Kabudi ndiyo Goebbels wa leo

Kabudi ndiyo Goebbels wa leo

Kwa stiglers goji na reli si zinajengwa kwa mkopo? Na nyie mlitoa tigo ndio mkapewa mkopo?
Haikuwa za masharti tunaongelea nyie kulilia misaada ambayo hata Mkiambiwa mtoe tigo mnatoa
 
Kwanini wapinzani wa Magu mna chukia sana mkisikia suala la kujitegemea?

Ina maana nyie mko tayari kuuza hata tigo zenu ili mpewe misaada?
Mpuuzi wewe , upinzani umewahi ongoza hii nchi? Mbona yote mnayo yakana na kuonekana hayafai ni makandokando ya uongozi wa chama chenu Ccm ambacho tangu Uhuru kimeshika dora,mnapotoa maoni yenu humu ebu iangalieni Nchi Tanzania kwanza na siyo Ccm kwa matumbo yenu,mnakera sana.
 
Mpuuzi wewe , upinzani umewahi ongoza hii nchi? Mbona yote mnayo yakana na kuonekana hayafai ni makandokando ya uongozi wa chama chenu Ccm ambacho tangu Uhuru kimeshika dora,mnapotoa maoni yenu humu ebu iangalieni Nchi Tanzania kwanza na siyo Ccm kwa matumbo yenu,mnakera sana.
Sasa kwanini mnalilia Kabudi alipo sema hatuko tayari kuuza utu wetu sababu ya misaada? Ina maana nyie mnapenda sana tu endelee kupewa misaada yenye masharti hata ya kutoa tigo?
 
Mpuuzi wewe , upinzani umewahi ongoza hii nchi? Mbona yote mnayo yakana na kuonekana hayafai ni makandokando ya uongozi wa chama chenu Ccm ambacho tangu Uhuru kimeshika dora,mnapotoa maoni yenu humu ebu iangalieni Nchi Tanzania kwanza na siyo Ccm kwa matumbo yenu,mnakera sana.
Umempa ukweli watu wengine sujui wanatumia nini kufikiria.
 
Mabeberu wakati mnashinda huko kuomba misaada,wakiwanyima au kutoa masharti magumu mabeberu wakiwapa misaada mnawaita wafadhiri
Yap, ni wafadhili kama anakupa Msaada usio na masharti yeyote.

Lakn kama anataka kukupa Msaada wenye masharti yanayodhalilisha utu wako huyo ni beberu tu.
 
Yap, ni wafadhili kama anakupa Msaada usio na masharti yeyote.

Lakn kama anataka kukupa Msaada wenye masharti yanayodhalilisha utu wako huyo ni beberu tu.
Utu wa kuuwa wapinzani kupiga risasi wabunge wa upinzani hivi nyinyi utu huwa una maana ya kuwa msikosolewe.
 
Sasa kwanini mnalilia Kabudi alipo sema hatuko tayari kuuza utu wetu sababu ya misaada? Ina maana nyie mnapenda sana tu endelee kupewa misaada yenye masharti hata ya kutoa tigo?
Unafahamu kuwa kuna misaada ya kutoa tigo kwa sababu huwa mnatoa tigo,mkijulikana kuwa mlitoa tigo ndo mnaanza kupopoma shame on you!
 
Unafahamu kuwa kuna misaada ya kutoa tigo kwa sababu huwa mnatoa tigo,mkijulikana kuwa mlitoa tigo ndo mnaanza kupopoma shame on you!
Huna hoja mkuu, wewe subiri 2090 mkishika nchi ndio mtapokea hiyo misaada.
 
Mtu hawezi kuja nyumbani kwako akasema ili nikusaidie hii shida yako ngoja nmgonge mkeo kwanza! Alafu eti unakubali.

Niko pamoja na Kabudi na selikali yangu, kama wanataka kutusaidia walete hiyo misaada bila masharti ya lazima mfanye hivi mara vile, hapo uhuru wako uko wapi?

Lazima tuwadishie hata kama tutapata shida lkn tutapata akili ya kutafuta vyetu.
Kabudi a.k.a Goebbels ni sawa na Bashite. Hakuna analogusa linafanikiwa.
Makinikia hamna kitu. Kaingia mkenge kwenye korosho. Kweli kasomea family law.
 
Umemuelewa vibaya! Kasema hata piga goti kwa beberu na siyo kanisani
Mimi hata nikiulizwa ni nini muelekeo au vipao mbele vya hii serikali siwezi kujibu, mana leo utasikia hili halijakamilika kesho utasikia lile hali kadhalika kesho kutwa nayo itakua na lake.

Hii ni kwa sababu hakuna katiba ya kueleweka kila mtu anafanya analowaza kicheani mwake.

Huwezi kujitegemea wakati nchi haina priorities zenye kueleweka.
 
Back
Top Bottom