K Mileage

K Mileage

Mkuu ndo mana mi sijaoa mpk leo. Hapo ndo pengine hta tgo washaifumua, we ukigusa tu unatishiwa kupelekwa kwa paroko.

Utakaa single mpk ln? Manake hapo lazima unagegeda sana mademu na kuwa dump! Unavowachezea na kuwaacha ndivyo na mkeo mtarajiwa huko aliko anagegedwa ivyo ivyo na kuda mpiwa mpk utakapokutana nae na kumuoa! What goes around.........! Kazi kwako!
 
hivi kwani wewe umepimwa malilage na nani?? ama na nini??
na wewe ingekuwa chaki ingebaki kichungi ama kama ingekuwa penseli ingeshabaki size ya ufutio wake
 
Na bado hao ndo kizazi cha kidigitali
ukimuoa siku unaweza kuambiwa kamegwa nje
ukamuuliza akakwambia 'baby it was just sex,i feel nothing about the guy'
i am sorry....

ha haaaa
 
Na bado hao ndo kizazi cha kidigitali
ukimuoa siku unaweza kuambiwa kamegwa nje
ukamuuliza akakwambia 'baby it was just sex,i feel nothing about the guy'
i am sorry....

ha haaaa

That's the millennial generation for you.
 
kimbia! honestly, ruuun!
jasiri haachi asili, na hy sifa ya kurukaruka si ya mwanamke.
hakufai, atarudia tena.
believe me. nipo kwny ndoa na najua kuna wakati mambo hayaendi vizuri. so km ni mtu asiyekua na misimamo, and i mean it, misimamo, kitu ambacho mwanamke ameumbiwa, basi atatafuta pa kupoozea stress zake jus like she used to do. na itakucost cuz tayari umekubaliana na story za past yake.
pia ana IQ ndogo sana. umri must be a factor. mchunguze kwa miaka miwili hadi mitatu ujue km kabadilika. then fanya maamuzi ya kuoa.
Im my case, i had the same story. was a badboy. bt niliamua kuacha, after kumpata mtu wa ndoto zangu. remember, niliamua kuacha kabla, cuz maisha yale hayakua mazuri.
nilimpa wife ukweli wa fujo nilizofanya na alikubaliana nami, cuz i meant to be with her for the rest of ma life.
na kizuri zaidi ni kuwa aliniamini . na hiko ndo kigezo muhimu kilichoniboresha na kutokurudia uplayer!
nilimuomba to Help Me Be The Best Man I Can Be.
so, km ni kweli anajuta, watch over her for 2 years then amua.
Help Her Be.....bt mpk atake mwenyewe!
 
Uliyataka mwenyewe mapenzi ya. nyuma ni kama maisha ya bata ukichunguza huyali.
 
uliuliza ya nin?? Ona sasa yaliyokukuta..... Kupenda unapenda, kuendelea unaogopa.
 
Ulipokuwa unamhoji? Nia na Madhumuni yako ninin? Wewe unaonekana bado underground. WEWE FANYA YAKO ACHA KUMCHUKUA MAELEZO. TRUE LOVE ALWAYS COME AUTOMATICALLY. SIYO TYPE YAKO HIYO NDO MAANA UNAFOSI NYEKUNDU KUWA NJANO.
 
We jamaa umepata bonge la mchumba.
Amepevuka na ni muelewa sana, anauelewa ulimwengu wa kisasa zaidi kuliko wewe.....

Chukua mtoto huyo acha kutoatoa macho na viulizo vyako visivyo na kichwa wala miguu....

Labda kama unahofia ngoma mkapime fasta.

Ha haa haaa
 
Utakaa single mpk ln? Manake hapo lazima unagegeda sana mademu na kuwa dump! Unavowachezea na kuwaacha ndivyo na mkeo mtarajiwa huko aliko anagegedwa ivyo ivyo na kuda mpiwa mpk utakapokutana nae na kumuoa! What goes around.........! Kazi kwako!

Exactily mamii
 
U wanted the truth .... u got it... if U cant bear it......... next time don't even think about asking.
Anyways, I would say... personally i think that lady is confident and serious.....
just a tip....."Very few can handle that.... and be totally open when it comes to history"

Don't expect someone to say that..... as a jock..... especially a girl.
So if you are really interested ....just go for it. Just make sure that she is safe health-wise.
Then nothing also matters.
If she would have told you that she had only one before.... for sure you would not come with this post..... right???
All in all.... it is all about mind tuning NOT risk Bearing.
 
Simplicity. It seems una bahati mbaya sana na wadada, mara wasiona sura, mara hivi, leo umepata aliyesfiri km nyiiingi per hour.

Pole sana.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wewe nae umeenda deep sana..ukimchunguza kuku huwezi kumla..bora huyo alishafanya mpaka kachoka,angekuja kuzibukia kwako ingekuwa balaa.
 
hapo ni sawa na barabara ya lami, je unaweza kuuliza na kujibu magari mangapi yamepita???? The same applies kwa K very difficult estimte how may mans passed through it
 
Back
Top Bottom