MIMI NIMEJARIBU KUJIULIZA HAYA MASWALI
SWALI LA KWANZA
Kikosi namba 83kj kipo au nacho ni cha uzushi???
SWALI LA PILI
Kijiji cha Tondoroni ambacho wananchi wake takribani 20 wanatuhumiwa kuiba hicho kifaru,hicho kijiji kipo au nacho ni cha kuzusha???
SWALI LA TATU
Mahakama ya mwanzo Kibaha na Hakimu aliyetajwa kusikiliza kesi hiyo ni robots au wapo???
SWALI LA NNE
Hao watuhumiwa 20 waliotajwa kuhusika na kesi hiyo wapo kweli au nao ni uzushi???
SWALI LA TANO
Jeshi limesema kilichoibwa ni screpa tu,je kesi iliyopo mahakamani imeandikishwaje wizi wa screpa ya jeshi au kifaru cha jeshi?????
NB
KAMA HII HABARI IPO KWELI NA SIO UZUSHI
Waandishi wa gazeti la Dira nao wana makosa kwani walipaswa wafikirie wanaandika kitu gani na kutakuwa na madhara gani kwa usalama wa taifa .....????
Kiuhalisia wameleta mstuko kwenye jamii,wananchi wametilia shaka uweledi wa jeshi,wamelidhalilisha jeshi na nchi kwa ujumla...
HATA KAMA HABARI NI YA UKWELI KUNA HAIKUPASWA IANDIKWE VILE AS LONG AS USALAMA WA TAIFA UNAHUSIKA....
Nimejaribu tu kufikiria na akili zangu za asubuhi