jovas jonathan
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 200
- 282
Ni mchungajiManeno ya Mungu yanasema amelaaniwa yeye amtegemeaye mwanadamu na kumfanya kinga yake
Ni mchungajiManeno ya Mungu yanasema amelaaniwa yeye amtegemeaye mwanadamu na kumfanya kinga yake
Kama humu kuna "classmate" wangu wa Chuo, atakumbuka kisa tulichosimuliwa na Mwalimu wetu wa Sociology, Yusufu Ramadhani.Ukimya ni hazina iliyofichwa. Ukimya unaturuhusu kutazama, kufikiria, kuelewa, na kuunganishwa na hekima yetu ya ndani. Wakati mwingine ni muhimu kunyamaza ili kupata majibu na kugundua mitazamo mipya na maono mapya. Sikiliza ukimya na utaona yote ambayo unaweza kujifunza na kujisahihisha.
~ Nyamaa, kaa kimya, katikati ya kilele cha hasira, kaa kimya,
~ Ikiwa maneno yako yanaweza kuharibu urafiki. kaa kimya.
~ Ikiwa maneno yako yatamchukiza mtu, kaa kimya,
~ Ikiwa huwezi kuongea bila kupiga kelele, kaa kimya,
~ Kama huna ukweli wote, kaa kimya.
~ Wakati unahisi kukosolewa, nyamaza.
~ Ikiwa maneno yako yanatoa maoni yasiyofaa.
Ukimya siku zote ni bora kuliko maneno yasiyo na maana.
Kaa kimya! Ukimya ni hekima, Ukimya ni tafakuri, Ukimya ni kujitathmini.
Good morningTanganyika
.
Hata wazazi wetu nao wanadamu tuliwategemea hata wanao wanakutegemea wewe kana mchungaji wao ili uwaleeManeno ya Mungu yanasema amelaaniwa yeye amtegemeaye mwanadamu na kumfanya kinga yake
Kama humu kuna "classmate" wangu wa Chuo, atakumbuka kisa tulichosimuliwa na Mwalimu wetu wa Sociology, Yusufu Ramadhani.
Kwamba, Msomi mmoja, katika Moja ya tafiti zake, alijifanya Sangoma anayetatua changamoto za ndoa. Mmoja wa wateja wake alikuwa ni mwanamke aliyekuwa akimtuhumu mumewe kuwa alikuwa akimgombeza mara kwa mara.
Lakini huyo Sangoma fake, baada ya kumhoji huyo mama kwa kina, alibaini kuwa huenda yeye ndiye chanzo cha tatizo, alikuwa kidomo domo. Alijua akimsaidia katika hilo eneo, tatizo litaisha.
Alimpatia dawa. Alichukua maji na kuchanganya na magome ya miti yasiyo na madhara mwilini mwa binadamu na kumpatia.
Alimwelekeza kuwa, mumewe atakapoanza kugomba, aijaze hiyo dawa kinywani na kuiacha mdomoni hadi jamaa atakapoacha kugomba. Kwa uaminifu ulioshiba, mwanamke alifuata maelekezo yote.
Wiki chache baadaye, alirejea kwa "Sangoma" wake kumpa mrejesho. "
"Dawa" ilifanya kazi kwa asilimia mia Moja. Aliamini kwamba "dawa" imemdhibiti mumewe kumbe yeye ndiyo kawekewa speed governor kinywani.
"Sangoma" alivyomwelekeza kujaza "dawa" kinywani, alijua asingeweza kujibizana na mumewe "kimiminika" kikiwa kimejaa kinywani. Kwa hiyo hata ugomvi ukizuka, ungefifia kwa kukosa ushirikiano.
Kongole kwako mkuu Mshana Jr. kwa somo zuri.

Dawa" ilifanya kazi kwa asilimia mia Moja. Aliamini kwamba "dawa" imemdhibiti mumewe kumbe yeye ndiyo kawekewa speed governor kinywani.Kuna live saa Sita karibuni ujifunze kidogoAsante nimekuelewa vema![]()
Kama humu kuna "classmate" wangu wa Chuo, atakumbuka kisa tulichosimuliwa na Mwalimu wetu wa Sociology, Yusufu Ramadhani.
Kwamba, Msomi mmoja, katika Moja ya tafiti zake, alijifanya Sangoma anayetatua changamoto za ndoa. Mmoja wa wateja wake alikuwa ni mwanamke aliyekuwa akimtuhumu mumewe kuwa alikuwa akimgombeza mara kwa mara.
Lakini huyo Sangoma fake, baada ya kumhoji huyo mama kwa kina, alibaini kuwa huenda yeye ndiye chanzo cha tatizo, alikuwa kidomo domo. Alijua akimsaidia katika hilo eneo, tatizo litaisha.
Alimpatia dawa. Alichukua maji na kuchanganya na magome ya miti yasiyo na madhara mwilini mwa binadamu na kumpatia.
Alimwelekeza kuwa, mumewe atakapoanza kugomba, aijaze hiyo dawa kinywani na kuiacha mdomoni hadi jamaa atakapoacha kugomba. Kwa uaminifu ulioshiba, mwanamke alifuata maelekezo yote.
Wiki chache baadaye, alirejea kwa "Sangoma" wake kumpa mrejesho. "
"Dawa" ilifanya kazi kwa asilimia mia Moja. Aliamini kwamba "dawa" imemdhibiti mumewe kumbe yeye ndiyo kawekewa speed governor kinywani.
