simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,780
- 9,704
Weye vipi Habari inakolezwa chumvi siyo sukari bana.Lamda habari ilitiwa sukali.
Weye vipi Habari inakolezwa chumvi siyo sukari bana.Lamda habari ilitiwa sukali.
Kamanda ana heavy accent ya Kihaya, ana dharau, ana kamba mwanzo mwisho.... Anakwambia hata KK Security hawawezi kuibiwa kifaru sembuse jeshi linalolinda amani duniani na lisipokuwepo sehemu watu wanaingia wasiwasi .... hahahahaaaaa... Jeshi la kibongo ambalo wanajeshi wake walikufa kwa kuzama kwenye mto Sudan, hawakuwa na swimming training...!
Teja la CCM hiloMkuu, mwandishi ana shida gani? ameripoti kutoka mahakamani, amemnukuu hakimu.
Je hiyo kesi haipo mahakamani? hakuna shitaka? nilitarajia great thinker kama wewe uende mbali zaidi.
Yawezekana ipo kesi ila the way alivyoweka hyo heading gazetini ndio inaleta ukakasi mwandishi kaiweka hvyo ili awavute watu wanunue gazeti ukisoma ndani ohhhh scraper ya kifaru iliyokuwa desertedWell, tusiwe wepesi wa kusema. Lile gazeti limenukuu proceedings za 'mahakama'. Kama session hiyo ilikuwepo itakuwa vigumu kuwa-victimize Dira. ila kama wametunga uongo hadi kufikia hatua ya kughushi session ya mahakama, utakuwa ni ujinga wa hali ya juu. Maana ipo tofauti kati ya kutunga story tu ya uongo na kuwekea maneno vinywani mwa watu walio halisi au hata wa kubuni.
Ndugu hebu nisaidie ni nani mlalamikiwa? Mwajeshi or raia? If raia je anaweza endesha kifaru hapa namaanisha kipo in gud oda au kama ni kibovu je walikibeba na recovery? Maana najua kile kitu ni kizito ni hayo tu Hilo gazeti limeelezaje?Ukisoma ile story ina uhalisia Zaidi kuliko walichokanusha JW, yule mwandishi amemhoji Polisi na amemnukuu Hakimu na jina la Hakimu liko pale, inawezekanaje iwe story ya uongo???
hakim jajatoa hukumu bado, na hiyo ni kesi ipo mahakamani ambapo mtuhumiwa yupo innocent kwa kuwa hawajathibitisha kosa lake badoWanataka kusema hata hakimu na hao watuhumiwa ni wazushi?
Well, tusiwe wepesi wa kusema. Lile gazeti limenukuu proceedings za 'mahakama'. Kama session hiyo ilikuwepo itakuwa vigumu kuwa-victimize Dira. ila kama wametunga uongo hadi kufikia hatua ya kughushi session ya mahakama, utakuwa ni ujinga wa hali ya juu. Maana ipo tofauti kati ya kutunga story tu ya uongo na kuwekea maneno vinywani mwa watu walio halisi au hata wa kubuni.
hakim jajatoa hukumu bado, na hiyo ni kesi ipo mahakamani ambapo mtuhumiwa yupo innocent kwa kuwa hawajathibitisha kosa lake bado
mwandishi alitakiwa aandike 'wananchi washtakiwa kwa kuiba kifaru' na sio kifaru kimeibwa
title haijalishi ni nini, wala haijalishi kesi imefunguliwa na nani, ishu ni kwamba hiyo ni kesi, hukumu haijatoka bado, hivyo huwezi sema wameiba kifaru, wakati haijathibitishwatitle ya kesi ni nini??
kwa nn jeshi wawashtaki wananchi wameiba?
na kwa nn hawatoi maelezo sahihi??
jeshi wanasema chuma chakavu sio kufaruMwandishi kwenye hiyo habari anasema ni kesi iliyomahakamani, sasa hapa tumwamini nani, mahakama, mwandishi, jeshi?
title haijalishi ni nini, wala haijalishi kesi imefunguliwa na nani, ishu ni kwamba hiyo ni kesi, hukumu haijatoka bado, hivyo huwezi sema wameiba kifaru, wakati haijathibitishwa
Mkuu unauhakika na hayo??Ndiyo hapo Mkuu ujiulize Serikali yako je inaongozwa na Musukule??
Coz Mwandishi Kaishuhudia Kesi Mahakamani Kuwa Wananchi 20 wameshikiliwa Na Jeshi la Polisi na Kufikishwa Mahakamani Kwa Kosa la Kuiba Kifaru cha JWTZ, sasa Kama Jeshi Linakataa Je, Wakuchukuliwa Hatua ni Nani! Mwandishi au Mahakama??
Na Je Kwanini Hao Wananchi Waliopo Mahakamani Hawaachiwi Huru na Kufutiwa Mashtaka Yao kwasababu Kutokana na Kuwa Jeshi Limeshakataa Kuwa Halijaibiwa, Kwa maana hiyo itakuwa Wamebambikiziwa Kesi?
Mkuu mimi nahisi JWTZ linakimbia aibu tu kwasababu Kuibiwa Kifaru ni Kosa Kubwa Kiusalama.