physically yes...uume haupungui wala kuongezeka kwa kudo sana.
Aisee...ila kwa wadada kunaisha!? Hasa si kuna wengine wangekuwa hawana kabisa!? Isije ikawa yale yale ya binadamu wa kwanza alitokea kwa nyani na wala hatuwaoni nyani waliopo wakiwa binadamu.