Kabrasha: Jiko la kuoka wafu (cremation)

Hapana kuna gharama... Ile furnace na yale makaburi ni miradi na uwekezaji wa watu ila kuna familia wao hupenda kuondoka na majivu yao ili wakayamwage mtoni ama wakayahifadhi nyumbani... Hapa gharama zinapungua
Hayo makaburi ni kwa muda hlf wanapisha wengine ama inakuwaje? Vyumba hvyo havijai majagi ya majivu au vinajengwa vipya kila vikijaa?
 
Mshana Jr kwa Tz ni maneo gani hii huduma ipo, na gharama zake zipoje?.. mwenyewe ningependa fanyiwa hiki!..
Watu tunafukiana wazima bongo!.
 
Brother hivi Kuna kitu kinakutisha dunia hii kweli ???... Maana experience zako ni mtihani
 
Mshana Jr kwa Tz ni maneo gani hii huduma ipo, na gharama zake zipoje?.. mwenyewe ningependa fanyiwa hiki!..
Watu tunafukiana wazima bongo!.
 
Back
Top Bottom