Uchaguzi 2020 Kabla ya Uchaguzi Mkuu wa baadae mwaka huu, Mungu atatufuta machozi wapinzani kwa kuangusha mbuyu

Madicteta Wote Uanguka Vibaya Sana. Angalia Nkurunzinza At 55yrs Kadondoka Bibi Yangu Yupo Na 93yrs Lakini Ukimuona Kajaa Tabasamu.Ni Swala La Muda Tu
Bibi yako ameweka alama ipi duniani! Kwa miaka 15 Nkurunziza alikuwa Rais wa nchi.

Usilinganishe huyo bibi na mtu aliye tetea wananchi wake kwa Umahili mkubwa. Na kama huyo bibi yako yuko Burundi, basi amepata umri mkubwa kwa sababu ya kiongozi imara. Bila hivyo angekuwa amekufa kwa njaa, ugonjwa, mapigano, kushambuliwa na wasiojulikana n. k.
Lakini kama huyo bibi yupo Tanzania - basi amefikisha umri huo na tabasamu, sababu ya uongozi wa CCM.
 
Kwenye corona mlitaja Lockdown badala ya Mungu,!

Kwenye uchaguzi mnataja Mungu badala ya mikakati!

Always chadema ni fungu la kukosa.
 
Maandiko matakatifu yanasema "anaeua kwa upanga,atakufa kwa upanga" na Waswahili wanasema "Mungu si Athumani".Pia kuna msemo:" Mungu hadhihakiwi."

Kwa kuzingatia misemo hiyo na kwa kuzingatia machozi,machungu na kilio cha watu wake,Mungu atajibu kadri atavyyona inafaa na anaweza kujibu kwa kuangusha "mbuyu" na kuwafuta machozi wale wote ambao leo hii ni kama watoto wa kambo katika familia yenye wazazi au mzazi katili.

Waacheni waendelee kubeza na kukejeli wanaoteseka na maumivu kanakwamba wao waliongea na Mungu ila ipo siku Mungu atawajibu kwa vitendo tena kabla ya uchaguzi mkuu.

Hata ikitokea uchaguzi unapita pasipo mbuyu kuangushwa,anguko halikwepeki kwani malipo ni hapa hapa duniani.

Muda utasema.
Huyo jamaa ni mnafiki wa kupitiliza, anazunguka makanisa na kuhutubia madhabahuni akizionyesha kama mchamungu kumbe ni mwizi, muuaji , mtesaji na mshirikina mkubwa
 
IMG_20200608_212144.JPG

ACHA UONGO
 
Mleta mada toka uathiriwe kwa vyeti vya kufoji kwenye ajira serikalini naona kutwa unaweweseka
 
Duh...!.
Mkuu Salary Slip, This is karma theory and it depends ni Mungu yupi kati ya Mungu na mungu!.

God operates in strange ways, kama huyu aliyepo ndie chaguo la Mungu kwa watu wake, baada ya watu hao kuteseka, kwa muda mrefu kwa nchi yao kufanywa ni shamba la bibi!, wakamlilia Mungu, akasikia kilio chao, akawaletea Mkombozi kuja kuwakomboa...

Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

Hivyo kama unasubiri ile ndoto ya Lema kutimia, then utasubiri sana!, maana ndio kwanza nyota inazidi kung'ara ngari ngari, sio tuu kwa Tanzania, kutaifa, bali Africa na kimataifa!.

Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani!. Je Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika

P
Huo ubunge hutapata!!
 
Mbona tunaanza kuchuriana?!.
Hata stage ya kwanza tuu ya kujiunga CCM bado, sasa huo ubunge nitaupatia wapi?
P
Nyinyi sio binadamu bali binadamu tu wenye umbo la bindamu ila nyinyi ni kitu tofauti na mwanadamu.Mmekuwa na roho za kishetani kutetea uovu kwa masilahi yenu ya kisiasa ila mjue iko siku na nyinyi mtaonja haya machungu wanayopitia wenzenu.
 
Duh...!.
Mkuu Salary Slip, This is karma theory and it depends ni Mungu yupi kati ya Mungu na mungu!.

God operates in strange ways, kama huyu aliyepo ndie chaguo la Mungu kwa watu wake, baada ya watu hao kuteseka, kwa muda mrefu kwa nchi yao kufanywa ni shamba la bibi!, wakamlilia Mungu, akasikia kilio chao, akawaletea Mkombozi kuja kuwakomboa...

Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

Hivyo kama unasubiri ile ndoto ya Lema kutimia, then utasubiri sana!, maana ndio kwanza nyota inazidi kung'ara ngari ngari, sio tuu kwa Tanzania, kutaifa, bali Africa na kimataifa!.

Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani!. Je Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika

P

P unadhani walioinuliwa na Mungu hawawezi kushushwa? Soma Biblia ndugu yangu utaona kuna watu waliinuliwa na Mungu lakini wakajitukuza na kujipa utukufu na Mungu akawashusha kwa aibu kubwa sana. Ukiokoka haimaanishi huwezi kutenda dhambi tena.
 
P unadhani walioinuliwa na Mungu hawawezi kushushwa? Soma Biblia ndugu yangu utaona kuna watu waliinuliwa na Mungu lakini wakajitukuza na kujipa utukufu na Mungu akawashusha kwa aibu kubwa sana. Ukiokoka haimaanishi huwezi kutenda dhambi tena.
Mkuu Bursting, hili nalijua, tangu mfalme Nabukadreza, King David alichomfanya Uriah na kumtwaa mkewe Bathsheba na kumzalisha, Suleiman, na Mfalme Suleiman licha ya kupewa busara kuliko wote na utajiri kuliko wote, alipomuoa Queen of Sheba akabadili mawazo, najua Mungu alimfanya nini Suleimani.

Lakini kwa Tanzania, the Nabii wetu is still on track.
P
 
Lema aliwahi kupata maono kama haya na akaita waandishi wa habari akisema JPM atakufa kabla 2020 lakini uzuri ni kwamba maono ya kishetani huwa ni ngumu sana kutimia.

Leo na wewe pia umekuja na maono mengine ambayo nina hakika ni ya kishetani pia.
Muda ni mwalimu mzuri ngoja tusubiri.
"ngumu sana KUTIMIA"
Eventually hutia na watu wakalipuka kwa shangwe na nderemo.

Siku ya siku ntakununulia dera jipyaaa! Chupi ununue mwenyewe😁😁😁
 
Lema aliwahi kupata maono kama haya na akaita waandishi wa habari akisema JPM atakufa kabla 2020 lakini uzuri ni kwamba maono ya kishetani huwa ni ngumu sana kutimia.

Leo na wewe pia umekuja na maono mengine ambayo nina hakika ni ya kishetani pia.
Muda ni mwalimu mzuri ngoja tusubiri.
Asingefungwa yale maono yake yangetimia.
 
anaeua kwa upanga,atakufa kwa upanga


Haka ka sentensi kanazunguka sana akilini mwangu,sijui kwanini?
Na hakuna kitu kibaya kama kutafuta kusifiwa na watu kwa yale mazuri na mabaya uliyofanya na kuwapoteza wale wanaokukosoa..Mara nyingi mtu huyu huangukia pua.Pierre rest in peace! Mda ni mwalimu mzuri hapa kwetu.
 
Mkuu Bursting, hili nalijua, tangu mfalme Nabukadreza, King David alichomfanya Uriah na kumtwaa mkewe Bathsheba na kumzalisha, Suleiman, na Mfalme Suleiman licha ya kupewa busara kuliko wote na utajiri kuliko wote, alipomuoa Queen of Sheba akabadili mawazo, najua Mungu alimfanya nini Suleimani.

Lakini kwa Tanzania, the Nabii wetu is still on track.
P
Kwa ulivyojificha kwenye lugha wala hatajua maana ya ulilosema.

"is still ON TRACK" hatajua kuwa yuko kwenye queue 😁😁😁😁😁
 
Utawala huu umekuwa wa kishenzi sana, tulipofikia hakuna tofauti na ule utawala dhalimu wa Dikteta Nduli Idd Amin. Magufuli atambue tu kwamba hata yeye hatoishi milele, na huenda kifo chake kikawa ni SHEREHE KWA WENGI.
Gaddafi, Castro, Mao, Lenin, na weengi walipita ambapo hata huyu hajagusa sema sisi tumezoea tayari miteremko, kwa binadamu hawa ukiendekeza hiyo demokrasia utapata maendeleo? Hata wapinzani wakipata madaraka wao kwa wao watabadilikiana rejea mifano ya nchi nyingi za kiafrika. Cha ajabu wengi Sana waliomdhihaki J.K leo ndiyo midomo kama chuchunge wakafunga makanisani na kuombaa Mungu akajibu. Kelele bado tu ENYI WAGALATIA NANI ANAWAROGA? Na tunasoma maandiko kuwa kila tawala huchaguliwa na Mungu Sasa subirini amalize si October tu naomba muache unafki mpigieni kura kwa wingi Antipas kisha msije kulia lia humu.
 
Dah si vyema kuwaombea wenzetu mikosi na balaa. Mungu ni hakimu wa haki, atafanya lile lililo la haki na litakalompendeza
 
Maandiko matakatifu yanasema "anaeua kwa upanga,atakufa kwa upanga" na Waswahili wanasema "Mungu si Athumani".Pia kuna msemo:" Mungu hadhihakiwi."

Kwa kuzingatia misemo hiyo na kwa kuzingatia machozi,machungu na kilio cha watu wake,Mungu atajibu kadri atavyyona inafaa na anaweza kujibu kwa kuangusha "mbuyu" na kuwafuta machozi wale wote ambao leo hii ni kama watoto wa kambo katika familia yenye wazazi au mzazi katili.

Waacheni waendelee kubeza na kukejeli wanaoteseka na maumivu kanakwamba wao waliongea na Mungu ila ipo siku Mungu atawajibu kwa vitendo tena kabla ya uchaguzi mkuu.

Hata ikitokea uchaguzi unapita pasipo mbuyu kuangushwa,anguko halikwepeki kwani malipo ni hapa hapa duniani.

Muda utasema.
Yaani aanguke akitoka ulevini na uzinzini halafu aonewe huruma? Mbona Joyce Mukya alikimbia?
 
Back
Top Bottom