maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,144
- 15,146
Nimeshangazwa sana na huyu waziri kusema wanatafuta hela kujenga fly over magomeni na fire na sehemu zingine lakini cha kushangaza hawajagusia kabisa kupanua kipande sumbufu kwa foleni kutoka ubungo hadi kimara, na barabara ya mandela.
Hivi jamani inahitajika hadi aje Tony Blair kutuambia hizi barabara ni tatizo kubwa kwa uchumi wetu? Inamaana hamjui hii ni njia malori yote yanaenda nchi jirani yanapita kila siku plus mikoa yote ya kati na kusini?
Mbona hawa viongozi wanashangaza sana na vipaumbele vyao. Miaka mitatu sasa hata street lights tu wameshindwa kumalizia tu barabara ya Mbezi- Kibaha wakati mwenzao alipanua barabara vizuri tena ndani ya muda mfupi. Si hata basi mfanye kuunganisha kile kipande hadi ubungo?
Nini kinazuia?
Hivi jamani inahitajika hadi aje Tony Blair kutuambia hizi barabara ni tatizo kubwa kwa uchumi wetu? Inamaana hamjui hii ni njia malori yote yanaenda nchi jirani yanapita kila siku plus mikoa yote ya kati na kusini?
Mbona hawa viongozi wanashangaza sana na vipaumbele vyao. Miaka mitatu sasa hata street lights tu wameshindwa kumalizia tu barabara ya Mbezi- Kibaha wakati mwenzao alipanua barabara vizuri tena ndani ya muda mfupi. Si hata basi mfanye kuunganisha kile kipande hadi ubungo?
Nini kinazuia?