wapi?

Lazima tuwadishie hata kama tutapata shida lkn tutapata akili ya kutafuta vyetu.
Nani alitaka kumgonga mke wa jiwe?!
 
".Lazima Tuwe Na Wagombea Wenye Haiba Wanaokimbiliwa Na Watu, Hatutaki Uchaguzi Wa Kutoa Jasho Tunataka Ukibonyeza Inawaka Basi, Mgombea Una Mnadi Mpaka Unapiga Push-Ups Hapana Tupeleke Wagombea Ambao Ni Hitaji La Wapiga Kura.”-Kheri James, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa
 
".Lazima Tuwe Na Wagombea Wenye Haiba Wanaokimbiliwa Na Watu, Hatutaki Uchaguzi Wa Kutoa Jasho Tunataka Ukibonyeza Inawaka Basi, Mgombea Una Mnadi Mpaka Unapiga Push-Ups Hapana Tupeleke Wagombea Ambao Ni Hitaji La Wapiga Kura.”-Kheri James, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa
Hivi bado hajatekwa hadi muda huu ?
 
Hivi huyu kabudi na wenzake wanawajua vizuri mabeberu na ubeberu wao ?
 
Nyerere aliumbuka pale alipowaomba soviet cuba na China hela na vifaa vya kivita kupambana na IDD amini. Walimtolea nje wakamwambia hakuna cha Bure leta hela tukupe mzigo.

Ndo kurudi Analia na propaganda, "sababu ya kumpiga tunayo, nia ya kumpiga tunayo"

Kiukweli ile vita tulishinda kipropaganda zaidi, IDD alikuwa vizuri
Hujui lolote na ukae kimya
 
Mtu hawezi kuja nyumbani kwako akasema ili nikusaidie hii shida yako ngoja nmgonge mkeo kwanza! Alafu eti unakubali.

Niko pamoja na Kabudi na selikali yangu, kama wanataka kutusaidia walete hiyo misaada bila masharti ya lazima mfanye hivi mara vile, hapo uhuru wako uko wapi?

Lazima tuwadishie hata kama tutapata shida lkn tutapata akili ya kutafuta vyetu.
Kama unatoa masharti hivyo sasa si ujitegemee basi, nani amekwambia uwe masikini ndio uanze kutembeza bakuli. Hakuna atakayekubembeleza na msaada, umasikini wako ndio unakufanya uwe ombaomba
 
Back
Top Bottom