Ni mapenzi ya Mungu, heri yako unaye jihakikishia kuwa utakuwepo na mtakuwa mko madarakani,Mimi kila dk,saa,siku ,wiki hadi mwaka na Mshukuru Mungu maana yeye ndo muweza wa yote.Utukufu ni kwake.Kwa nini usiwepo?
Ni mapenzi ya Mungu, heri yako unaye jihakikishia kuwa utakuwepo na mtakuwa mko madarakani,Mimi kila dk,saa,siku ,wiki hadi mwaka na Mshukuru Mungu maana yeye ndo muweza wa yote.Utukufu ni kwake.Kwa nini usiwepo?
Mwakani Tz itaanza kutoa msaada wa chakula kwa nchi za Magharibi.Ngoja tuone tutafika wapi
Wakati Waziri Mchapa kazi ni January MakambaKabudi na Daudi wana shindana kwa umuhimu mbele ya mfalme. Kabudi anabebwa na shule yake kwa sasa anaaminiwa kuliko wazirir yeyote yule.
Mwakani Tz itaanza kutoa msaada wa chakula kwa nchi za Magharibi.
Kabudi atakuwa alienda shule kusomea ujinga.Kabudi na Daudi wana shindana kwa umuhimu mbele ya mfalme. Kabudi anabebwa na shule yake kwa sasa anaaminiwa kuliko wazirir yeyote yule.
😂😂😂Kabudi atakuwa alienda shule kusomea ujinga.
Nyerere yupi huyo? Mbona hao walitoa misaada?Nyerere aliumbuka pale alipowaomba soviet cuba na China hela na vifaa vya kivita kupambana na IDD amini. Walimtolea nje wakamwambia hakuna cha Bure leta hela tukupe mzigo.
Ndo kurudi Analia na propaganda, "sababu ya kumpiga tunayo, nia ya kumpiga tunayo"
Kiukweli ile vita tulishinda kipropaganda zaidi, IDD alikuwa vizuri
Tunapeleka mahindi na mchele huko Los Angeles kuwasaidia homelessTz yapeleka msaada wa chakula Hungary hehhehee yangu macho



Yote mapenzi ya Mungu watafanya watakao kuwepoNi mapenzi ya Mungu, heri yako unaye jihakikishia kuwa utakuwepo na mtakuwa mko madarakani,Mimi kila dk,saa,siku ,wiki hadi mwaka na Mshukuru Mungu maana yeye ndo muweza wa yote.Utukufu ni kwake.
Tunapeleka mahindi na mchele huko Los Angeles kuwasaidia homeless![]()
Goebbeles alikuwa smart sana upstairs na hata propaganda zake zilikuwa tishio mpaka leo.Ukifuatilia matamshi na matendo yake, ni dhahiri Kabudi ndiyo Goebbels wa leo.
Wakati Adolf Hitler akiwa kwenye kilele chake, alikuwa na mpiga propaganda huyo- Goebbels.
Kabudi anataka kumpiku Goebbels.
Lazima mabeberu waje kutupigia magoti.hahahaa nahisi dunia itapinduka
Lazima mabeberu waje kutupigia magoti.
Lakini kwa upande mwingine hawa mabeberu ndio walileta,Afrika, hizi dini tunazopigia magoti.Ukidadavua zaidi.Umemuelewa vibaya! Kasema hata piga goti kwa beberu na siyo kanisani
Hivi mkuu nyie mnaokula keki ya taifa huwa "mnapata shida"? Wanaopata shida si ni hawa wala vumbi?Mtu hawezi kuja nyumbani kwako akasema ili nikusaidie hii shida yako ngoja nmgonge mkeo kwanza! Alafu eti unakubali.
Niko pamoja na Kabudi na selikali yangu, kama wanataka kutusaidia walete hiyo misaada bila masharti ya lazima mfanye hivi mara vile, hapo uhuru wako uko wapi?
Lazima tuwadishie hata kama tutapata shida lkn tutapata akili ya kutafuta vyetu.
Sasa huyu wa kwetu ni kiazi kabisa. Anatumia nguvu nyingi kuongea utumbo. Mimacho, povu na mimate kwa wingi.
Mchambia hamira au yupi huyo?Daudi
Amekuwa kifutu sasa shingo na mabega vinaungana si muda mrefu.Mchambia hamira au yupi huyo?
Naibu ananona wakati mwenzake anazidi kuzeekaAmekuwa kifutu sasa shingo na mabega vinaungana si muda mrefu.