Bilionea kid
JF-Expert Member
- Oct 19, 2018
- 581
- 516
Hiyo coincidence
😂😂 niko u.s.a ya Trump sio ya chuga
Hiyo coincidence
Hapa ni kuhitaji mafriji makubwaaa au utengeneze cold room tuNi biashara kama ile ya majeneza tu.. Inaruhusiwa
Kuna pesa hapoWarangi mnasifika kwa mambo yetu yale.
Kweli utapiga hela maana utakuwa kama umemiliki duka vile
Kuna pesa hapo
Kusafisha maiti, kuiandaa maiti, kuhifadhi
Pesa njenje
Ova
Ni wapi humo ulikokua unaoka watu? Hapa chato hii tec ya kuchoma na gas ipo kweli kwenye mikoa yetu au bado haijafika?
Naona mkuu umerusha jiwe C hba t t l eKuna kiongozi mmoja akifa ni vema akazikwa kwa namna hii ili kusiwe na uwezekano wa kufufuka
Hayo makaburi ni kwa muda hlf wanapisha wengine ama inakuwaje? Vyumba hvyo havijai majagi ya majivu au vinajengwa vipya kila vikijaa?Hapana kuna gharama... Ile furnace na yale makaburi ni miradi na uwekezaji wa watu ila kuna familia wao hupenda kuondoka na majivu yao ili wakayamwage mtoni ama wakayahifadhi nyumbani... Hapa gharama zinapungua