Kabudi ndiyo Goebbels wa leo

Kabudi ndiyo Goebbels wa leo

Na Prescot Bush ni nani kama Magufuli ni Adolf Hitler na Kabudi ni Goebel? Kwa maana Adolf Hitler alifadhiliwa na Familia ya George Bush President wa USA, isitoshe wako wapi nazi scientists wetu kwa maana Adolf Hitler's scientists ndo baba wa nuclear weapon, space science yote, bila ya Nazi Germany hakuna NASA wala Sputnik, hakuna rocket za kwenda space, hata Americanna Soviet Union military superiority imejengwa na nazi scientists.
So unataka Maguzu naye atuchinje kama Hitler?
 
Kwanini wapinzani wa Magu mna chukia sana mkisikia suala la kujitegemea?

Ina maana nyie mko tayari kuuza hata tigo zenu ili mpewe misaada?
Mkuu inawezekana walishaanza kuuza hizo tigo hawaaminiki hawa
 
Mtu very reactionary namna hiyo halafu eti ndio kiongozi wa diplomasia wa serikali?

Mtu ambae anatakiwa awe mwanadiplomasia namba moja yeye ndio instigator namba moja!

Na yale macho,na ile misauti kama anagombeza vitoto vya kindergarten vile!

Ndio anaenda nje ya nchi kuongea kwa staili ile kweli?

Aisee tumeisha!

Ameshindwa hiyo kazi kabla hata hajaianza. Academic arrogance imetamslaki!
 
Hapana mzee...

Hata stori nzima huijui,hatuijui...

Mzungu kaja lini kukwambia anataka kumgonga mkeo?

Shida ni kua wazungu walitaka demokrasia iwepo,jiwe kakataaa..hiyo ndio shida!

Kuhusu ugomvi wa mikataba ya madini wanapambana huko mahakamani,na mshindi atajulikana!

Unakurupuka tu Kabudi kakukurupusha na stori za uongo una-side na serikali!

\Serikali imeua demokrasia,haitaki mtu wa kumwambia irudishe,sasa wamemwambia wao hawataki...

Siwezi kua upande wa serikali ya kiduwanzi inayoua demokrasia nchiniii

Siwezi!

Katika zama hizi mtu mwenye kuonyesha dhamira ya wazi kwa kauli na vitendo kuua ushindani wa kisiasa is simply mentally unstable if not deranged.
 
Ukifuatilia matamshi na matendo yake, ni dhahiri Kabudi ndiyo Goebbels wa leo.
Wakati Adolf Hitler akiwa kwenye kilele chake, alikuwa na mpiga propaganda huyo- Goebbels.
Kabudi anataka kumpiku Goebbels.
Nonsense thread ever!
 
Kwanini wapinzani wa Magu mna chukia sana mkisikia suala la kujitegemea?

Ina maana nyie mko tayari kuuza hata tigo zenu ili mpewe misaada?
Angalia bashite kwa nyuma utaelewa zaidi
 
Sasa kwanini mnalilia Kabudi alipo sema hatuko tayari kuuza utu wetu sababu ya misaada? Ina maana nyie mnapenda sana tu endelee kupewa misaada yenye masharti hata ya kutoa tigo?

Tangu ipate uhuru mpaka sasa nchi hii inaitwa "donor-darling". Hata wakati wa sera ya Uumaa na kujitegemea nchi hii ilikuwa inaongoza katika Africa chini ya Jangwa la Sahara kwa kupokea msaada ya maendeleo. Kinachowashangaza raia wa nchi hii leo ni kuwa kwa mara ya kwanza katika historia yake hii nchi inashutumiwa na kunyimwa misaada kwa kosa la kuwatendea vibaya wananchì wake! Viongozi wetu nao kwa ukali na ujasiri wanasema ķamwe hawataacha hayo matendo yanayolalamikiwa! It is terrible! Kakistoscracy or what?
 
Huyu ni mabaki ya wasomi waliosoma vitabu vya socialism

Akiwa waziri wa sheria ametunga sheria mbaya kuliko zote tangu Uhuru na sheria hizo zimetesa sana watanzania magerezani na uraiani
 
Huyu ni mabaki ya wasomi waliosoma vitabu vya socialism

Akiwa waziri wa sheria ametunga sheria mbaya kuliko zote tangu Uhuru na sheria hizo zimetesa sana watanzania magerezani na uraiani
Ni mmoja wa wateja wa Milembe waliopo mitaani. Matokeo yake tunapata taabu.
 
Kwanini wapinzani wa Magu mna chukia sana mkisikia suala la kujitegemea?

Ina maana nyie mko tayari kuuza hata tigo zenu ili mpewe misaada?

Imechoka kujenga hoja kwa ustaarabu sasa unaanza matusi, ukitukanwa unaishia kusema bavicha kazi yao ni kutukana.

Kwenye mada, wote tuna akili timamu na tunajua kujitegemea ni nini maana yake. Kwa sasa hatuwezi kusema tujitegemea maana misaada na hata mikopo tumenyimwa kisa mwenendo wa rais wetu katika demokrasia na hilo liko wazi. Hao akina Kabudi sio kwamba wanajeuri ya kujitegemea kama taifa, bali wanalinda madaraka yao kwa kuhakikisha wanaishi ndani ya makosa ya rais na kujigeuza wao ndio waongeaji kama sehemu ya kulinda vyeo vyao.

Kama ni jeuri ya kujitegemea aliionyesha Nyerere na wananchi wakaishia kuvaa viraka. Sasa huyo Kabudi aliyeanza kuvaa suti mpya baada ya kuwa waziri ana jipya lipi?
 
Back
Top Bottom