Kitwa-Mulomoni
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 1,779
- 1,119
Bibi yako ameweka alama ipi duniani! Kwa miaka 15 Nkurunziza alikuwa Rais wa nchi.Madicteta Wote Uanguka Vibaya Sana. Angalia Nkurunzinza At 55yrs Kadondoka Bibi Yangu Yupo Na 93yrs Lakini Ukimuona Kajaa Tabasamu.Ni Swala La Muda Tu
Usilinganishe huyo bibi na mtu aliye tetea wananchi wake kwa Umahili mkubwa. Na kama huyo bibi yako yuko Burundi, basi amepata umri mkubwa kwa sababu ya kiongozi imara. Bila hivyo angekuwa amekufa kwa njaa, ugonjwa, mapigano, kushambuliwa na wasiojulikana n. k.
Lakini kama huyo bibi yupo Tanzania - basi amefikisha umri huo na tabasamu, sababu ya uongozi wa CCM.