Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,598
- 215,322
Wewe boarding ingawa kulikuwa na shida ya maji lakini tulihakikisha tunapata maji ya kuoga na kuupara, ndiyo tulijifunza kupaka make up, deodorant, na vitu vyote.Mbona kama umeongea vice versa Mkuu. Waliosoma boarding ndo wanakuwaga wachafuu tena wale wa girls ndo kiboko....watoto wa day wanang'aa bwana
Sent using Jamii Forums mobile app