Kabrasha: Jiko la kuoka wafu (cremation)

Kabrasha: Jiko la kuoka wafu (cremation)

Nami natamani nije nichomwe tu mambo ya kulala kaburini peke yako ni noma.
 
Hivi huwa ni kwa binadamu tu au kwa viumbe vyote? Yaani nauliza kama mbwa au mifugo mingine inapokufa wanaichoma pia au wanafukia ardhini kama tufanyavyo sisi? Na pia kwa wageni wasiotambulika wanaofia huko kwao nao pia huchomwa au lah! Na wakichomwa (Wageni wasiokua raia) majivu yao hupelekwa wapi na ni nani hugharamia uchomwaji wao?
 
hapo siku ya kiama atarudi vile vile kama alivyokuwa. Atakwenda kulipwa kwa mema yake au mabaya yake.
kwa ALLAH hakuna kitakachopotea.
Baadhi ya ndugu hupenda mpenda wao achomwe mwili bila chochote kingine ili wapate jivu halisi
Wengine hupenda achomwe na kila kitu alichovishwa.. Ukikutana na mchomaji kichwa maji asiye mwaminifu huiba vitu vya thamani View attachment 1158618
 
Acha kujidanganya ndugu. roho ikitoka sio mwisho wa maisha yako. Kuna maisha baada ya kufa. Tena unayaanza pale pale ulipo lala ukiwa umekufa.
Yote yana yofanyika unayasikia. na kama ni mtu mbaya utapata adhabu hapo hapo ulipo. Watakusikia watoto wachanga na wanyama pekee kelele zako.
Nami natamani nije nichomwe tu mambo ya kulala kaburini peke yako ni noma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom