Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,900
- 95,400
Corona imekuja kung'oa udhalimu Afrika na imeanza na Burundi, Tanzania is the next hit list!
Madicteta Wote Uanguka Vibaya Sana. Angalia Nkurunzinza At 55yrs Kadondoka Bibi Yangu Yupo Na 93yrs Lakini Ukimuona Kajaa Tabasamu.Ni Swala La Muda Tu
Huna haki ya kuhukumu bali MunguNyinyi sio binadamu bali binadamu tu wenye umbo la bindamu ila nyinyi ni kitu tofauti na mwanadamu.Mmekuwa na roho za kishetani kutetea uovu kwa masilahi yenu ya kisiasa ila mjue iko siku na nyinyi mtaonja haya machungu wanayopitia wenzenu.
We know the existance of deception from deep state, uovu wa serikali, polisi, dhuluma ya rais kule bukoba, kudharau mioyo ya woteMkuu Bursting, hili nalijua, tangu mfalme Nabukadreza, King David alichomfanya Uriah na kumtwaa mkewe Bathsheba na kumzalisha, Suleiman, na Mfalme Suleiman licha ya kupewa busara kuliko wote na utajiri kuliko wote, alipomuoa Queen of Sheba akabadili mawazo, najua Mungu alimfanya nini Suleimani.
Lakini kwa Tanzania, the Nabii wetu is still on track.
P
Ambayo nyie mliyakataa.Eeenh, mkuu Salary, haya machozi..., futa machozi mkuu komaza uso na uma meno; Tazama mbele na uwe tayari kuendeleza mapambano.
Hiki ulichoweka hapa hakina tofauti na yale maombi ya siku tatu mfululizo.
We know the existance of deception from deep state, uovu wa serikali, polisi, dhuluma ya rais kule bukoba, kudharau mioyo ya wote
Rejea masomo ya dominika ya juzi hasa la kwanza( utatu mtakatifu) halafu husijibu
But all in all only God knows if he still on track lkn hata akitoka si lazima amtoe , Mungu anataka tuelewe achotufundisha ktk utawala husika
Wanapambana na aliyeishinda corona kwa jina la Mungu wakati wao wamejifungia vyumbani.Lema aliwahi kupata maono kama haya na akaita waandishi wa habari akisema JPM atakufa kabla 2020 lakini uzuri ni kwamba maono ya kishetani huwa ni ngumu sana kutimia.
Leo na wewe pia umekuja na maono mengine ambayo nina hakika ni ya kishetani pia.
Muda ni mwalimu mzuri ngoja tusubiri.
Mungu ndiye muweza wa yoteMadicteta Wote Uanguka Vibaya Sana. Angalia Nkurunzinza At 55yrs Kadondoka Bibi Yangu Yupo Na 93yrs Lakini Ukimuona Kajaa Tabasamu.Ni Swala La Muda Tu
Naiwe hivyo, mapenzi ya Bwana yatimizwe!Maandiko matakatifu yanasema "anaeua kwa upanga,atakufa kwa upanga" na Waswahili wanasema "Mungu si Athumani".Pia kuna msemo:" Mungu hadhihakiwi."
Kwa kuzingatia misemo hiyo na kwa kuzingatia machozi,machungu na kilio cha watu wake,Mungu atajibu kadri atavyyona inafaa na anaweza kujibu kwa kuangusha "mbuyu" na kuwafuta machozi wale wote ambao leo hii ni kama watoto wa kambo katika familia yenye wazazi au mzazi katili.
Waacheni waendelee kubeza na kukejeli wanaoteseka na maumivu kanakwamba wao waliongea na Mungu ila ipo siku Mungu atawajibu kwa vitendo tena kabla ya uchaguzi mkuu.
Hata ikitokea uchaguzi unapita pasipo mbuyu kuangushwa,anguko halikwepeki kwani malipo ni hapa hapa duniani.
Muda utasema.
Siye, akina nani?Ambayo nyie mliyakataa.
Anayeanguka kwa pombe je?anaeua kwa upanga,atakufa kwa upanga
Haka ka sentensi kanazunguka sana akilini mwangu,sijui kwanini?
Devil worshipersSiye, akina nani?
Kwahiyo yeye ndio angemuua au sio?Asingefungwa yale maono yake yangetimia.
You being one of them?Devil worshipers
Hata Mimi naamini COVID 19 itafanya yake kabla ya October 25,2020Maandiko matakatifu yanasema "anaeua kwa upanga,atakufa kwa upanga" na Waswahili wanasema "Mungu si Athumani".Pia kuna msemo:" Mungu hadhihakiwi."
Kwa kuzingatia misemo hiyo na kwa kuzingatia machozi,machungu na kilio cha watu wake,Mungu atajibu kadri atavyyona inafaa na anaweza kujibu kwa kuangusha "mbuyu" na kuwafuta machozi wale wote ambao leo hii ni kama watoto wa kambo katika familia yenye wazazi au mzazi katili.
Waacheni waendelee kubeza na kukejeli wanaoteseka na maumivu kanakwamba wao waliongea na Mungu ila ipo siku Mungu atawajibu kwa vitendo tena probably kabla ya uchaguzi mkuu.
Hata ikitokea uchaguzi unapita pasipo mbuyu kuangushwa,anguko halikwepeki kwani malipo ni hapa hapa duniani.
Muda utasema.
Mkuu Covid 19 haiwezi mwacha magu salama,maker my word, atajufukiza sana,atakunywa mitishamba ya Madagascar sana lakini lazima aondoke before general electionLema aliwahi kupata maono kama haya na akaita waandishi wa habari akisema JPM atakufa kabla 2020 lakini uzuri ni kwamba maono ya kishetani huwa ni ngumu sana kutimia.
Leo na wewe pia umekuja na maono mengine ambayo nina hakika ni ya kishetani pia.
Muda ni mwalimu mzuri ngoja tusubiri.
Kanuni ilivyo ni kwamba kila anaye muombea mwenzie kifo au kushangilia huwa anatangulia yeye mfano kuna mtu alishangilia zito apigwe risasi matokeo yake akatangulia yeye, sasa na wewe angalia tena chunga sana usije ukaondoka wewe kabla ya hiyo election unayo isema.Mkuu Covid 19 haiwezi mwacha magu salama,maker my word, atajufukiza sana,atakunywa mitishamba ya Madagascar sana lakini lazima aondoke before general election
Madicteta Wote Uanguka Vibaya Sana. Angalia Nkurunzinza At 55yrs Kadondoka Bibi Yangu Yupo Na 93yrs Lakini Ukimuona Kajaa Tabasamu.Ni Swala La Muda Tu