"Sangoma" alivyomwelekeza kujaza "dawa" kinywani, alijua asingeweza kujibizana na mumewe "kimiminika" kikiwa kimejaa kinywani. Kwa hiyo hata ugomvi ukizuka, ungefifia kwa kukosa ushirikiano.
Kongole kwako mkuu Mshana Jr. kwa somo zuri.
😂😂Mungu nifundishe kukaa kimya maana saingine duuh ni ngumu kwakweli…tena muda una ka jambo huna uhakika mdomo huwa unawasha kweli
Kuna mafunuo makubwa sana ya kiroho kwenye utulivuKabla ya kukaa kimya...ni muhimu kujifunza namna ya Kusubiri, Kutulia na Kunyamaza.
Note; ni Mungu pekee ndiye huwafundisha watu Kunyamaza, Kusubiri na kutulia...kabla hawajamanifest kukaa kimya
Imani ndiyo huyafanya mawimbi yatulie au yapige kwà kasi. Mwili ni kama bahariKuna mafunuo makubwa sana ya kiroho kwenye utulivu
Ukimya ni hazina iliyofichwa. Ukimya unaturuhusu kutazama, kufikiria, kuelewa, na kuunganishwa na hekima yetu ya ndani. Wakati mwingine ni muhimu kunyamaza ili kupata majibu na kugundua mitazamo mipya na maono mapya. Sikiliza ukimya na utaona yote ambayo unaweza kujifunza na kujisahihisha.
~ Nyamaa, kaa kimya, katikati ya kilele cha hasira, kaa kimya,
~ Ikiwa maneno yako yanaweza kuharibu urafiki. kaa kimya.
~ Ikiwa maneno yako yatamchukiza mtu, kaa kimya,
~ Ikiwa huwezi kuongea bila kupiga kelele, kaa kimya,
~ Kama huna ukweli wote, kaa kimya.
~ Wakati unahisi kukosolewa, nyamaza.
~ Ikiwa maneno yako yanatoa maoni yasiyofaa.
Ukimya siku zote ni bora kuliko maneno yasiyo na maana.
Kaa kimya! Ukimya ni hekima, Ukimya ni tafakuri, Ukimya ni kujitathmini.
Good morningTanganyika
.
Duh! Sema wakati unaofaa au sahihi, kwa watu sahihi, mahali sahihi na ujumbe sahihi. Hayo huja tu baada ya kutulia na ndiyo hekima.Mi siwezi nikae kimya tu na mdomo nnao![]()
Kukaa kimya si kuwa bubu, la hasha! Bali ni kuwa msikivu, kutafakari na kisha kusema yanayofaa. Kukaa kimya ni kama kufanya utafiti kwanza, kuchambua na kutafakari, ndiposa utoe hoja au ripoti.Tunapenda kukaa kimya kwa ajili ya hayo uliyoandika ila huwa tunatakiwa tuongee ili ushiriki wetu uonekane tumeongea jambo. Umekaa kimya kikaoni huchangii mada, mwenyekiti wa kikao au wajumbe wanakuuli mbona huongei umekaa kimya tu? Na hapo hujanyoosha mkono kuomba kuchangia hoja. Ni kama huwa tunalizimishwa tuongee sisi wapenda kukaa kimya
Ni kweli kabisa, kanisa ni kusanyiko la wana wa Mungu. Si jengo la ibada wala si madhehebu (taasisi za kidini), yanayoanzishwa na watu na kusajiliwa na mamlaka za duniani. Kanisa ndilo huenda kwenye jengo la ibada.Sawa lakini kanisa la kweli sio jengo kama wengi wanavyodhani
Sawa brotherNimefafanua
~ Nyamaa, kaa kimya, katikati ya kilele cha hasira, kaa kimya,
~ Ikiwa maneno yako yanaweza kuharibu urafiki. kaa kimya.
~ Ikiwa maneno yako yatamchukiza mtu, kaa kimya,
~ Ikiwa huwezi kuongea bila kupiga kelele, kaa kimya,
~ Kama huna ukweli wote, kaa kimya.
~ Wakati unahisi kukosolewa, nyamaza.
~ Ikiwa maneno yako yanatoa maoni yasiyofaa.
kwa mantiki hiyo, kiuhalisia wana wa Mungu hawaendi kanisani maana wao ndio kanisa! Aidha, kanisa ni mwili wa Yesu Kristo, waumini ni viungo vyake, kila kimoja na kazi yake au karama yake. Na ifahamike kuwa mwasisi wa kanisa ni Yesu Kristo mwenyewe, si watu!Ni kweli kabisa, kanisa ni kusanyiko la wana wa Mungu. Si jengo la ibada wala si madhehebu (taasisi za kidini), yanayoanzishwa na watu na kusajiliwa na mamlaka za duniani. Kanisa ndilo huenda kwenye jengo la ibada.
Na kwa mantiki hiyo, kiuhalisia wana wa Mungu hawaendi kanisani maana wao ndio kanisa! Aidha, kanisa ni mwili wa Yesu Kristo, waumini ni viungo vyake, kila kimoja na kazi yake au karama yake. Na ifahamike kuwa mwasisi wa kanisa ni Yesu Kristo mwenyewe, si watu!



Una ushahidi kuwa kauwawa kikatili?Yani dada yetu kipenzi katika imani nusra anauwawa kikatili kwenye ajali na gari la serikali tukae kimyaa? Haiwezekani.
Jumatatu tutaandamana kwaanzia ubalozi wa Israel, Marekani hadi bungeni.
Gavana ielewemitaa hydroxo inamankusweke Akhi Mokiti