msakaa jr
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 6,565
- 6,764
ndio akatoka ndukiTiss
ndio akatoka ndukiTiss
Thanks for being honest with me mkuuHuyu jamaa anawapa tabu na hadithi zake za kutafasiri kwenye net, alafu anawaamvia itaendelea...
Flow ya hadithi zake ni mbovu na haisisimui. Mi ningemshauri kwakuwa ndio anajifunza kazi afanye at his best
Naomba ufunguke kuhusu hilo ndugu. Umeniacha njia panda mno.Haswa, waandishi na watunzi wa biblia ndio watawala wa dunia, mabillionea wenye Ku corrupt mataifa, waanzilishi wa uchochezi,ugaidi, kote duniani, case in point, Saddam na Qaddafi, nahiyo Arab spring, wamiliki was migodi yote yadhahabu naalmasi duniani
Mbona kama umeandika kwa mkwara?Hakikisha unarudi kumalizia
Kuna movie inakuja soon inaitwa RED SPARROW nadhani inaelezea hii ishu ya hawa secret KGB agents wa kike....ni nzuri sana