Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,074
- 74,489
Mkuu hakuna connection ya kuniunga na mimi?We Dogo mie nakuhangaikia ile connection ya mchizi wangu wa Mgulani pale wewe umepotea mazima...
Mkuu hakuna connection ya kuniunga na mimi?We Dogo mie nakuhangaikia ile connection ya mchizi wangu wa Mgulani pale wewe umepotea mazima...
Mkuu hakuna connection ya kuniunga na mimi?
Naona wanadanganyana kuwa ukiwa form six ukienda kule unarudi na nyotaWanajaribu kugusa ila hapagusiki. Usichokijua ni usiku wa giza, utamu wa ngoma mpaka uingie uicheze
Mkuu mimi ni form 4 then nilipitia jkt muda tangu 2006 huko but kipindi hicho ilikuwa ukimaliza mkataba unarudi homeMkuu, inategemea na chance kupatikana, cha msingi zaidi Level yako ya elimu.
Form six, Diploma, Degree, Masters.
Wasomi kibao wapo wanajitolea jkt kwahiyo inakua ngumu kuwakumbuka nyieWanajamii wenzangu inasikitisha sana kuona hadi sasa JWTZ hawajatangaza nafas za magradutes wakati vikosi vyote tayari.
Ukiuliza utaskia wanachukua JKT. Je jeshi halihitaji wasomi au?
Mkuu mimi ni form 4 then nilipitia jkt muda tangu 2006 huko but kipindi hicho ilikuwa ukimaliza mkataba unarudi home
Andika vizuri kwanza. Kwani nani kakwambia mimi situmii elimu yangu?Mkuu, kama kweli umesota miaka mitatu unasoma degree... na ukaelewa kwanin umeenda kusoma hiko ulichosoma...
Kwanin husitumie hyo elim yako kutengeneza ela za kutosha...?
Hahaaaa.. kijana nafurahi kutambua kuwa elim yako ni ya kusoma na kuandikaa... hyo mtaani haifui dafu.Andika vizuri kwanza. Kwani nani kakwambia mimi situmii elimu yangu?
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Mimi sio mwenzio dogo....nimemaliza degree ya kwanza miaka mingi sana. I am a professional and a masters degree holder.Hahaaaa.. kijana nafurahi kutambua kuwa elim yako ni ya kusoma na kuandikaa... hyo mtaani haifui dafu.
Subiri nafas huku zitatoka na utakombolewa na umaskin wa fikra na fedha.
Mkuu.. mbona sijakataa kukosolewa.. nimekubali kukosolewa... ila kosa langu ni kutambua uwezo wako mzuri wa kusoma na kuandika..Mimi sio mwenzio dogo....nimemaliza degree ya kwanza miaka mingi sana. I am a professional and a masters degree holder.
Hujui kuandika, nisikukosoe? Vijana sijui mmesomeshwa na walimu gani kama Kiswahili chetu hamjui kukiandika vizuri. Haya kaaa hapo usubiri nafasi za jeshi zikukomboe maana huna unachokiweza.
HUSITUMIE si sahihi.....siku myingine andika USITUMIE
Shubaamit
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Haya ni maoni yako na una uhiru wa kuyatoa. Hunijui na sikujui....huna hoja umebaki kutoa kile unachodhani ni sahihi. It's okay. Kisa nimekuchallenge kwanini usome miaka 3 chuoni kisha ukakae JKT miaka 2.....a graduate? Ina maana hamna namna nyingine ya kujikomboa mpaka ufanye jeshi your last resort? Tena 2 years?Mkuu.. mbona sijakataa kukosolewa.. nimekubali kukosolewa... ila kosa langu ni kutambua uwezo wako mzuri wa kusoma na kuandika..
Naona ukaamua kutoa ka CV kako kwa ufupi..
Mbona madarasa uliyopita ni mengi mno.. lakin kilichobaki kichwan ni kidogo?
Nisamehe mimi mkuu.Haya ni maoni yako na una uhiru wa kuyatoa. Hunijui na sikujui....huna hoja umebaki kutoa kile unachodhani ni sahihi. It's okay. Kisa nimekuchallenge kwanini usome miaka 3 chuoni kisha ukakae JKT miaka 2.....a graduate? Ina maana hamna namna nyingine ya kujikomboa mpaka ufanye jeshi your last resort? Tena 2 years?
Naogopa kukuambia go back to schools ulizosoma na claim back your fees....huna kitu wewe fikarani mwako. Ila nyani haoni kundule.
Am off....usijifananishe na mimi. Mi nilishavuka hivyo unavyoviwaza leo.
Unajiraaaaa babaHakuna form six anaechukua nyota jeshini kwasasa, unaingia kama wengine kawaida then bora uwe na diploma au degree ndio unaweza kufanyiwa selection ya kwenda cadet tena hiyo baada ya kupiga recruit course kama wengine
Ulijitolea au mujibu wa sheria.Mi muhangaikaji tu kitaa, bali nilipitia jkt muda mrefu sana
Kaka nipo nakusubili sanaWe Dogo mie nakuhangaikia ile connection ya mchizi wangu wa Mgulani pale wewe umepotea mazima...
Nilijitolea, na sijilaumu na najivunia kuwa mzalendo kwa nchi yangu.Ulijitolea au mujibu wa sheria.
Pale nishapeleka since june wakasema watatupigia simu