Kabla ya kujenga fly over Magomeni na fire panueni barabara Kimara - Ubungo

maroon7

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
11,144
15,146
Nimeshangazwa sana na huyu waziri kusema wanatafuta hela kujenga fly over magomeni na fire na sehemu zingine lakini cha kushangaza hawajagusia kabisa kupanua kipande sumbufu kwa foleni kutoka ubungo hadi kimara, na barabara ya mandela.

Hivi jamani inahitajika hadi aje Tony Blair kutuambia hizi barabara ni tatizo kubwa kwa uchumi wetu? Inamaana hamjui hii ni njia malori yote yanaenda nchi jirani yanapita kila siku plus mikoa yote ya kati na kusini?

Mbona hawa viongozi wanashangaza sana na vipaumbele vyao. Miaka mitatu sasa hata street lights tu wameshindwa kumalizia tu barabara ya Mbezi- Kibaha wakati mwenzao alipanua barabara vizuri tena ndani ya muda mfupi. Si hata basi mfanye kuunganisha kile kipande hadi ubungo?

Nini kinazuia?

1684783158864.jpg
 
Tatizo linakuja Umekaa Ofisini unapigwa Ac unarudishwa Nyumbani Na Msafara Mbio Wala huoni Foleni Yoyote Wala Changoto Yoyte Wee Unaona Sawa Ila Shida Kubwa Nchi za Africa Ni Akili Mbovu za Hawa Watu Waliopewa dhamana Kuongoza Watu huku wao wakiwa Hawana Weledi Wala Kujua Wapi Pa kutoa Changamoto na Wapi Pa kurekebisha Mpaka Aje Mzungu Afanye Ndo Wao Wanapata Pa kusemea
 
Nimeshangazwa sana na huyu waziri kusema wanatafuta hela kujenga fly over magomeni na fire na sehemu zingine lakini cha kushangaza hawajagusia kabisa kupanua kipande sumbufu kwa foleni kutoka ubungo hadi kimara.

Hivi jamani inahitajika hadi aje Tony Blair kutuambia hiki kipande ni tatizo kubwa kwa sasa? Inamaana hamjui hii ni njia malori yote yanaenda nchi jirani yanapita kila siku plus mikoa yote ya kati na kusini?

Mbona hawa viongozi wanashangaza sana na vipaumbele vyao. Miaka mitatu sasa hata street lights tu wameshindwa kumalizia tu barabara ya Mbezi- Kibaha wakati mwenzao alipanua barabara vizuri tena ndani ya muda mfupi. Si hata basi mfanye kuunganisha kile kipande hadi ubungo?

Nini kinazuia?

View attachment 2631745
Mkuu Bado Haruka Fly over Tanzania Unayoyaona yote ni Madaraja tu.
download.jpg
Flyover-bridges-Spaghetti.jpg
 
Tatizo linakuja Umekaa Ofisini unapigwa Ac unarudishwa Nyumbani Na Msafara Mbio Wala huoni Foleni Yoyote Wala Changoto Yoyte Wee Unaona Sawa Ila Shida Kubwa Nchi za Africa Ni Akili Mbovu za Hawa Watu Waliopewa dhamana Kuongoza Watu huku wao wakiwa Hawana Weledi Wala Kujua Wapi Pa kutoa Changamoto na Wapi Pa kurekebisha Mpaka Aje Mzungu Afanye Ndo Wao Wanapata Pa kusemea
Aisee wanaboa mno tunateseka wakati wanesharahisishiwa pale ubungo na mbezi ila wao kumalizia wanashindwa. Sijui tumerogwa
 
Hiyo pesa ya kutanua hapo ni bora wajenge barabara ya kutoka Kitunda- Kivure- Msongola ili kuwapa ahueni watu wa maeneo hayo na adha ya usafiri
Wao hawana vipaumbele kabisa kwenye miundombinu...hata goba road saizi inatakiwa iwe kwenye plan ya upanuzi ila utashangaa hadi kizazi kingine ndio upanuzi ufanyike
 
Nimeshangazwa sana na huyu waziri kusema wanatafuta hela kujenga fly over magomeni na fire na sehemu zingine lakini cha kushangaza hawajagusia kabisa kupanua kipande sumbufu kwa foleni kutoka ubungo hadi kimara.

