Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Maandiko matakatifu yanasema "anaeua kwa upanga,atakufa kwa upanga" na Waswahili wanasema "Mungu si Athumani".Pia kuna msemo:" Mungu hadhihakiwi."
Kwa kuzingatia misemo hiyo na kwa kuzingatia machozi,machungu na kilio cha watu wake,Mungu atajibu kadri atavyyona inafaa na anaweza kujibu kwa kuangusha "mbuyu" na kuwafuta machozi wale wote ambao leo hii ni kama watoto wa kambo katika familia yenye wazazi au mzazi katili.
Waacheni waendelee kubeza na kukejeli wanaoteseka na maumivu kanakwamba wao waliongea na Mungu ila ipo siku Mungu atawajibu kwa vitendo tena probably kabla ya uchaguzi mkuu.
Hata ikitokea uchaguzi unapita pasipo mbuyu kuangushwa,anguko halikwepeki kwani malipo ni hapa hapa duniani.
Muda utasema.
Kwa kuzingatia misemo hiyo na kwa kuzingatia machozi,machungu na kilio cha watu wake,Mungu atajibu kadri atavyyona inafaa na anaweza kujibu kwa kuangusha "mbuyu" na kuwafuta machozi wale wote ambao leo hii ni kama watoto wa kambo katika familia yenye wazazi au mzazi katili.
Waacheni waendelee kubeza na kukejeli wanaoteseka na maumivu kanakwamba wao waliongea na Mungu ila ipo siku Mungu atawajibu kwa vitendo tena probably kabla ya uchaguzi mkuu.
Hata ikitokea uchaguzi unapita pasipo mbuyu kuangushwa,anguko halikwepeki kwani malipo ni hapa hapa duniani.
Muda utasema.