Kabudi ndiyo Goebbels wa leo

Kabudi ndiyo Goebbels wa leo

Kwanini wapinzani wa Magu mna chukia sana mkisikia suala la kujitegemea?

Ina maana nyie mko tayari kuuza hata tigo zenu ili mpewe misaada?

Kujitegemea wakati huwezi kutengeneza ata sindano upuzi mwingine
 
Ukifuatilia matamshi na matendo yake, ni dhahiri Kabudi ndiyo Goebbels wa leo.
Wakati Adolf Hitler akiwa kwenye kilele chake, alikuwa na mpiga propaganda huyo- Goebbels.
Kabudi anataka kumpiku Goebbels.
Shida kubwa saana ni pale unapotaka mtu mwingine afanye au aseme yale tu unayotaka kusikia! Na akisema usiyotaka kuyasikia unaanza kumwita majina ya kumdhalilisha bila kujua unajidhalilisha mwenyewe! Kabudi ameongea kulingana na maoni yake yy! Na hata mie namuunga mkono! Mtangazaji aliuliza maswali akiwa tayari na mtazamo wake na akitaka Prof. anye amfuate mtazamo wake!
 
Mzee katoa boko ....naona anajitahidi kulisafisha. But ndo ashaharibu kuna siku ataitwa mahakamani kujibu
 
Mtu hawezi kuja nyumbani kwako akasema ili nikusaidie hii shida yako ngoja nmgonge mkeo kwanza! Alafu eti unakubali.
Tuseme wewe kila siku unamuonea mkeo, hutaki ushauri wowote, umepiga marufuku mijadala yoyote, familia yote inaishi kwa hofu na woga ulivyo na hasira, huku matatizo yakizidi hadi wanao hawawezi tena kwenda shule, sawa? Anakuja jirani yako anayejiweza kuliko wewe anakuambia yupo tayari kukusaidia lakini kama tu utakubali kubadili tabia yako na familia yako iweze kuishi kwa amani, je utang'anga'na kwa kudai asikuingilie?
 
Shida kubwa saana ni pale unapotaka mtu mwingine afanye au aseme yale tu unayotaka kusikia! Na akisema usiyotaka kuyasikia unaanza kumwita majina ya kumdhalilisha bila kujua unajidhalilisha mwenyewe! Kabudi ameongea kulingana na maoni yake yy! Na hata mie namuunga mkono! Mtangazaji aliuliza maswali akiwa tayari na mtazamo wake na akitaka Prof. anye amfuate mtazamo wake!
Ameanza kukanusha maneno yake mwenyewe. Inaonyesha alivyo muongo mkubwa. JPM kumwita pumbavu ni stahili yake.
 
Ukifuatilia matamshi na matendo yake, ni dhahiri Kabudi ndiyo Goebbels wa leo.
Wakati Adolf Hitler akiwa kwenye kilele chake, alikuwa na mpiga propaganda huyo- Goebbels.
Kabudi anataka kumpiku Goebbels.

HAHA HUYU??
1152036
 
Nina uhakika yakitokea mashindano ya dunia ya watoa macho kodo tz tutalibeba Hilo kombe chini ya mzoefu porofesa jalala kalamagamba kabundi!
 
Ukifuatilia matamshi na matendo yake, ni dhahiri Kabudi ndiyo Goebbels wa leo.
Wakati Adolf Hitler akiwa kwenye kilele chake, alikuwa na mpiga propaganda huyo- Goebbels.
Kabudi anataka kumpiku Goebbels.

Joseph Goebbels quotes.........https://www.goodreads.com/author/quotes/281832.Joseph_Goebbels
 
Nyerere aliumbuka pale alipowaomba soviet cuba na China hela na vifaa vya kivita kupambana na IDD amini. Walimtolea nje wakamwambia hakuna cha Bure leta hela tukupe mzigo.

Ndo kurudi Analia na propaganda, "sababu ya kumpiga tunayo, nia ya kumpiga tunayo"

Kiukweli ile vita tulishinda kipropaganda zaidi, IDD alikuwa vizuri
Some crap seems to never fade!
 
Back
Top Bottom