Hivi jamani inahitajika hadi aje Tony Blair kutuambia hiki kipande ni tatizo kubwa kwa sasa? Inamaana hamjui hii ni njia malori yote yanaenda nchi jirani yanapita kila siku plus mikoa yote ya kati na kusini?

Mbona hawa viongozi wanashangaza sana na vipaumbele vyao. Miaka mitatu sasa hata street lights tu wameshindwa kumalizia tu barabara ya Mbezi- Kibaha wakati mwenzao alipanua barabara vizuri tena ndani ya muda mfupi. Si hata basi mfanye kuunganisha kile kipande hadi ubungo?

Nini kinazuia?

View attachment 2631745
Mkuu acha kabisa umeongea vzr sana tena kwa uchungu, shida pia iko TANROADS yaani akili zao ni finyu sana hawana uwezo wa kufikiri vitu vikubwa. Nadhani either wanakosa exposure or ni ni ujinga Wao tu. Maana ulaya wanaenda sana badala ya kuleta good ideas za barabara walizoziona huko Wao wanaleta selfies tu. Pia hawana hata wazo la kupanua barabara ya kibaha hadi Morogoro nayo ni janga lingine wapo tu maofisini huku wakijiita engineers. Ipo siku nitapewa cheo TANROADS Ili niibadilishe nchi kimiundombinu.
 
Flyovers kwa Dar es salaam ilivyo sasa hazitakuwa na maana miaka 20-30 ijayo. Pale Fire na bonde zima la Msimbazi, panastahili kujengwa viaduct pana yenye njia nne kwenda na nne kurudi. Ujenzi wake unahitaji ubunifu zaidi was kujenga express ways za juu, kuelekea Airport, express ways ya juu inayopaswa kushukia Kibaha, nyingine ishukie Goba. Barabara zilizopo sasa zipanuliwe tu. 🤔
 
Mkuu acha kabisa umeongea vzr sana tena kwa uchungu, shida pia iko TANROADS yaani akili zao ni finyu sana hawana uwezo wa kufikiri vitu vikubwa. Nadhani either wanakosa exposure or ni ni ujinga Wao tu. Maana ulaya wanaenda sana badala ya kuleta good ideas za barabara walizoziona huko Wao wanaleta selfies tu. Pia hawana hata wazo la kupanua barabara ya kibaha hadi Morogoro nayo ni janga lingine wapo tu maofisini huku wakijiita engineers. Ipo siku nitapewa cheo TANROADS Ili niibadilishe nchi kimiundombinu.
Tanroads itakua imejaa viazi tu maana kila siku tunaumana nao kwenye foleni pale korogwe. Kupanua tu njia ya pembeni ili daladala zitupungizie foleni imechukua miaka aisee sasa hapo utasema unawatu kweli?
 
Nimeshangazwa sana na huyu waziri kusema wanatafuta hela kujenga fly over magomeni na fire na sehemu zingine lakini cha kushangaza hawajagusia kabisa kupanua kipande sumbufu kwa foleni kutoka ubungo hadi kimara.

Hivi jamani inahitajika hadi aje Tony Blair kutuambia hiki kipande ni tatizo kubwa kwa sasa? Inamaana hamjui hii ni njia malori yote yanaenda nchi jirani yanapita kila siku plus mikoa yote ya kati na kusini?

Mbona hawa viongozi wanashangaza sana na vipaumbele vyao. Miaka mitatu sasa hata street lights tu wameshindwa kumalizia tu barabara ya Mbezi- Kibaha wakati mwenzao alipanua barabara vizuri tena ndani ya muda mfupi. Si hata basi mfanye kuunganisha kile kipande hadi ubungo?

Nini kinazuia?

View attachment 2631745
Wajinga sana hawa wangepanua mandela road au wamalize tatizo la Buguruni
 
Nimeshangazwa sana na huyu waziri kusema wanatafuta hela kujenga fly over magomeni na fire na sehemu zingine lakini cha kushangaza hawajagusia kabisa kupanua kipande sumbufu kwa foleni kutoka ubungo hadi kimara.

