This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,906
- 4,985
Mara nying
i hawa wanaharibiwa ubongo kwanza wanakuwa km maroboti yani wanafanyiwa MENTAL PROGRAMMING AU CHARACTER MODIFICATION NA HAPA ZINATUMIKA MICRO CHIP na kwa njia hii unakuwa controlled na huwezi kuvujisha siri. NA NDIO MAANA NASHANGAA MTU ANASEMA NEW WORLD ORDER NI CONSPIRACY. hata masiah au ujio fake wa yesu km biblia inavyosema utakuja kwa njia ya matumizi ya hizi chip.na ndio maana wanahakikisha kila mtu duniani anapandikiziwa hizi micro chip so watawaendesha bnadamu watakavyo na kutakuwa hakuna upinzani ktk kuipokea serikali mpya ya dunia. Unaweza ona km mambo ya kufikirika lkn si hivyo.for the sake of they it has to be