Kabrasha: Jiko la kuoka wafu (cremation)

Asante sana kwa video
Karibu mkuu .Mimi nilimshuhudia mke wangu wa Kwanza akichomwa moto mkuu ,sitakaa nisahau maisha yangu yote , funeral home.ndio wanashughulikia Kila kitu ,Ni kukabidhiwa tuu Kile kibox baada ya week moja ,ukitaka kukiweka darini au kule kwenye vile visanduku vya ukutani powa tu.ILA WA KWANGU ALISEMA TUYATUPE ZIWANI USIKU ,NAKUMBUKA NILIKODISHA BOAT KUYATUPA HAYO MAJIVU MKUU .
 
Karibu mkuu .Mimi nilimshuhudia mke wangu wa Kwanza akichomwa moto mkuu ,sitakaa nisahau maisha yangu yote , funeral home.ndio wanashughulikia Kila kitu ,Ni kukabidhiwa tuu Kile kibox baada ya week moja ,ukitaka kukiweka darini au kule kwenye vile visanduku vya ukutani powa tu.ILA WA KWANGU ALISEMA TUYATUPE ZIWANI USIKU ,NAKUMBUKA NILIKODISHA BOAT KUYATUPA HAYO MAJIVU MKUU .
Sio hapa bongo lakini Ni jimbo linaitwa Arkansas .
 
Karibu mkuu .Mimi nilimshuhudia mke wangu wa Kwanza akichomwa moto mkuu ,sitakaa nisahau maisha yangu yote , funeral home.ndio wanashughulikia Kila kitu ,Ni kukabidhiwa tuu Kile kibox baada ya week moja ,ukitaka kukiweka darini au kule kwenye vile visanduku vya ukutani powa tu.ILA WA KWANGU ALISEMA TUYATUPE ZIWANI USIKU ,NAKUMBUKA NILIKODISHA BOAT KUYATUPA HAYO MAJIVU MKUU .
nitarejea kwako na maswali mengi kukipambazuka... So sorry for the total loss of your loved one
 
Naitaji hii huduma ntaipataje ? Kwani napenda sana mwili wangu uchomwe moto.

Kisheria imekaaje? ili nijiandae kupata hii huduma nchini kwetu Tanzania ?
 
Mkuu hebu utuhakikiahie usemi wako !
Acha kujidanganya ndugu. roho ikitoka sio mwisho wa maisha yako. Kuna maisha baada ya kufa. Tena unayaanza pale pale ulipo lala ukiwa umekufa.
Yote yana yofanyika unayasikia. na kama ni mtu mbaya utapata adhabu hapo hapo ulipo. Watakusikia watoto wachanga na wanyama pekee kelele zako.
 
Naitaji hii huduma ntaipataje ? Kwani napenda sana mwili wangu uchomwe moto.

Kisheria imekaaje? ili nijiandae kupata hii huduma nchini kwetu Tanzania ?
Nadhani mpaka utakapokuwa unakufa tayari huduma hii itakuwa imeanza.. Hivyo relax
 
Njia nzuri sana hii, lakini kwa wale wanaochomea sehemu ya wazi huwa hawasikii harufu ya mishikaki?
Morogoro pale makaburi ya Kola,Kuna sehemu ya makaburi ya wahindi.Nasikia enzi hizo,miili ya wahindi ilikuwa ikichomewa pale.Wakazi wa maeneo ya Kola wakalalamika kuhusu harufu ya 'mishkaki' ya binadamu.
Hali hii ilipelekea kuhamishwa kwa crematorium hiyo kwenda eneo fulani kule Mazimbu .
 
Hawa wangekuwa wanawachoma pamoja na viungo kama vile hoho, karoti, thomu, giligilani, uzile tangawizi, vitunguu maji, wangekuwa wanatoa harufi moja amaizing sana kama mishkaki vile
 
Rafiki yangu mmoja tulisoma naye O level alikuwa ni mhindi alipigwa kiberiti so sad sikwenda hata ijapokuwa mshua wake aliniambia niende kucheki nikaishia getini tu maana presha ilikuwa juu vibaya sana. Mara unasikia paah tayari kichwa kimebust hivyo.
RIP Amiry
 
Back
Top Bottom