- Thread starter
- #81
It seems una bahati mbaya sana na wadada, mara wasiona sura, mara hivi, leo umepata aliyesfiri km nyiiingi per hour.
Pole sana.
Kokutona kwani wewe vp status yako?
It seems una bahati mbaya sana na wadada, mara wasiona sura, mara hivi, leo umepata aliyesfiri km nyiiingi per hour.
Pole sana.
Kokutona kwani wewe vp status yako?
kwa wadada kunalegea na kupwaya,vilevile sensitivity ya kuta za uke zinakua butu kiasi kwamba anaweza kuwa anafanywa huku yeye yuko busy anatext.
Una mambo ya kitoto, maswali yote uliyomuuliza hayakuhusu wewe siyo Mungu kuhukumu mtu kwa kile ulichotaka kujua kwa hiari yako mwenyewe. Unapotaka kuhoji maswali kama hayo lazima wewe ujipepeleze nafsini mwako umeshalala na wanawake wangapi, kwa sababu gani?
Mume au boyfriend marufuku kuniulize upuuzi wa hivyo ukitaka nikutajie (andaa notebook tatu). We si muoaji pia, utampotezea mwenzio step bure.
Caro...
Wakati mwingine, kama mtu ana kifua cha kuyabeba, ni vizuri kumjua mtu wako kwa undani. Hii inaweza kuepusha matatizo ambayo labda yangejitokeza baadae!
As for me, lazma tuambiane yalopita.. na wala sitakuwa na doa rohoni coz hata mimi si mkamilifu. Na kwa uzoefu mdogo, kama mwanamke atakuwa willing kutoa mambo yake ya siri kwa mwanamme, then she's in for a serious business!
kwa wadada kunalegea na kupwaya,vilevile sensitivity ya kuta za uke zinakua butu kiasi kwamba anaweza kuwa anafanywa huku yeye yuko busy anatext.
kwani ww aliyekwambia k huwa zinaongezeka kwa ku do na wanaume wengi nani?..
..kumbe ww ni rahisi kuibiwaeeh,nishakuona kabisa!
...unajua tumeumbwa tofauti? Kuna mwingine utagonga na utakuta yuko vzr sanaaaa na ameshapita kwny mahusiano kibaoooo,ht wanaume 20, ss hapo utasemaje?
..do u knw that kuna watu walio oa malaya/waliokua wanajiuza/bar made (ambao waliamua kuachana na hzo bness), na wako vzr maumbile yao!!
...acha kabisa mawazo hayo utachemka vibaya,shauri yako!
Unless tafuta bikira!
mwanamke bwana anatakiwa awe wa mtu mmoja tu. Lakni hawa watu wako kama magari sijui kiti cha basi? kila mtu anakalia halafu anashuka popote.serious task!
Una mambo ya kitoto, maswali yote uliyomuuliza hayakuhusu wewe siyo Mungu kuhukumu mtu kwa kile ulichotaka kujua kwa hiari yako mwenyewe. Unapotaka kuhoji maswali kama hayo lazima wewe ujipepeleze nafsini mwako umeshalala na wanawake wangapi, kwa sababu gani?
Mume au boyfriend marufuku kuniulize upuuzi wa hivyo ukitaka nikutajie (andaa notebook tatu). We si muoaji pia, utampotezea mwenzio step bure.
I sometimes tell serious lies not because i like but simply because its expected of me to lie!
Nimekuelewa, tatizo ni pale unatoa vitu vyako vya ndani unamwambia mtu anabaki kufanya story! does it make difference? Ninachojua mimi, sipendi kujua past history(kiroho tunasema ya kale yamepita, tazama yamekuwa mapya) nina imani kama tumekubaliana kuwa pamoja umedhamiria siyo usanii. Kwa tulio wengi, tunajikuta tuna mlolongo wa b/f kwa sababu ambazo upande mmoja unakuwa hauelewi. Kwa mfano wanaume wanaotongoza kwa style ya HIT N RUN" hakuna mwanamke yoyote atakubali unless awe na tabia ya kihivyo.
Kikubwa ni hiki; wale ambao bado kuoa, uwe na mikakati thabiti, huwezi kukutana na mtu casino au bar au disco ukahoji kama anakunywa pombe, anapenda kucheza mziki au ameshawahi kuwa na wapenzi wangapi.
Lakini Caro, you just don't spit everything to a stranger, lazma umfahamu angalau kiasi cha kuwa huru kumwambia, au ujue huyu mtu je, wivu wake uko level gani.
Kuwa na list ndefu ya bfs au gfs ni kitu cha kawaida siku hizi na huwezi kuwa na bf bila yeye kukuonja, kwa hiyo kama unamfahamu mtu angalau kidogo, unadhani he's serious with you, then sioni ubaya kumwambia mambo yako... kwangu it's a relief to know my partner's pasts, with a condition that am not entitled to judge her.
Hakuna cha mileage wala nini hapo mkuu hiyo kitu haichuji, ni kama njaa tu, hata ule kuku nzima leo kesho yake inarudi pale pale! hivi hujiulizi kwa nini wanaume wanaiba wake za watu tena wenye watoto! labda uongelee upande wa tabia yake tu, na kwamba hukutegemea mtu wa style hiyo!!!
jamani jamani...anatomy and physiology!!!!!!!
Kwa jinsi tunavyotafuna tangu utotoni saa hizi lips and cheeks zingekuwa magotini!!!!!
hivi kwani wewe umepimwa malilage na nani?? ama na nini??
na wewe ingekuwa chaki ingebaki kichungi ama kama ingekuwa penseli ingeshabaki size ya ufutio wake