Kaa kimya

Kaa kimya

Kuna mtu jana alisema et wewe unashadadia nyuzi za ajabu zisizoeleweka nilimshangaa sana
Ahsante kwa ujumbe murua.
SILENCE IS NEW RELIGION.
SILENCE IS POWER.
Unajua sometimes lazima kujichanganya na kufurahi na wengine.. Furaha ni tiba ya afya ya akili, hivyo kuna wakati kuna baadhi ya nyuzi ni muhimu kuzifikia pia Ila ukionekana huko baadhi wanakushangaa
 
Tunapenda kukaa kimya kwa ajili ya hayo uliyoandika ila huwa tunatakiwa tuongee ili ushiriki wetu uonekane tumeongea jambo. Umekaa kimya kikaoni huchangii mada, mwenyekiti wa kikao au wajumbe wanakuuli mbona huongei umekaa kimya tu? Na hapo hujanyoosha mkono kuomba kuchangia hoja. Ni kama huwa tunalizimishwa tuongee sisi wapenda kukaa kimya
 
yesu aliwaambia watu fulani nyakati zile----

"mkiwanyamazisha hawa mawe yataongea"

nafikiri yesu alionyesha kuwa ukimya sio dawa kwenye tatizo lolote
 
Ukimya ni hazina iliyofichwa. Ukimya unaturuhusu kutazama, kufikiria, kuelewa, na kuunganishwa na hekima yetu ya ndani. Wakati mwingine ni muhimu kunyamaza ili kupata majibu na kugundua mitazamo mipya na maono mapya. Sikiliza ukimya na utaona yote ambayo unaweza kujifunza na kujisahihisha.

~ Nyamaa, kaa kimya, katikati ya kilele cha hasira, kaa kimya,
~ Ikiwa maneno yako yanaweza kuharibu urafiki. kaa kimya.
~ Ikiwa maneno yako yatamchukiza mtu, kaa kimya,
~ Ikiwa huwezi kuongea bila kupiga kelele, kaa kimya,
~ Kama huna ukweli wote, kaa kimya.
~ Wakati unahisi kukosolewa, nyamaza.
~ Ikiwa maneno yako yanatoa maoni yasiyofaa.

Ukimya siku zote ni bora kuliko maneno yasiyo na maana.

Kaa kimya! Ukimya ni hekima, Ukimya ni tafakuri, Ukimya ni kujitathmini.

Good morning Tanganyika .
 
Ukimya ni hazina iliyofichwa. Ukimya unaturuhusu kutazama, kufikiria, kuelewa, na kuunganishwa na hekima yetu ya ndani. Wakati mwingine ni muhimu kunyamaza ili kupata majibu na kugundua mitazamo mipya na maono mapya. Sikiliza ukimya na utaona yote ambayo unaweza kujifunza na kujisahihisha.

~ Nyamaa, kaa kimya, katikati ya kilele cha hasira, kaa kimya,
~ Ikiwa maneno yako yanaweza kuharibu urafiki. kaa kimya.
~ Ikiwa maneno yako yatamchukiza mtu, kaa kimya,
~ Ikiwa huwezi kuongea bila kupiga kelele, kaa kimya,
~ Kama huna ukweli wote, kaa kimya.
~ Wakati unahisi kukosolewa, nyamaza.
~ Ikiwa maneno yako yanatoa maoni yasiyofaa.

Ukimya siku zote ni bora kuliko maneno yasiyo na maana.

Kaa kimya! Ukimya ni hekima, Ukimya ni tafakuri, Ukimya ni kujitathmini.

Good morning Tanganyika .
Suscribide,liked and commented
 
Tunapenda kukaa kimya kwa ajili ya hayo uliyoandika ila huwa tunatakiwa tuongee ili ushiriki wetu uonekane tumeongea jambo. Umekaa kimya kikaoni huchangii mada, mwenyekiti wa kikao au wajumbe wanakuuli mbona huongei umekaa kimya tu? Na hapo hujanyoosha mkono kuomba kuchangia hoja. Ni kama huwa tunalizimishwa tuongee sisi wapenda kukaa kimya
Nimefafanua aina ya ukimya LOTH HEMA


~ Nyamaa, kaa kimya, katikati ya kilele cha hasira, kaa kimya,
~ Ikiwa maneno yako yanaweza kuharibu urafiki. kaa kimya.
~ Ikiwa maneno yako yatamchukiza mtu, kaa kimya,
~ Ikiwa huwezi kuongea bila kupiga kelele, kaa kimya,
~ Kama huna ukweli wote, kaa kimya.
~ Wakati unahisi kukosolewa, nyamaza.
~ Ikiwa maneno yako yanatoa maoni yasiyofaa.

Ukimya siku zote ni bora kuliko maneno yasiyo na maana.
 
Back
Top Bottom