Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,297
- 18,046
- Thread starter
- #81
Hamna mwenye sifa zote tatu. Ndiyo maana ni ngumu kumtema.Mkuu hata mimi sielewi anabebwa na nini wengine wanasema msambwanda, wengine wanadai ndiye mkuu wa wasiojulikana na kuna wanaosema ndiye mkuu wa idara ya kamati ya ufundi.
Halafu kijana Manula anatafuta ugomvi na Stone.