Hivi jamani inahitajika hadi aje Tony Blair kutuambia hiki kipande ni tatizo kubwa kwa sasa? Inamaana hamjui hii ni njia malori yote yanaenda nchi jirani yanapita kila siku plus mikoa yote ya kati na kusini?

Mbona hawa viongozi wanashangaza sana na vipaumbele vyao. Miaka mitatu sasa hata street lights tu wameshindwa kumalizia tu barabara ya Mbezi- Kibaha wakati mwenzao alipanua barabara vizuri tena ndani ya muda mfupi. Si hata basi mfanye kuunganisha kile kipande hadi ubungo?

Nini kinazuia?

View attachment 2631745
Si afadhari ya hicho kuna double road, Nenda kaangalia kipande kinachoanzia Mbagala rangi3 kuelekea Kongowe barabara ya Kilwa rd. ni tangia tupate uhuru cha mkoroni single road. Sasa gari likizima njiani huo mnyororo wake utakimbia!
 
Wajinga sana hawa wangepanua mandela road au wamalize tatizo la Buguruni
Imagine ile Mandela miaka yote wala huwezi sikia plan zozote kuipanua na inatoa magari yote ya bandarini na baadhi from airport...ni aibu sana. Au haina ulaji kwao kwenye kuitengeneza
 
Mkuu acha kabisa umeongea vzr sana tena kwa uchungu, shida pia iko TANROADS yaani akili zao ni finyu sana hawana uwezo wa kufikiri vitu vikubwa. Nadhani either wanakosa exposure or ni ni ujinga Wao tu. Maana ulaya wanaenda sana badala ya kuleta good ideas za barabara walizoziona huko Wao wanaleta selfies tu. Pia hawana hata wazo la kupanua barabara ya kibaha hadi Morogoro nayo ni janga lingine wapo tu maofisini huku wakijiita engineers. Ipo siku nitapewa cheo TANROADS Ili niibadilishe nchi kimiundombinu.
Tatzo hizi Nchi zetu Hata Ukipewa Nafasi Unaweza ukashindwa Coz Wote Waliokuzunguka Wanafanya Vitu Kisiasa hata Bajeti ikitoka Inatoka Kisiasa na Wakati Gani Hela itoke na Miladi IIshe ifuatane na Kampeni Za Uraisi Ubunge na Madiwani Ili Wapate pa Kusemea Ndo Tatzo lililoikumba Africa
 
Hiyo pesa ya kutanua hapo ni bora wajenge barabara ya kutoka Kitunda- Kivure- Msongola ili kuwapa ahueni watu wa maeneo hayo na adha ya usafiri
Wewe utakuwa mkurya tu. Yani hela yote iyo ijenge lami kitunda kwa wauza mayai kwa baiskeli.
 
We are very short sighted.... Leo hii hapa Dar haitakiwi tena kujenga barabara 2... inatakiwa 3x3 tu kama Kimara - Kibaha
 
We are very short sighted.... Leo hii hapa Dar haitakiwi tena kujenga barabara 2... inatakiwa 3x3 tu kama Kimara - Kibaha
Ina Maaana Hawajui Nini kinatakiwa kifanyike Kwa Weredi Au Wanaigiza Au Ndo Vile Wanajenga baada ya Miaka 5 Au 10 Wanvunja Tena kuitia Hasara Serikali na Wananchi wake huku wao Wakiendelea Kuiba Pesa za Mlipa Kodi
 
Ina Maaana Hawajui Nini kinatakiwa kifanyike Kwa Weredi Au Wanaigiza Au Ndo Vile Wanajenga baada ya Miaka 5 Au 10 Wanvunja Tena kuitia Hasara Serikali na Wananchi wake huku wao Wakiendelea Kuiba Pesa za Mlipa Kodi
Pengine.... lakini haingii akilini. Mwenge-Tegeta leo haitoshi, na wanaenda kufanya
 
Back
Top Bottom