Unajua sometimes lazima kujichanganya na kufurahi na wengine.. Furaha ni tiba ya afya ya akili, hivyo kuna wakati kuna baadhi ya nyuzi ni muhimu kuzifikia piaKuna mtu jana alisema et wewe unashadadia nyuzi za ajabu zisizoeleweka nilimshangaa sana
Ahsante kwa ujumbe murua.
SILENCE IS NEW RELIGION.
SILENCE IS POWER.
Ila ukionekana huko baadhi wanakushangaa 
Ni roho kweli au ni jicho la fursa.😃Kuna roho ya utumishi inaniita kila wakati na ndio iliyonifanya niache ulozi![]()
Ukimya ni hazina iliyofichwa. Ukimya unaturuhusu kutazama, kufikiria, kuelewa, na kuunganishwa na hekima yetu ya ndani. Wakati mwingine ni muhimu kunyamaza ili kupata majibu na kugundua mitazamo mipya na maono mapya. Sikiliza ukimya na utaona yote ambayo unaweza kujifunza na kujisahihisha.
~ Nyamaa, kaa kimya, katikati ya kilele cha hasira, kaa kimya,
~ Ikiwa maneno yako yanaweza kuharibu urafiki. kaa kimya.
~ Ikiwa maneno yako yatamchukiza mtu, kaa kimya,
~ Ikiwa huwezi kuongea bila kupiga kelele, kaa kimya,
~ Kama huna ukweli wote, kaa kimya.
~ Wakati unahisi kukosolewa, nyamaza.
~ Ikiwa maneno yako yanatoa maoni yasiyofaa.
Ukimya siku zote ni bora kuliko maneno yasiyo na maana.
Kaa kimya! Ukimya ni hekima, Ukimya ni tafakuri, Ukimya ni kujitathmini.
Good morningTanganyika
.


Suscribide,liked and commentedUkimya ni hazina iliyofichwa. Ukimya unaturuhusu kutazama, kufikiria, kuelewa, na kuunganishwa na hekima yetu ya ndani. Wakati mwingine ni muhimu kunyamaza ili kupata majibu na kugundua mitazamo mipya na maono mapya. Sikiliza ukimya na utaona yote ambayo unaweza kujifunza na kujisahihisha.
~ Nyamaa, kaa kimya, katikati ya kilele cha hasira, kaa kimya,
~ Ikiwa maneno yako yanaweza kuharibu urafiki. kaa kimya.
~ Ikiwa maneno yako yatamchukiza mtu, kaa kimya,
~ Ikiwa huwezi kuongea bila kupiga kelele, kaa kimya,
~ Kama huna ukweli wote, kaa kimya.
~ Wakati unahisi kukosolewa, nyamaza.
~ Ikiwa maneno yako yanatoa maoni yasiyofaa.
Ukimya siku zote ni bora kuliko maneno yasiyo na maana.
Kaa kimya! Ukimya ni hekima, Ukimya ni tafakuri, Ukimya ni kujitathmini.
Good morningTanganyika
.
Nimefafanua aina ya ukimya LOTH HEMATunapenda kukaa kimya kwa ajili ya hayo uliyoandika ila huwa tunatakiwa tuongee ili ushiriki wetu uonekane tumeongea jambo. Umekaa kimya kikaoni huchangii mada, mwenyekiti wa kikao au wajumbe wanakuuli mbona huongei umekaa kimya tu? Na hapo hujanyoosha mkono kuomba kuchangia hoja. Ni kama huwa tunalizimishwa tuongee sisi wapenda kukaa kimya
Nitakuja by saa nane. Kuna jambo bado liko pending hatujaliongea hadi leoThanks kaka mkubwa leo Jumamosi ujue.. Loliondoooo