Kaa kimya

Kaa kimya

Ukimya ni hazina iliyofichwa. Ukimya unaturuhusu kutazama, kufikiria, kuelewa, na kuunganishwa na hekima yetu ya ndani. Wakati mwingine ni muhimu kunyamaza ili kupata majibu na kugundua mitazamo mipya na maono mapya. Sikiliza ukimya na utaona yote ambayo unaweza kujifunza na kujisahihisha.

~ Nyamaa, kaa kimya, katikati ya kilele cha hasira, kaa kimya,
~ Ikiwa maneno yako yanaweza kuharibu urafiki. kaa kimya.
~ Ikiwa maneno yako yatamchukiza mtu, kaa kimya,
~ Ikiwa huwezi kuongea bila kupiga kelele, kaa kimya,
~ Kama huna ukweli wote, kaa kimya.
~ Wakati unahisi kukosolewa, nyamaza.
~ Ikiwa maneno yako yanatoa maoni yasiyofaa.

Ukimya siku zote ni bora kuliko maneno yasiyo na maana.

Kaa kimya! Ukimya ni hekima, Ukimya ni tafakuri, Ukimya ni kujitathmini.

Good morning Tanganyika .
Insommia inakutafuna wewe
 
Ukimya ni hazina iliyofichwa. Ukimya unaturuhusu kutazama, kufikiria, kuelewa, na kuunganishwa na hekima yetu ya ndani. Wakati mwingine ni muhimu kunyamaza ili kupata majibu na kugundua mitazamo mipya na maono mapya. Sikiliza ukimya na utaona yote ambayo unaweza kujifunza na kujisahihisha.

~ Nyamaa, kaa kimya, katikati ya kilele cha hasira, kaa kimya,
~ Ikiwa maneno yako yanaweza kuharibu urafiki. kaa kimya.
~ Ikiwa maneno yako yatamchukiza mtu, kaa kimya,
~ Ikiwa huwezi kuongea bila kupiga kelele, kaa kimya,
~ Kama huna ukweli wote, kaa kimya.
~ Wakati unahisi kukosolewa, nyamaza.
~ Ikiwa maneno yako yanatoa maoni yasiyofaa.

Ukimya siku zote ni bora kuliko maneno yasiyo na maana.

Kaa kimya! Ukimya ni hekima, Ukimya ni tafakuri, Ukimya ni kujitathmini.

Good morning Tanganyika .
Hakika brother, Lakini hayo yote yanawezekana kwa msaada wa Roho mtakatifu tu, Lakini kwakutumia Elimu na busara za kibinadamu,utajikwaa tu, maana kuna wanadamu wana lugha na maneno yamejaa pilipili,usipotoa machozi, Basi mdomo utawashwa
 
Hakika brother, Lakini hayo yote yanawezekana kwa msaada wa Roho mtakatifu tu, Lakini kwakutumia Elimu na busara za kibinadamu,utajikwaa tu, maana kuna wanadamu wana lugha na maneno yamejaa pilipili,usipotoa machozi, Basi mdomo utawashwa
Ukishaona hii ni pilipili bro kimbia...RUN!
 
Ni roho kweli au ni jicho la fursa.
JamiiForums-1474988598.jpg
 
Bwana atakupigania wewe ukinyamaza na kutulia.

Kutoka 14:14

Na neno hili likafanyike baraka kwako tangu sasa na siku zote.. Aamen
Amen

katika mojawapo ya mapambano yangu katika maisha yangu ni kujifunza kukaa kimya na kusamehe. Namshukuru Mungu nimeweza kwa kiasi flani, na nimeona mabadiliko kwenye maisha yangu. Naendelea kumwomba Mungu aendelee kunibariki zaidi na zaidi katika jambo hili, Amen.
 
Ukimya ni hazina iliyofichwa. Ukimya unaturuhusu kutazama, kufikiria, kuelewa, na kuunganishwa na hekima yetu ya ndani. Wakati mwingine ni muhimu kunyamaza ili kupata majibu na kugundua mitazamo mipya na maono mapya. Sikiliza ukimya na utaona yote ambayo unaweza kujifunza na kujisahihisha.

~ Nyamaa, kaa kimya, katikati ya kilele cha hasira, kaa kimya,
~ Ikiwa maneno yako yanaweza kuharibu urafiki. kaa kimya.
~ Ikiwa maneno yako yatamchukiza mtu, kaa kimya,
~ Ikiwa huwezi kuongea bila kupiga kelele, kaa kimya,
~ Kama huna ukweli wote, kaa kimya.
~ Wakati unahisi kukosolewa, nyamaza.
~ Ikiwa maneno yako yanatoa maoni yasiyofaa.

Ukimya siku zote ni bora kuliko maneno yasiyo na maana.

Kaa kimya! Ukimya ni hekima, Ukimya ni tafakuri, Ukimya ni kujitathmini.

Good morning Tanganyika .
Yani dada yetu kipenzi katika imani nusra anauwawa kikatili kwenye ajali na gari la serikali tukae kimyaa? Haiwezekani.

Jumatatu tutaandamana kwaanzia ubalozi wa Israel, Marekani hadi bungeni.


Gavana ielewemitaa hydroxo inamankusweke Akhi Mokiti
 
Anza kuandamana kwenda kwa Pengo


Allah the almighty is beautiful and pretty i love her and his prophet Muhammad is hot very handsome and their religion Islam is sweet.

I love ALLAH muhamad and Islam. Plenty of countless kisses to them mwaaah mwaaah mwaah 😘😘😘💕 mwaaah
 
Back
Top Bottom