K

Nimekuwa najiuliza mara kwa mara kwa nin vitu vitam vinaanza na herufi K, kama, Kuku, Keki, Karanga,Kashata, Kitumbua, Kitimoto,haya wanajamii ongezen
 
Weee kweli sunguratope
Bora ungekuwa sungura maji

Hii topik ilioanzia humu ndo ikaenda kwenye mails na simu za viganjani

Ipo, search tu utaiona na majibu yake.
 
mabata madogo madogo yanaogelea yanaogeleeeeeeea...........katika shamba zuri la bustani...lol,hii thread inawafaa na ndio imejaa hao wanaoimba hivyo....lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom