Una mambo ya kitoto, maswali yote uliyomuuliza hayakuhusu wewe siyo Mungu kuhukumu mtu kwa kile ulichotaka kujua kwa hiari yako mwenyewe. Unapotaka kuhoji maswali kama hayo lazima wewe ujipepeleze nafsini mwako umeshalala na wanawake wangapi, kwa sababu gani?
Mume au boyfriend marufuku kuniulize upuuzi wa hivyo ukitaka nikutajie (andaa notebook tatu). We si muoaji pia, utampotezea mwenzio step bure.
Mbona ameshasema amelala na wanawake wangapi. Hivi mnasoma au mnakimbilia kumsema tu kwa kuwa K mileage ndiyo inahusika?! By the way mimi sio mtakatifu pia maana msije kunigeukia bure!