nimecheka sana jamani huyu jamaa sio kabisa.Kuna wanawake wana kwato?
Hawa wanajamba balaa, kila muda ye ni kupumua ushuzi tu kama alarm ya ambulance, balaa lake usiku utadhani ndani umeingiza meli ya maersk, maana sio mijihoni hyoNa wenye vinyama kwenye 071....
Wapo kundi gani...?
Sijui anamaanisha nn..Sijaelewanimecheka sana jamani huyu jamaa sio kabisa.
inaelekea yeye anaishi majini sio kwa maneno hayooo
mimi mwenyewe kuna ambavyo ametaja ninavyo so nimebaki mdomo wazi, na hizo kwato cjui aliona wapi hao watuSijui anamaanisha nn..Sijaelewa
So kuna ukweli ama??mimi mwenyewe kuna ambavyo ametaja ninavyo so nimebaki mdomo wazi, na hizo kwato cjui aliona wapi hao watu
hapana aisee, point namba 3 inanihusu. Ila walaaa mwili wangu sio mgumu ni kwamba umefunikwa na neema za Mungu na wala sio disorderSo kuna ukweli ama??
Niongezee apo, aliyetoboa pua na masikio zaidi ya matundu matatu, hafai.
all in all kila mwanamke au mwanaume duniani anamwenza wake no matter ameumbwaje.....Makusudi ya Mungu hakuna wa kukosoa....Mungu kaumba warefu,wafupi, vibamia,weusi tii, weupe pee, wakorofi, welevu, mahb, makauzu ila kila mmoja anamtu anayemfaa ...sema ni swala la subra tu na sio kulazimisha mambo.