K Mileage

K Mileage

teh teh teh!!! ukipanda daladala ukifika kutoni lazima ushuke apande mwingine
sasa wataka kulia siti ww tu kwanini?? wengine watapanda nini?? ebo!!

mwanamke bwana anatakiwa awe wa mtu mmoja tu. Lakni hawa watu wako kama magari sijui kiti cha basi? kila mtu anakalia halafu anashuka popote.serious task!
 
Interesting story, lakini pamoja na uzee wangu huu nadhani hata mimi ningekuwa na mashaka na huyo bidada hasa lipokuja swala kuweka mtu ndani kama mke, watu wenyewe vijana mmhh.

Simplicity, try to follow your heart, don't force
 
Last edited by a moderator:
An obvious mismatch here.....
For this to work, it must be the other way....
 
-mi ninavyojua aliyekuwa na 1 na aliyekuwa na 10 wote ni wazinzi tu, hakuna cha afadhali

-halafu mwanamke aliyetembea na wanaume 2 ktk life time yake na aliyetembea na 10 hawana tofauti ktk K zao

-we endelea naye tu as long as ataacha mahusiano yake ya zamani.
Kuna tofauti tunapokuja kwenye masuala ya usalama kiafya. Mtu aliyetembea na watu 10, chance ya kupata magonjwa ya zinaa ni kubwa (endapo hajali kutumia kinga) kuliko aliyetembea na mtu mmoja. Hivyo basi probability ya kutokuwa salama ni kubwa zaidi kuliko yule aliye na mtu mmoja. Suala hapa si kufikiria mileage tu bali afya ya mwenza.
 
Uyo ndo mzuri kakuambia ukweli mwingine anakausha unakuja kuta watu wa karibu walishapita
 
Na mimi ninasema hayo ni Maneno tu Arawa hata kwenye Boxer/pichu Yapo..............Ila mimi najiuliza Huyo Demu atakuwa na Miaka Mingapi????

Msoro, ukitaka wa kwako asiye na mileage kata mgomba uuhifadhi...utakuwa na uhakika!!! Binadamu!??? no way aisee staki kujua...
 
kwani ww aliyekwambia k huwa zinaongezeka kwa ku do na wanaume wengi nani?..
..kumbe ww ni rahisi kuibiwaeeh,nishakuona kabisa!
...unajua tumeumbwa tofauti? Kuna mwingine utagonga na utakuta yuko vzr sanaaaa na ameshapita kwny mahusiano kibaoooo,ht wanaume 20, ss hapo utasemaje?
..do u knw that kuna watu walio oa malaya/waliokua wanajiuza/bar made (ambao waliamua kuachana na hzo bness), na wako vzr maumbile yao!!
...acha kabisa mawazo hayo utachemka vibaya,shauri yako!
Unless tafuta bikira!
 
Kuna tofauti tunapokuja kwenye masuala ya usalama kiafya. Mtu aliyetembea na watu 10, chance ya kupata magonjwa ya zinaa ni kubwa (endapo hajali kutumia kinga) kuliko aliyetembea na mtu mmoja. Hivyo basi probability ya kutokuwa salama ni kubwa zaidi kuliko yule aliye na mtu mmoja. Suala hapa si kufikiria mileage tu bali afya ya mwenza.

Yy ana complain k kuongezeka/kulegea km sikosei, lkn it has nothing to do with....
Suala la afya sawa!!
 
-mi ninavyojua aliyekuwa na 1 na aliyekuwa na 10 wote ni wazinzi tu, hakuna cha afadhali

-halafu mwanamke aliyetembea na wanaume 2 ktk life time yake na aliyetembea na 10 hawana tofauti ktk K zao

-we endelea naye tu as long as ataacha mahusiano yake ya zamani.

U a very ryt
 
Mkuu nimempenda huyo ni mkweli mkiachana nipm unipe namba yake nitaungana naye
umemuuliza kama anapenda pia mambo yetu ya tanga maana anaonekana ana ujuzi wa kutosha na
anaelewa mambo.
Mabinti wengi huwa wanakuaga waongo maana tunatengeneza mazingira ya wao kudanaganya hutegemei binti aliyemaliza chuo
akawa ametumika ana wanaume wawili tu au watatu huyu ni muongo maana wakati mwingine wanaume wanaweza kulaghai tu
one time na kuondoka so sitegemei.
kama binti ametembea na Mimi ambaye nimetembea na mabinti 109 ina maana na yeye ametembea na idadi hiyo ongeza na ya kwake .
 
Ukimchunguza sana bata hautaweza kumla mkuu, fuata hisia za moyo wako iliusije pata sononeko la moyo la kudumu kwa maisha yako yote hapa duniani.
 
Huyo alosema kweli ndo wa kuishi nae, as long as anataka kuanza maisha ya unyumba, kuanzisha familia.
Utapata wapi mtu ambaye hajawahi kuwa na mahusiano? Pili, kama huna kifua cha kuyaweka basi usiulize, ila kwangu lazma nijue nataka kuishi na mtu wa aina gani, hata kama kstembea na watu kumi, wewe bikra hapo ulipo?
 
hupaswi kuuliza swali kama hilo....kama unataka mke..wangapi??? inasaidia nini??
 
Watu hawana hofu ya Mungu kabisa wanafanya dhambi km kula chakula
hawajui kuwa dhambi ni mauti na mauti ikiisha kukomaa huzaa ...............?
 
kumbuka kuwa mshahara wa dhambi ni mauti
na ikiisha kukomaa huzaa ...................?
 
We jamaa umepata bonge la mchumba.
Amepevuka na ni muelewa sana, anauelewa ulimwengu wa kisasa zaidi kuliko wewe.....

Chukua mtoto huyo acha kutoatoa macho na viulizo vyako visivyo na kichwa wala miguu....

Labda kama unahofia ngoma mkapime fasta.
 
Back
Top Bottom